Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
vigezo vya thread hii
wachangiaaj wanaonekana week end ni wachache sana
weng inaonyesha wanapata msaada wa internet za makazini
siku za kazi huwa mnapatikana humu jamvin kuazia asubuh mpk muda wa kufunga office
hivyo nawashauri to keep intouch muda wote coz huwa tunawamiss sana humu jamvini mngenunua hata desktop za lak na 70 mtie modem siku hiz wanauza mpk elfu 30 modem na malip[o pia ni cheap 30000 ni kwa mwez unlmtd
sio utan jaman huwa nawamis sana watu wang jmoc na j2 naja JF nikitegemea mtakuwepo lakin hakuna watu kama muda huu wapo 3927 wkt ingekua siku za za kazi mpk kumi na 5 elfu huwa tunakua online
najua weng mtatiririka huku chin kujibu thread hiii lakin itakua ni kesho c leo.
to be honest nawamiss sana mtajitetea leo mmetoka na familia au mmetembelae ndugu na rafik
wachangiaaj wanaonekana week end ni wachache sana
weng inaonyesha wanapata msaada wa internet za makazini
siku za kazi huwa mnapatikana humu jamvin kuazia asubuh mpk muda wa kufunga office
hivyo nawashauri to keep intouch muda wote coz huwa tunawamiss sana humu jamvini mngenunua hata desktop za lak na 70 mtie modem siku hiz wanauza mpk elfu 30 modem na malip[o pia ni cheap 30000 ni kwa mwez unlmtd
sio utan jaman huwa nawamis sana watu wang jmoc na j2 naja JF nikitegemea mtakuwepo lakin hakuna watu kama muda huu wapo 3927 wkt ingekua siku za za kazi mpk kumi na 5 elfu huwa tunakua online
najua weng mtatiririka huku chin kujibu thread hiii lakin itakua ni kesho c leo.
to be honest nawamiss sana mtajitetea leo mmetoka na familia au mmetembelae ndugu na rafik