Wazo kama wazo ni zuri sana
Tatizo ni sababu ya kuacha kazi na je ukishaacha unakwenda kufanya nn au unahamia ofisi gani?
Kwa sababu ulizosema mfano boss anakubana hilo halipaswi kukuachisha kazi na kwenda mtaani kujiari labda uhamie kampuni nyingine
Lingine ni furaha, katika hili lazima uwe makini kwa sababu unaweza acha kazi ukaenda kujiari ukafikiri utapata furaha lkn kiukweli kujiajiri hasa miaka miwili ya mwanzo ni stress sana hakuna furaha coz itakubidi uwe busy sana ikiwezekana kampani zako za kula bata uzikache kabisa!
All in all kujiajiri ni jambo jema sana, cha msingi wazo hilo litoke moyoni na ujiamini kua utaweza.
Tatizo ni sababu ya kuacha kazi na je ukishaacha unakwenda kufanya nn au unahamia ofisi gani?
Kwa sababu ulizosema mfano boss anakubana hilo halipaswi kukuachisha kazi na kwenda mtaani kujiari labda uhamie kampuni nyingine
Lingine ni furaha, katika hili lazima uwe makini kwa sababu unaweza acha kazi ukaenda kujiari ukafikiri utapata furaha lkn kiukweli kujiajiri hasa miaka miwili ya mwanzo ni stress sana hakuna furaha coz itakubidi uwe busy sana ikiwezekana kampani zako za kula bata uzikache kabisa!
All in all kujiajiri ni jambo jema sana, cha msingi wazo hilo litoke moyoni na ujiamini kua utaweza.