TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Mkuu pole sana,mimi nilshaibiwa hotelini dar na haki ya mungu siku hizi najiadhari kinoma,yaani niliibiwa nilipoenda kuoga asubuhi,na milango ilikuwa imefungwa kama kawaida ina maana ni wafanyakazi wa hoteli hiyo
Wewe hukulala self ulilala zile za choo nje hatua 20 hapo lazima wakombe wanakulia timing tu