Nililionya mwaka 2021 JF kuhusu Nyerere Day kudharauliwa nikapuuzwa, familia na Kanisa Katoliki Butiama waibuka nalo

Wasitupangie. Kama wanataka hivyo wafanye kwa bajeti zao. Hilo kanisa katoliki linaingilia suala la Nyerere kama nani?

Wao si wanamuombea atawazwe kuwa Mtakatifu Nyerere? Basi waendelee.

Nyerere ndiye muasisi wa Mwenge wa Uhuru na hakuna ubaya wowote kuzimwa siku aliyokufa. Ni ishara tosha mwanga unazimika, ni kumbukumbu ya kifo chake.
 
Naona sasa Mwalimu Nyerere apitishwe kuwa Mtakatifu.

Nakumbuka walisema itakuwa hivyo endapo kitaonekana kitu ambacho siyo cha kawaida kwenye kaburi lake.

Kitu ambacho siyo cha kawaida ni hiki cha Mheshimiwa kuhudhuria kumbukizi yake.
 
Mkuu ulichosema ni kweli kabisa serikali inabidi ione aibu kuhusu suala hili, maana hii ni siku ya muhimu na inayopaswa kuheshimiwa, sababu baba wa taifa alikua na mchango mkubwa sana katika taifa hili la Tanzania.
 
Mkuu ulichosema ni kweli kabisa serikali inabidi ione aibu kuhusu suala hili, maana hii ni siku ya muhimu na inayopaswa kuheshimiwa, sababu baba wa taifa alikua na mchango mkubwa sana katika taifa hili la Tanzania.
Mkuu Bora ziungwe tu hapo tutalia kwa hizo bajeti na posho kwa kawa wazee wa kula kwa urefu was kamba zao.
 
Kanisa Katoliki Butiama Mkoani Mara pamoja na Wanafamilia wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere wameomba Siku ya Mwalimu (Nyerere Day) jnayoadhimishwa tarehe 14 ya kila mwaka ibakie peke yake na kamwe isihusishwe na tukio lingine lolote (mfano kuzima Mwenge) au kuweka mashada ya maua kwa viongozi wengine ili kumuenzi vyema na kumuheshimisha kwa kila kizazi.

Taarifa: Gazeti la Nioashe la Leo tarehe 15 Oktoba, 2023 Ukurasa wa Tatu (3).

Mkiambiwa kuwa GENTAMYCINE si binadamu wa kawaida na ana Shani/Tunu nyingi (hasa za Upeo na Maono) alizopewa nae Mwenyezi Mungu muwe mnakubali hata kama mpo/wapo Wanaomchukia.

Tarehe 14 Oktoba, 2021 hapa hapa JamiiForums GENTAMYCINE nilianzisha Uzi (na bado upo utafuteni) wa kutahadharisha hiki ambacho hatimaye jana kanisa Katoliki Butiama na wanafamilia wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere wamekizungumza na kuomba kifanyike.

Kuunganisha Nyerere Day na Matukio ya kipuuzi na ya kinafiki ya uzimaji wa Mwenge na kuweka Mashada kwa viongozi wengine waliomfuatia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ni kutaka kwa makusudi na kimkakati kumfifisha kihistoria kwa vizazi, kutaka kumpuuza, kutaka kuonyesha hakuwa na umuhimu huo na kwamba waliomfuatia na hata wa sasa ndiyo wameifanyia/wanaifanyia makubwa Tanzania.

Haya GENTAMYCINE nilipotahadhirisha hili mlikuja kunishambulia, kunishangaa na mkachagua kunipuuza hebu sasa fanyeni hivyo kwa Kanisa Katoliki Butiama Mkoani Mara na familia yake kama mnaweza na mna uthubutu huo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Asante sana na mno Mwenyezi Mungu kwa kuniumba "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nilivyo.
kwingine haina shida, itaadhimishwa kwa heshima na kanisa katoliki
 
Nafikiri ungenifaham vizuri ungenipa heshima yangu,Ila nakuhakikishia hakuna wa kumpa Utakatifu Nyerere,Kuanzia sakata la Biafra,Sakata la Oscar Kambona,Azimio la Arusha na mengine mengi.
Wakumpa heshima ni baba yako tu labda.

Ungewaambia,

Pia waulize imekuwaje Mwalimu Nyerere kuitwa Mwenye Heri
 
Kanisa Katoliki Butiama Mkoani Mara pamoja na Wanafamilia wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere wameomba Siku ya Mwalimu (Nyerere Day) jnayoadhimishwa tarehe 14 ya kila mwaka ibakie peke yake na kamwe isihusishwe na tukio lingine lolote (mfano kuzima Mwenge) au kuweka mashada ya maua kwa viongozi wengine ili kumuenzi vyema na kumuheshimisha kwa kila kizazi.

Taarifa: Gazeti la Nioashe la Leo tarehe 15 Oktoba, 2023 Ukurasa wa Tatu (3).

Mkiambiwa kuwa GENTAMYCINE si binadamu wa kawaida na ana Shani/Tunu nyingi (hasa za Upeo na Maono) alizopewa nae Mwenyezi Mungu muwe mnakubali hata kama mpo/wapo Wanaomchukia.

Tarehe 14 Oktoba, 2021 hapa hapa JamiiForums GENTAMYCINE nilianzisha Uzi (na bado upo utafuteni) wa kutahadharisha hiki ambacho hatimaye jana kanisa Katoliki Butiama na wanafamilia wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere wamekizungumza na kuomba kifanyike.

Kuunganisha Nyerere Day na Matukio ya kipuuzi na ya kinafiki ya uzimaji wa Mwenge na kuweka Mashada kwa viongozi wengine waliomfuatia Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ni kutaka kwa makusudi na kimkakati kumfifisha kihistoria kwa vizazi, kutaka kumpuuza, kutaka kuonyesha hakuwa na umuhimu huo na kwamba waliomfuatia na hata wa sasa ndiyo wameifanyia/wanaifanyia makubwa Tanzania.

Haya GENTAMYCINE nilipotahadhirisha hili mlikuja kunishambulia, kunishangaa na mkachagua kunipuuza hebu sasa fanyeni hivyo kwa Kanisa Katoliki Butiama Mkoani Mara na familia yake kama mnaweza na mna uthubutu huo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King. Asante sana na mno Mwenyezi Mungu kwa kuniumba "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nilivyo.
Ujumbe wako unaweza kuwa mzuri ila unatumia nguvu kubwa kuji mwambafai ...... just relax sisi wite humu tunafahamu mzee baba
 
Siku iliwekwa maalumu kwa ajili ya kumuenzi mwasisi wa taifa, inakuwaje watu wanachomeka matukio mengine yanayoondoa attention kwenye umuhimu wa siku yenyewe? inakuwa haieleweki hii kumbukizi ya Nyerere au ni siku ya kuzima mwenge, which is which?​
 
Naunga mkono hoja hii muhimu. Nyerere day ibaki ilivyo ili kuipa uzito inao stahili. Ila mkuu, umemaliza vibaya, kujisifia mno Ni dalili ya magonjwa ya akili....
 
Back
Top Bottom