Nimefika Mathare- Nairobi Duh!

Maeneo mengi ya mitaa ya Kariakoo yamefurika marundo ya taka zisizolewa kwa muda kama inavyoonekana pichani hapa ni nje ya Soko la Kariakoo. Haikuweza kufahamika chanzo cha kutozolewa taka hizo kuwa huenda magari ya kuzoa taka hizo pia yameharibika kama ilivyo kwa barabara nyingi za jijini Dar ama vipi.

Hapa ni mzibua mitaro akijaribu kuzibua moja ya mtaro katika mtaa wa Living Stone huku pia kukiwa na rundo la taka eneo hilo.

Hapa ni mtaa wa Living Stone na Mchikichi.....


Hapa ni mtaa wa Sikukuu na Nyamwezi.....

Hapa ni mtaa ni mtaa Kongo...

Hapa ni mtaa wa Nyamwezi......

Hapa ni mtaa wa Msimbazi Stendi ya Mwananyamala, ambapo ndiyo gari la taka lilikutwa likianza kuzoa taka hizo.
 
Maeneo mengi ya mitaa ya Kariakoo yamefurika marundo ya taka zisizolewa kwa muda kama inavyoonekana pichani hapa ni nje ya Soko la Kariakoo. Haikuweza kufahamika chanzo cha kutozolewa taka hizo kuwa huenda magari ya kuzoa taka hizo pia yameharibika kama ilivyo kwa barabara nyingi za jijini Dar ama vipi.

Hapa ni mzibua mitaro akijaribu kuzibua moja ya mtaro katika mtaa wa Living Stone huku pia kukiwa na rundo la taka eneo hilo.

Hapa ni mtaa wa Living Stone na Mchikichi.....


Hapa ni mtaa wa Sikukuu na Nyamwezi.....

Hapa ni mtaa ni mtaa Kongo...

Hapa ni mtaa wa Nyamwezi......

Hapa ni mtaa wa Msimbazi Stendi ya Mwananyamala, ambapo ndiyo gari la taka lilikutwa likianza kuzoa taka hizo.
Chicken has come home to roost!

Hivi tutamlaumu nani? Mwenye nyumba, diwani, katibu kata, meya, halmashauri, mbunge, DC, mkuu wa mkoa Waziri wa afya, Nyumba, Tamisemi, Mazingira, miundombinu, Waziri Mkuu au Raisi?

Hivi tukipata mlipuko wa kipindupindu tutapona?

y1pIjS-ngexYeXV7nwaWZP_N-0VFv7ffipmATXHC1zBYkUmXFkz3GvJDJy988Egmko7pKf_-_nVDJc



Amani Iwe Nanyi,
 
Nakumbuka Wiki iliyo pita nili piga picha 'Dampo' la soko la Mji mdogo wa Mlowo;Nika libandika hapa ukutani kwetu...
Nili Andika kichwa kinacho someka "KWA YEYOTE ANAYE HUSIKA:MLOWO TUSIPO ANGALIA TUTA INGIA MWAKA MPYA NA UCHAFU WA ZAMANI"

 
Nakumbuka Wiki iliyo pita nili piga picha 'Dampo' la soko la Mji mdogo wa Mlowo;Nika libandika hapa ukutani kwetu...
Nili Andika kichwa kinacho someka "KWA YEYOTE ANAYE HUSIKA:MLOWO TUSIPO ANGALIA TUTA INGIA MWAKA MPYA NA UCHAFU WA ZAMANI"


30072009334blog.jpg
 
[video=youtube_share;jzqYEnIP58c]http://youtu.be/jzqYEnIP58c[/video]
In a brief 3 months, Kibera, Kenya's largest slum saw the construction of roads, toilets, houses and other amenities through the Youth Empowerment Programme, an initiative of the Kenyan Government. The project was spearheaded by the National Youth Service (NYS) with full participation of Kibera residents.
 
Nakumbuka Wiki iliyo pita nili piga picha 'Dampo' la soko la Mji mdogo wa Mlowo;Nika libandika hapa ukutani kwetu...
Nili Andika kichwa kinacho someka "KWA YEYOTE ANAYE HUSIKA:MLOWO TUSIPO ANGALIA TUTA INGIA MWAKA MPYA NA UCHAFU WA ZAMANI"


30072009334blog.jpg

Acha ligi za kijinga wewe.....

Tofautisha uchafuz(wa mazingira) na umaskini....

Mleta mada ameeleza ni jinsi gani wananchi wa Mathare wanaishi katika maisha ya umaskini uliotopea ilhali nchi inajinasibu kuwa na uchuni wa juu katika EA....Watu wanaishi maisha duni mnooo.....Na kalidhihirisha hilo kwa picha...

Wewe unakuja na picha za mafuriko ya mvua...Mrundikano wa taataka (ambazo inawezekana zilitolewa mara tu baada ya wewe kupiga picha)....

Picha zako za Kariakoo zinaonesha ni jinsi gani Dar ilivyo ukilinganisha na Nai...

Kubali kataa....Kibera....Dandora...Mathare n.k ni ielelezo tosha kwamba uchumi wa Kenya umeshikwa na wachache na wananchi wengi wanaishi below poverty line....Katika umaskini uliotopea...

