Nimefarijika sana....Asante sana Dr.Slaa...

Kiongozi hapendwi kwa kuitikia salamu, anapendwa kwa matendo anayoyafanya katika kuendeleza nchi. Mimi nilitegemea furaha yako ihusiane na jinsi ulivyomuona akishughulukia issues zinazolenga katika ustawi wa nchi, siyo kuitikia salamu. Upenzi wa bila sababu alionyeshwa Kikwete mnaona alipotufikisha. Inabidi tuweke wazi kwamba viongozi wetu tutawapenda kwa jitihada zao katika kuleta maendeleo, si vinginevyo, na inabidi viongozi wote akiwemo Slaa walitambue hilo, maanaake mnapoanza kumpamba mtu eti kwa sababu ameitikia salamu tu mimi naanza kupata wasiwasi.
 
Hata mimi nilikutananaye pale Wizara ya Ardhi sio leo ilikuwa jumatatu nadhani kuna kitu anafuatilia pale,but nilimuona Dr slaa kadhohofika sana,nadhani ni uzee sasa..kwa kweli anahitaji kupumzika muda mwingi ili awefit kuelekea 2015.
2015? slaa! yaani hapo CDM watakuwa wameharibu kabsaaaaaaaaaaa
 
juzi juzi tulimualika huku SAUT kwa kweli nilivyoshikana naye mkono nilihisi nguvu ya ajabu sana na ujasiri uliopitiliza katika kutetea haki ya taifa hili.Mungu ampe afya na maisha marefu huyu rais wa moyo wangu
 
Hata mimi nkipewa nafasi ya kumwona ningefurahi, nafkr kwa kuchukua kadi ya cdm na kuunga mkono vita ya ukomboz ni matunda yake.
 
Mi mwezi march nlipanda nae dar express kutoka ars mpk dar, tumekaa siti moja. Alinipa stori za toka akiwa darasa la tatu.
 
Uongozi na upendo ni 2 sides of the same coin, Dr. kwa kutambua ukweli huo, ndio maana anatimiliza hilo, long live Dr. W. Slaa, Mungu akuongoze na akusimamie zaidi. Nakufurahia maana unajua kuwa rasilimali yako sio dola ila ni watu ambao wanakusupport wewe. viva Dr...
 
Wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2010 nilikuwa kwenye mkoa tofauti na nilipojiandikishia. Niliamka alfajiri sana kwenda kumpigia kura Rais wangu Dr. Silaa lakini nikakataliwa! Nilishangaa sana kukataliwa kumpigia kura Rais wa tanzania nikiwa ndani ya Tanzania wakati nchi nyingine mtu anapiga kura akiwa nje ya nchi. Nilikasirika sana lakini hatimaye nilifarijika baada ya kufanikiwa kuwashawishi watu watatu wakampigia Dr wa ukweli. I wish you a long life as you walk towards the state house in 2015. Serikali ya makaburu haikuweza kumzuia mzee Mandela asiingie ikulu sembuse hii fragmented magambaic government!
 
Wakati wa uchaguzi mkuu mwaka 2010 nilikuwa kwenye mkoa tofauti na nilipojiandikishia. Niliamka alfajiri sana kwenda kumpigia kura Rais wangu Dr. Silaa lakini nikakataliwa! Nilishangaa sana kukataliwa kumpigia kura Rais wa tanzania nikiwa ndani ya Tanzania wakati nchi nyingine mtu anapiga kura akiwa nje ya nchi. Nilikasirika sana lakini hatimaye nilifarijika baada ya kufanikiwa kuwashawishi watu watatu wakampigia Dr wa ukweli. I wish you a long life as you walk towards the state house in 2015. Serikali ya makaburu haikuweza kumzuia mzee Mandela asiingie ikulu sembuse hii fragmented magambaic government!

Hivi Dr. W. P. Slaa ameshawahi kupewa shahada ya heshima na vyuo vyetu hapa Tanzania ? Kama bado vyuo hivyo vinasubiri nini? Mbona kikwete anapewa shahada kila mwaka?

Slaa amefanya mambo mengi ya kuelimisha umma, ni mwenyekiti wa bodi ya ccbrt ambayo inasaidia wanyonge etc . Afanye tena nini mumpe shahada ya heshima nyie wahusika au mnasubiri akiwa rais 2015?
 
Na mimi niungane na wachangiaji waliotangulia, Dr Slaa nakutakia maisha marefu yenye baraka tele. Yeyote atakayekushambulia kwa namna yeyote ile atakuwa adui yetu milele.
We love you Dr
 
Slaa ni next level.....huwezi mlinganisha na huo mti wa ashoki uliopo hapo ikulu
 
Kweli Dr slaa ni Rais wetu na hakuna mwingine labda ajitokeze hapo baadae sana kwani Dr slaa bado yupo mioyoni mwetu wa Tanganyika kwani kazi yake na mchango wake ni mkubwa sana pia ni kiongozi asiye na chembechembe za unafiki, anasimamia ukweli, ni mtu anyayejua nini anafanya, jamani CHADEMA mkikosea njia mtuwekee mtu mwingine 2015 mtakua mmetukosea sana watanganyika kwani tunamtaka slaa kutoka mioyoni mwetu.

LONG LIVE MY ADORABLE DR SLAA.
Peoples......
 
Namkubali sana Dr wa kwelikweli, mtu wa watu chaguo la watz na mkombozi wa dhati
 
Mkapa ana mawazo mengi ya ufisadi, anawaza siku cdm ikiingia madarakani atapelekwa kisutu, kwa hiyo hata kama ukimsalimia mambo anaweza asikujibu.
 
Gud news. ni sawasaw na marais wa africa wanavyofurahi kwa kukutana na rais Obama wa USA

Kuanzia sasa kiongozi yeyote anayemshabikia Obama au Cameron ni Shoga.Maana leo Obama kasema anaunga mkono ushoga.Kazi kwako wewe nchi ya Tz unayetegemea budget yako kutoka Washington.
 
Jamaa mmoja kasema ati Dr Willbroad Peter Slaa amekuwa mashuhuri? jibu ni kwamba Dr Slaa ni mashuhuri hata kushinda Kikwete kwani kila anapokatiza watu vigelegele anapokewa zaidi ya mfalme si mijini si vijijini watu wakimuona tu ni kama wamepata uhuru na hata akiongea watu wanafarijika na kuamini ndani ya MIOYO yao kuwa huyu ndiye tulimchugua kuwa rais wetu sasa imekuwaje?Hilo tunamwachia Mungu.Hebu mwambieni huyo Kikwete atembelee sehumu sawa ambazo pia Dr atatembelea then tupambanishe nani zaidi???Jibu ni kwamba Dr Slaa kamaliza hana mfano kwa nchi hii he's King of Tanzania.
 
Back
Top Bottom