Sanoyet
JF-Expert Member
- Apr 3, 2013
- 1,323
- 290
Ndg wana jamvi usiku wa kuamkia leo nimejikuta nikikubwa na ndoto ambayo nimeshuhudia Mh. Lowassa akipita kwa kishindo ktk kura za maoni Dodoma na kuamsha shamrashamra kila kona ya nchi. {Si kawaida yangu kuota wana siasa zaidi ya pilikapilika zangu}. Je ndoto hii ina ukweli? NB: Sitarajii matusi na kejeli.
Kabla ya kulala ulitumia kinywaji au chakula gani? Maana bangi na viroba zina mambo!