Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
- Thread starter
- #61
Sijakuelewa kijana,sijaongelea love hapo kwenye comment niliyoitoa na wala sijasema kama wewe umekosea!!(sijakimbilia kukuhukumu kama ulivyoomba mwenyewe) Wewe umesema wote ni wife material ndio namie nikasema wife material gani hao waliokaa hapo na kusubiri kuchaguliwa kwani wako kwenye mashindano???!!!!????
Na mimi nasema kwamba wao kubaki hapa hadi sasahivi kusubiri uamuzi wangu sio kwamba sio wife material.Wanaamini kwamba kila mmoja ananipenda sana ndo maana bado nawapa hadhi hiyo.Kosa litakua langu.Lakini ishu sasa hivi ni kus olve situation at hand.Nakaribia kufanikiwa