Riwa
Platinum Member
- Oct 11, 2007
- 2,607
- 3,068
Wana.JF Nina mpenzi wangu ambaye yuko chuo kikuu tumekubaliana kwa mapenzi ya mungu tunaweza kuwa mwili mmoja,kwa kweli tumekuwa tukikutana kimwili tulikuwa tuna tumia KONDOMU,Ikafikia hatua tukasahau KONDOMU,SASA NIMEJIKUTA NA MAGONJWA YA ZINAA.NINA UHAKIKA YEYE NDIO KANIAMBUKIZA SIJAMWAMBIA,SASA NIMUACHE AU NIMWAMBIE.NISAIDIENI.
Itabidi umwambie ili wote wawili mpate tiba...then kitakachofuata ni juu yako!