mtani sooo ulifika mpaka pande za kumpitimbi! hongera sana mtani ukija safari nyingine nitafute nipo kijiji kinachofuta bada ya mpitimbi. utakuta tumekutayarishia pombe inaitwa MYAKAYA brewed using mayau (mihogo). msosi utakuta ugali na namgujulu(mboga ya manyonyoli) utauliza huko huko manyonyoli ndo nini. matunda mtani yapo ya kumwaga kuna masuku, madonga, machungwa mapapai mapwete mpaka hapo mtani nadhani utaridhika na kuomba upewe mdala(mchumba) wa kugega(kuoa) hahahaaaa
Duh! Mkuu umenikumbusha mbali sana! Hivyo vitu tulikuwa tunavipata enzi hizo tukiwa JKT Mlale. Kuna kijiji kimoja kinaitwa Lusonga nilipata 'mdala wa kugega'.