buyegiboseba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 535
- 145
I see! kama ndivyo hivi,tumwombee Dr hatimaye aenda magogoni na kuamsha matumaini ya kanaani yetu
Inatia faraja sana kukutana na viongozi wa CDM.....yaani ukikutana na viongozi wengi wa CCM unaingiwa na chuki ghafla....sijui kwa nini aiseeLeo,majira ya saa tano asubuhi,nilikuwa viunga vya Wizara ya Ardhi.Nilikuwa kwenye harakati zangu za kikazi kushughulikia wateja wangu.Mara,akajitokeza Dr.Willbrod Peter Slaa,Katibu Mkuu wa CHADEMA. Tukawa tunapishana kwenye ngazi:yeye anashuka,mimi napanda. Alikuwa ana Mlinzi wake mmoja aliyevalia suti nyeusi.Nikamsalimu.Akaitikia.Nilihisi furaha isiyo na kifani moyoni mwangu.Kupishana na mtu makini ambaye nilimpigia kura yangu ya Urais na 'kumshindisha' ,tena kwa umbali kama ule,ni jambo kubwa kwangu.Dr.Slaa bado anadai.Nafasi yake yake bado ipo wazi.Kwa kifupi,nimefarijika sana...asante Dr.Slaa hata kwa kuniitikia salamu yangu tu...
Leo,majira ya saa tano asubuhi,nilikuwa viunga vya Wizara ya Ardhi.Nilikuwa kwenye harakati zangu za kikazi kushughulikia wateja wangu.Mara,akajitokeza Dr.Willbrod Peter Slaa,Katibu Mkuu wa CHADEMA. Tukawa tunapishana kwenye ngazi:yeye anashuka,mimi napanda. Alikuwa ana Mlinzi wake mmoja aliyevalia suti nyeusi.Nikamsalimu.Akaitikia.
Nilihisi furaha isiyo na kifani moyoni mwangu.Kupishana na mtu makini ambaye nilimpigia kura yangu ya Urais na 'kumshindisha' ,tena kwa umbali kama ule,ni jambo kubwa kwangu.Dr.Slaa bado anadai.Nafasi yake yake bado ipo wazi.Kwa kifupi,nimefarijika sana...asante Dr.Slaa hata kwa kuniitikia salamu yangu tu...
Mkuu jaribu kutengeneza picha kichwani mwako. kama katika ngazi zile ungekuwa umekutana na Mukama katibu mkuu wa kile chama kile kile, jee ungejisikiaje muda huu?Sana Mkuu.Nimepatwa na nguvu mpya.Nakaribia kufuata kadi ya CHADEMA kama chama changu cha kwanza cha siasa maishani mwangu...
hata mimi natamani nikutane nae......!
:shetani:simba oyee!:shetani:
Inatia faraja sana kukutana na viongozi wa CDM.....yaani ukikutana na viongozi wengi wa CCM unaingiwa na chuki ghafla....sijui kwa nini aisee