Nimewatumia sms wote kwamba nachukua maamuzi ya kuwaacha ili kuepusha shari,ila najua ntarudi kwa yule ambae baada ya kufanya evaluation ntaamua nibaki nae.Mkuu,nimewaweka sawa sana,dada wa kazi anawapikia sasahivi.
Kwenye red, wanawake wa dizaini hiyo wako kibao karibia 90% ya wanawake, na ndio maana unaweza kuwaoa hadi wanne na nyumba ndogo kadhaa.Kama wanawake wa dizaini hiyo wapo basi una bahati sana sana. Na kama stori hi ni ya kweli basi unapendwa sana, na nina wasi wasi unaweza kuwakosa wote.
Ushauri, endelea kucheza na saikolojia zao km ulivyoanza, may be utawawin.
Ushauri muafaka ninao, lakini nachelea kukupa
kwa sababu machale yananicheza kwamba kabla sijakupa ushauri nilionao, atakua mwanamke wa 3 nae keshakufumania nitalazimika nikuletee ushauri mwingine.
Pole sana.
Hii imetuliatoka nao nenda mahali kisha nirushie namba yako nikupigie kukuita kwenye dili ya pesa hapo unawambia kabisa kuwa unakwenda kwenye kaz hivyo inabidi uwaache wewe, utapana basi kwenda kukaa eneo lolote wao wataondoka, hakikisha umewatoa hapao nyumbani kwako, na ufunge mlango wako. utawaaachia njiani.
toka nao nenda mahali kisha nirushie namba yako nikupigie kukuita kwenye dili ya pesa hapo unawambia kabisa kuwa unakwenda kwenye kaz hivyo inabidi uwaache wewe, utapana basi kwenda kukaa eneo lolote wao wataondoka, hakikisha umewatoa hapao nyumbani kwako, na ufunge mlango wako. utawaaachia njiani.
Hili nalo neno,But they are both wife material ,i will loose mazima
Wadau,Msaada wa maamuzi tafadhali.
Kwanza msianze kunialaumu ,shauri kwanza,lawama baadae.
Hapa nilipo i have two girls in my place.Both are my girls.Mmoja alikuja asubuhi kwa taarifa nikawa nimekaa nae hapa,Mwingine akawa amekuja kwa kustukiza.Sasa hapa wamenibana kweli.Nimecheza na saikolojia zao hawajagombana hata kidogo,Zaidi na zaidi wanapiga stori ingawa wamefumaniana.Ila nina ultmatum ya kuamua namtaka nani.La sivyo hawaondoki hapa hata siku ngapi zipite.Wameweka msimamo na hawanielewi kabisa.
Naogopa ku side na mmojawapo kwa sababu nafikiria athari kwa mwingine zitakuwa kubwa.Msaada tafadhali wa mawazo