Ngoja nizirudie picha....Angalia na ulizoziweka wewe...

attachment.php


attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 
[h=2]Dar es Salaam, Tanzania[/h]



EricSchaechterUFZ_ResilientCities_1-1024x486.jpg

A young man using pieces of wood as walking aids while crossing a current of rainwater, sewage and garbage in the district of Janguani during the flood event of April 12, 2014
450px-Sewage_in_the_street_in_Tandale%2C_Dar_es_Salaam_%283233303875%29.jpg


dsmfloodagain.jpg

The impact of floods is still a threat in the memories of most residents of Dar es Salaam




Huoni aibu kuweka picha ya floods in Dar es salaam against ya Nai 24/7 whether raining or sunshine. At least sisi kukikauka life goes back to normal. Na hapo kwenye picha ya Dar at least kuna nyumba za tofali!
 
Nakumbuka Wiki iliyo pita nili piga picha 'Dampo' la soko la Mji mdogo wa Mlowo;Nika libandika hapa ukutani kwetu...
Nili Andika kichwa kinacho someka "KWA YEYOTE ANAYE HUSIKA:MLOWO TUSIPO ANGALIA TUTA INGIA MWAKA MPYA NA UCHAFU WA ZAMANI"



If zooming in to waste disposal sites i what you can compare Dar to Nairobi Slums then Dar must be doing something right.

attachment.php
 
Acha ligi za kijinga wewe.....

Tofautisha uchafuz(wa mazingira) na umaskini....

Mleta mada ameeleza ni jinsi gani wananchi wa Mathare wanaishi katika maisha ya umaskini uliotopea ilhali nchi inajinasibu kuwa na uchuni wa juu katika EA....Watu wanaishi maisha duni mnooo.....Na kalidhihirisha hilo kwa picha...

Wewe unakuja na picha za mafuriko ya mvua...Mrundikano wa taataka (ambazo inawezekana zilitolewa mara tu baada ya wewe kupiga picha)....

Picha zako za Kariakoo zinaonesha ni jinsi gani Dar ilivyo ukilinganisha na Nai...

Kubali kataa....Kibera....Dandora...Mathare n.k ni ielelezo tosha kwamba uchumi wa Kenya umeshikwa na wachache na wananchi wengi wanaishi below poverty line....Katika umaskini uliotopea...

Ngoja nizirudie picha....Angalia na ulizoziweka wewe...

attachment.php


attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php


hapo wamepekenyua gugo yote wamekosa.

Umasikini uliopindukia hauwezi kujificha, na ukitazama picha za Kenya Slums Vs Tanzania unplanned areas, utagundua kuwa Maskini wa TZ Kenya ni Middle class kabisa.

Yani hizo picha walizoweka huko juu zimenistua, yani hayo makazi ni marginalized and no one give a F**k kinachoendelea huko.

Hakuna sehemu TZ inayofanana na maeneo hayo.
 
Aha!! kwa vile mleta mada umeileta ki-ligi tutakujibu hivyo tu kwa ligi, haya hii Tanzania yenu. Mitaa tofauti, Tandale, Temeke na kwingineko.
Nchi yenye amani, madini, ardhi kubwa yenye rotuba, vivutio bora vya utalii, n.k. halafu usisahau ni nchi mbili zilizounganishwa.


dsc08208.jpg





3233304175_ed13c693c2_o.jpg




1.jpg


Mtogole.jpg



3233304341_519bd494fc.jpg




Picture+045.jpg





1.jpg




Uchafu-Temeke.jpg



images



3a10217b6db20ba4ee9afc19f948-grande.jpg



TAKA.JPG
 
Aha!! kwa vile mleta mada umeileta ki-ligi tutakujibu hivyo tu kwa ligi, haya hii Tanzania yenu. Mitaa tofauti, Tandale, Temeke na kwingineko.
Nchi yenye amani, madini, ardhi kubwa yenye rotuba, vivutio bora vya utalii, n.k. halafu usisahau ni nchi mbili zilizounganishwa.


dsc08208.jpg





3233304175_ed13c693c2_o.jpg




1.jpg


Mtogole.jpg



3233304341_519bd494fc.jpg




Picture+045.jpg





1.jpg




Uchafu-Temeke.jpg



images



3a10217b6db20ba4ee9afc19f948-grande.jpg



TAKA.JPG

Hiyo Mitaa yetu hapo juu mbona inasubiri sana compare na hiyo mathare kibera sijui dandora.
Ni challenge third world countries tunaface uchafu unplanned areas etc lakini hapo kwetu at least kuna mitaro imejengewa kuna nyumba za tofali kuliko huko nairobi nyumba full mabati nyasi udongo mnhhh:sly:
 
Ingawa tunaambiwa kuwa mji wetu ni mchafu lakini hivi kuna sehemu yoyote ile tz inayofanana na mathare?????????????
 
[h=2]Dar es Salaam, Tanzania[/h]



EricSchaechterUFZ_ResilientCities_1-1024x486.jpg

A young man using pieces of wood as walking aids while crossing a current of rainwater, sewage and garbage in the district of Janguani during the flood event of April 12, 2014
450px-Sewage_in_the_street_in_Tandale%2C_Dar_es_Salaam_%283233303875%29.jpg


dsmfloodagain.jpg

The impact of floods is still a threat in the memories of most residents of Dar es Salaam




Super power wanajikakamua,unaona wanaleta za mafuriko:confused:
 
Back
Top Bottom