Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,741
- 14,637
Hivi Dr. W. P. Slaa ameshawahi kupewa shahada ya heshima na vyuo vyetu hapa Tanzania ? Kama bado vyuo hivyo vinasubiri nini? Mbona kikwete anapewa shahada kila mwaka?
Slaa amefanya mambo mengi ya kuelimisha umma, ni mwenyekiti wa bodi ya ccbrt ambayo inasaidia wanyonge etc . Afanye tena nini mumpe shahada ya heshima nyie wahusika au mnasubiri akiwa rais 2015?
Dr hana haja tena na shahada hizo za kinafiki,za kujuana na kujikomba!Dr ana shahada ya heshima iliyo kuu zaidi!shahada kutoka ndani kabisa ya mioyo ya watanzania waadilifu.