Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,493
- 2,247
Mkuu Kang, asante kwa hii software, kuhusu unlimited ya voda wanakulimit kwenye speed mkuu, wanakupa speed ya 64kbps ambayo nadhani itakuwa na mwendo wa kobe...
Ikinibidi itanipasa kuhamia voda maana sasa internet imekuwa ni sehemu ya maisha yangu popote pale nilipo.
Yeah kama unataka kudownload vitu haraka au kucheki sana video haifai, ila kwa jf and facebook inakutoa. Kudownload nilikuwa natumia download manager naiacha overnite.