Nimeinstal mara mbili window

Wingu

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,318
401
Wakuu nataka nifute moja ni baki na moja msaada wenu.Maana wakati wa kuwaka inanipa option nitumie ipi kitu ambacho sitaki.Ni window 7
 
sijui umeinstall windows ipi kwenye partition ipi, so nitakupa jinsi ya kufanya ufiche OS moja. nenda command prompt (windows> type CMD) alafu uandike bcdedit /timeout 0 upige enter. kishney. kuna namna nyingi tofauti so ikiizingua hiyo sema nikuambie nyingine, nimekupa easiest
 
Hiyo nitakayo ingia ndio itakayo potea au ipi.Naomba kujua.Manake iko moja nimefuta vitu manualy sasa hivi hata nikiselect ina kataa kufunguka kwa hiyo hi ndo nataka nifute.
sijui umeinstall windows ipi kwenye partition ipi, so nitakupa jinsi ya kufanya ufiche OS moja. nenda command prompt (windows> type CMD) alafu uandike bcdedit /timeout 0 upige enter. kishney. kuna namna nyingi tofauti so ikiizingua hiyo sema nikuambie nyingine, nimekupa easiest
 
utakayoingia ndo itabaki. yaani ambayo utakuwa unatumia ndo itabaki
 
nenda hivi
my computer>properties>Advanced system settings>Advanced>Settings>Startup and Recovery

hapo utaona system startup, utoe tick palipoandikwa *time to display list of operating systems*
 
Ubarikiwe sana mkuu mambo yamekaa vizuri.
nenda hivi
my computer>properties>Advanced system settings>Advanced>Settings>Startup and Recovery

hapo utaona system startup, utoe tick palipoandikwa *time to display list of operating systems*
 
Mkuu umeuliza swali gumu mno kwenye ICT, utapata majibu mengi sana na yasisaidie, kwa swali lako mimi nimeshaelewa kiwango chako cha uelewa juu ya PC. nimekupa namba sio unipigie nipe yako nikupigie. Sikujuwi wewe lakini nimekukubali sana na ukinielewa utajuwa mengi sana.

Je umefanikiwa kiasi gani mpaka sasa?
 
nenda hivi
my computer>properties>Advanced system settings>Advanced>Settings>Startup and Recovery

hapo utaona system startup, utoe tick palipoandikwa *time to display list of operating systems*
leh Jamaa inaonekana amesolve shida yake kwa njia yako mkuu lakini mie sijaelewa vizuri saidia zaidi kwa maelezo!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom