Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
- Thread starter
- #21
wote mliochangia hii kitu mtakua mashahid kwa nachotaka kukisema hapa chin asilimia kubwa ya watu wenye majibu ya ajabu leo hawapo hawajachangia so naconclude hiv wengiwao wa wategemeao internet za ofice ndio wenye majibu ya ajabu humu jamvini, kutembelea ndugu au miradi c kigezo kwni kuna cm, kuna mdau kasema kama cm yako ina bluetooth una haja ya kua na modem nahic anazani computer zote zina bluetooth ungesema cable na pc suit. miaka ya nyuma alwayz nlikua natumia cm hapa jamvin nilikua natumia jina langu kamili kutokana na abusiveness za watu na udin nikabadirika nikaja kihivi, ilikua hata nukiwa club lzm nichungulie jf, nikiwa shamba ndio usiseme, nikiwa nyumbani nalima mchicha na kusafisha mabanda ya kuku , mbuz na ng`ombe lzm nichunguliem jamvin via phone.