Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,089
- 2,553
Asante Mkuu!Tabora Boys ni ya 15
Tangu wakati wetu madogo kukaa top 10 imekuwa issue!
Asante Mkuu!Tabora Boys ni ya 15
Pamoja kiongozi wangu.Ha ha ha ha Waboisia, tupo pamoja wakuu!
Imekua ya 15Sijaangalia ni ya ngapi mkuu,
Lakini haipo kwenye kumi bora jamani.
Nimesikitishwa sana
Sawa MkuuHuo ndo mwongozo mkuu,after that competion ndo kitu kinachofanyika chuo,..sidhani kama vyuo tena vinaweka cutoff points!!
Natuma salamu kwa wadogo zangu wote wa Kwiro Boys High School n' Itaga Seminary wasife moyo siku moja wataishangaza Tanzania!..
pia hao walioongoza ndio waende CHUO KUANZA na degree ya UALIMU kama mkakati wa kuboresha ELIMU ikiwa ni sekta muhimu kuelekea NCHI YA VIWANDA. hapo vipi!? wasemaje!! ikiwezekana na inawezekana wakianza kazi ya ualimu baada ya kuhitimu WALIPWE MISHAHARA MINONO KUPITA WABUNGEinafarijisha sana mkuu.
inabidi hatua ipigwe zaidi zianze kuonena na shule nyingne za serikali nje ya zile maalum.
we hata ukijikojolea usiku utasema CHADEMA hao wamesababisha. Acha hizoNaona chadema wamekerwa sana na haya matokeo
we hata ukijikojolea usiku utasema CHADEMA hao wamesababisha. Acha hizoNaona chadema wamekerwa sana na haya matokeo
sio bongoland.pia hao walioongoza ndio waende CHUO KUANZA na degree ya UALIMU kama mkakati wa kuboresha ELIMU ikiwa ni sekta muhimu kuelekea NCHI YA VIWANDA. hapo vipi!? wasemaje!! ikiwezekana na inawezekana wakianza kazi ya ualimu baada ya kuhitimu WALIPWE MISHAHARA MINONO KUPITA WABUNGE
Labda aje raisi aitwaye NABIIsio bongoland.
Kwa hali ya sasa everything is possible ...... Watu wanaweza kupika kumfurahisha mtu!!Mhhhh Tabora Boys shule yangu masikini.
Bwana Petro E. Mselewa kama huu ufaulu siyo wa kisiasa na kupikwa basi nawapa hongera sana Kibaha.
Kuzipita shule kama Marian Girls na Feza boys siyo kazi ndogo hasa kwa aina ya ufundishaji wetu wa kipindi hiki.
Ni habari njema kama shule za umma zinarudi kwenye hali nzuri, maana ndiyo kimbilio la wengi. Kama kutakuwa na ujinga wa kuingiza siasa huko, taifa litazidi kudidimia kwa manufaa ya wanasiasaMhhhh Tabora Boys shule yangu masikini.
Bwana Petro E. Mselewa kama huu ufaulu siyo wa kisiasa na kupikwa basi nawapa hongera sana Kibaha.
Kuzipita shule kama Marian Girls na Feza boys siyo kazi ndogo hasa kwa aina ya ufundishaji wetu wa kipindi hiki.