Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,105
- 94,899
Wewe hukuangalia mechi mpaka mwisho, Mamelodi wamempiga Mwarabu goli 4 kwa 1 kwao, wanasubiliwa sasa waende South Africa waoneshwe kaburi la Al Ahaly walipozikwa.Binafsi sijafanikiwa kuangalia mechi za Mamelody ila nafikiri ifike muda timu za bongo tujifunze kwa Memolody jinsi ya kuwafunga waarabu mana huwezi kuacha kukutana nao, kwa sababu wamelishika soka la Afrika, timu zao zinapatika katika hatua mbalimbali za mashindano.
Hivi hao Mamelody wanatumia mbinu gani kuwafunga hawa waarabu mana walikuwa wameishashindikana ila kwa sasa Mamelody anajipigia tu Waarabu.
Juzi kampiga Belouzdad goli 3-1, na Belouzdad alikuwa nyumbani.