Busara,hekima na upendo mkubwa kwa watanzania ndiyo dhamila kuu iliyomfanya DK SLAA kukataa kuingia ikulu kwa maandamano.
Hata usalama wa taifa wanalijua na ndiyo maana kauli yao unapodadisi nao husema hivi "ALIYEIKULU SIYO ALIYESTAILI KUWA IKULU MAANA UAMUZI WA WANANCHI HAUKUHESHIMIWA"
Asante sana dk kwa umahili wako mkubwa kuendelea kulijenga taifa maana sela za CHADEMA ndiyo zinazoongoza nchi lakini kwa sababu hawakuzianda ndiyo maana tunashuhudia madudu ndani ya serikali
Hata usalama wa taifa wanalijua na ndiyo maana kauli yao unapodadisi nao husema hivi "ALIYEIKULU SIYO ALIYESTAILI KUWA IKULU MAANA UAMUZI WA WANANCHI HAUKUHESHIMIWA"
Asante sana dk kwa umahili wako mkubwa kuendelea kulijenga taifa maana sela za CHADEMA ndiyo zinazoongoza nchi lakini kwa sababu hawakuzianda ndiyo maana tunashuhudia madudu ndani ya serikali