Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Gud news. ni sawasaw na marais wa africa wanavyofurahi kwa kukutana na rais Obama wa USA
Gud news. ni sawasaw na marais wa africa wanavyofurahi kwa kukutana na rais Obama wa USA
Nlibadilishana nae mawazo ktk mkutano na viongozi wa cdm kata za arusha mjini mwaka jana..ni mtu wa suluhu..alituweka sawa.NLIFARIJIKA,HANA MAKUU.DR ur ma president,we like you[/QUOT
We akikusikia TUNTUMEKE unasema maneno haya.........
Hebu siku nyingine ukipishana na Mkapa jaribu kumsalimia kama ulivyofanya kwa Dr. Slaa, Halafu uone kama atakuitikia
dr slaa, the president
Rais chaguo la watu
.Dr. Slaa; Rais anayeongoza kutoka kwenye mioyo ya watanzania.