We acha tu,manake nimewaambia siwezi kuamua.So,mi niko kimya mmoja yuko busy na kompyuta na mwingine yuko busy na TV.Kila mtu kimya,ila wameweka msimamo nichague mmoja
nashangaa eti anajisifia wanamsubiri aamue
cheni feki noti bandia kudadalusinde
Samahani lakini kama nitakukwaza,halafu ndio unasema wife material hao???!!!!hahahaaaa aiseeee hii mpyaaaa......yani wife material ameamua kukaa kabisa kaweka mguu chini asikilizie mwanaume anamchagua yupi kati yake na mwenzake???!!!! Yaani sijipatii picha mimi nimekaa sehemu nasubiri kuchaguliwa kama nyanya sokoni hii inafaa hii haifai hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nafwaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
toka nao nenda mahali
kisha nirushie namba yako nikupigie kukuita kwenye dili ya pesa hapo
unawambia kabisa kuwa unakwenda kwenye kaz hivyo inabidi uwaache wewe,
utapana basi kwenda kukaa eneo lolote wao wataondoka, hakikisha umewatoa
hapao nyumbani kwako, na ufunge mlango wako. utawaaachia
njiani.
Kama wanawake wa dizaini hiyo wapo basi una bahati sana sana. Na kama stori hi ni ya kweli basi unapendwa sana, na nina wasi wasi unaweza kuwakosa wote.
Ushauri, endelea kucheza na saikolojia zao km ulivyoanza, may be utawawin.
LOVE mkuu,ina mambo mengi,Najua nimekosea,lakini am not an exceptional kwenye hii society.
Akirudi atawakuta mlangoni wanamsubiri. Ngoja wamtie adabu kidogo,eti anamhurumi atakayemwacha! Alipokuwa anawapanga hakuwahurumia? 40 ndio imefika bro.
Wadau,Msaada wa maamuzi tafadhali.
Kwanza msianze kunialaumu ,shauri kwanza,lawama baadae.
Hapa nilipo i have two girls in my place.Both are my girls.Mmoja alikuja asubuhi kwa taarifa nikawa nimekaa nae hapa,Mwingine akawa amekuja kwa kustukiza.Sasa hapa wamenibana kweli.Nimecheza na saikolojia zao hawajagombana hata kidogo,Zaidi na zaidi wanapiga stori ingawa wamefumaniana.Ila nina ultmatum ya kuamua namtaka nani.La sivyo hawaondoki hapa hata siku ngapi zipite.Wameweka msimamo na hawanielewi kabisa.
Naogopa ku side na mmojawapo kwa sababu nafikiria athari kwa mwingine zitakuwa kubwa.Msaada tafadhali wa mawazo
hivi ukiamua unamtaka nani huyo utakaemtaka atakubali kuwa na wewe?
LOVE mkuu,ina mambo mengi,Najua nimekosea,lakini am not an exceptional kwenye hii society.
Ah! nimezimisi swaga za kule kwetu ushango mabaoni!
manake hapo wanazuoni tunamtafuta al-ustaadh choma choma na sheikh kimzuzu na maustaadh wengine bora bora na mkeka wetu haoo tunawaibukieni hapo mlipo....Tunakupiga mpaka utakubali kuwaoa wote wawili..yani unakuwa ushapata mke mdogo na mke mkubwa bila gharama zako ati! manake maandazi na gahawa twaja navyo...
Twibwili lipo kwako wewe sasa na wakezo wwili tutakaokuacha nao tena legitimate kabisa...
Kama mahakamani kwenye talaka hawajagombania hiyo laptop unayotumia kupostia hii mada(hata kama ni desktop pentium one twende kazi!)