Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Tushawazoea wanaosaidiwa then utawasikia...na fulani msaidie....ndo weweivi nyie ingekua bure ninge waalika???au hata nauli hamna?
Tushawazoea wanaosaidiwa then utawasikia...na fulani msaidie....ndo weweivi nyie ingekua bure ninge waalika???au hata nauli hamna?
napapenda kweli
sijui kwa nini
lazima niripoti hapo kila wkend
mimi, nitonye, dogo Bagah, Konnie. hunywi AMY?
Sipati picha na hilo foleni la bongo,unapotaka kurudi kwako...
Hahahahaaa huyu ni bwana mdogo anajiita Bagah....leo naona kapewa ofa na Nitty na Kongosho...
Teh anakunywa sana si unajua vya bure kwake ni faraja.....
hatutaki wanywa soda wala juisi.
wee...mtu yuko sisimizi bar anaweza kuntoa ofa mm kweli...sisimizi bia kama police mess...buku buku...nipisheee erick!
Teh teh sawa hapo bila shaka umeibua beki tatuwee...mtu yuko sisimizi bar anaweza kuntoa ofa mm kweli...sisimizi bia kama police mess...buku buku...nipisheee erick!
BAGAH mbona unamchafua köngosho?
hatutaki wanywa soda wala juisi.
Basi nakunywa chai!
Hahahahaaa huyu ni bwana mdogo anajiita Bagah....leo naona kapewa ofa na Nitty na Kongosho...
Teh anakunywa sana si unajua vya bure kwake ni faraja.....
nakula boda boda, dakika 5 tu niko tandale uzuri.
Nimekuja darlin, nilivyokumiss.. Lakini naona vinywaji vimejaa mezani nani huyo anakunywa bia zote hizo eh?!
Amyner mama...habari yako mwaya...!umewaona wachawi wetu?
Nitty imeanza kunchafua eehB52 ndio kanywa zote hizi huoni alivyo kuwa amezungukwa na madada flan hivi
Amy nini tena na huyo dogo???Mi mzima mwaya.. Nataka kuja kukunong'oneza kitu hapo..
B52 ndio kanywa zote hizi huoni alivyo kuwa amezungukwa na madada flan hivi