Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
Wadau,Msaada wa maamuzi tafadhali.
Kwanza msianze kunialaumu ,shauri kwanza,lawama baadae.
Hapa nilipo i have two girls in my place.Both are my girls.Mmoja alikuja asubuhi kwa taarifa nikawa nimekaa nae hapa,Mwingine akawa amekuja kwa kustukiza.Sasa hapa wamenibana kweli.Nimecheza na saikolojia zao hawajagombana hata kidogo,Zaidi na zaidi wanapiga stori ingawa wamefumaniana.Ila nina ultmatum ya kuamua namtaka nani.La sivyo hawaondoki hapa hata siku ngapi zipite.Wameweka msimamo na hawanielewi kabisa.
Naogopa ku side na mmojawapo kwa sababu nafikiria athari kwa mwingine zitakuwa kubwa.Msaada tafadhali wa mawazo
UPDATE; Time; 1700 Hours-Monday
Done,wakuu sijapatikana kwa muda hapa nilikua natoa hotuba.Nimepiga chini wote,nimewaomba radhi kwamba intention yangu haikua mbaya kua nao wote wawili, Nilikua katika mchujo.Lakini mchujo huo umejichuja wenyewe ,sasa nawaacha wote wawili,Kila mtu aanze afresh.Nimewapa ukweli baada ya kupata Lunch.
Ila,what am sure of ni kwamba kila mmoja baada ya masaa au siku kadhaa watakuja ku apply upya/tena.Hili nina uhakika.
Mimi kuwa nyumbani leo ni mipangilio yangu binafsi,kazi zinaendelea kama kawaida hata nisipokuwepo.
Kwanza msianze kunialaumu ,shauri kwanza,lawama baadae.
Hapa nilipo i have two girls in my place.Both are my girls.Mmoja alikuja asubuhi kwa taarifa nikawa nimekaa nae hapa,Mwingine akawa amekuja kwa kustukiza.Sasa hapa wamenibana kweli.Nimecheza na saikolojia zao hawajagombana hata kidogo,Zaidi na zaidi wanapiga stori ingawa wamefumaniana.Ila nina ultmatum ya kuamua namtaka nani.La sivyo hawaondoki hapa hata siku ngapi zipite.Wameweka msimamo na hawanielewi kabisa.
Naogopa ku side na mmojawapo kwa sababu nafikiria athari kwa mwingine zitakuwa kubwa.Msaada tafadhali wa mawazo
UPDATE; Time; 1700 Hours-Monday
Done,wakuu sijapatikana kwa muda hapa nilikua natoa hotuba.Nimepiga chini wote,nimewaomba radhi kwamba intention yangu haikua mbaya kua nao wote wawili, Nilikua katika mchujo.Lakini mchujo huo umejichuja wenyewe ,sasa nawaacha wote wawili,Kila mtu aanze afresh.Nimewapa ukweli baada ya kupata Lunch.
Ila,what am sure of ni kwamba kila mmoja baada ya masaa au siku kadhaa watakuja ku apply upya/tena.Hili nina uhakika.
Mimi kuwa nyumbani leo ni mipangilio yangu binafsi,kazi zinaendelea kama kawaida hata nisipokuwepo.