Nilikuwa Sijui Mwenzenu

Kwa kweli mpendwa bora tu aniite Dena mambo ya sweet, my love, darling hapana kabisa wizi mtupu

Ukiitwa Dena, hilo povu utakalotoa sijui. Utaanza kulalamika oh you don't love me anyome. Povu kibao, kisa sikuiti darling, sweetheart, nk. Halafu kwenye simu yangu niki save number yako kwa jina lako, una edit na kuwa "My Baby" sijui "Mpenzi". Full kuchakachua hata jina lako. lol.
 
Mhhhhh! DA haya mapenzi ya kisiku hizi usanii mtupu!! Wameyachakachua majina yenye uzito mkubwa kwa wapendanao mpaka yanaanza kupoteza ladha yake. Utamwitaje kila mwanaume/mwanamke unayemfahamu sweetie, darling, mpenzi na mengineyo.

Yaani wewe acha tu yaani wamechakachua sana ila yote tisa
mtu akiniita Baby nachukia kweli sijui kwanini naona kama mwizi kabisa
 
Ukiitwa Dena, hilo povu utakalotoa sijui. Utaanza kulalamika oh you don't love me anyome. Povu kibao, kisa sikuiti darling, sweetheart, nk. Halafu kwenye simu yangu niki save number yako kwa jina lako, una edit na kuwa "My Baby" sijui "Mpenzi". Full kuchakachua hata jina lako. lol.

Yaani EMT hiyo My Baby siipendi acha kabisa
 
Yaani wewe acha tu yaani wamechakachua sana ila yote tisa mtu akiniita Baby nachukia kweli sijui kwanini naona kama mwizi kabisa
sasa we bibie mama yako, baba yako, bibi, babu, mjomba, shangazi, kaka, dada na hata rafiki zako wote hao wakuite Dena, hata nanihino nae!! Mi naona kama sometimes inachosha eeh? Au tufute izo lugha za wenzetu tutumie kiswahili tu na lugha za makabila yetu coz hii lugha ya malkia hii inatuficha mengi sana!
 
sasa we bibie mama yako, baba yako, bibi, babu, mjomba, shangazi, kaka, dada na hata rafiki zako wote hao wakuite Dena, hata nanihino nae!! Mi naona kama sometimes inachosha eeh? Au tufute izo lugha za wenzetu tutumie kiswahili tu na lugha za makabila yetu coz hii lugha ya malkia hii inatuficha mengi sana!

Labda hapo ndo panapokuwa shida
 
Habari zenu wapendwa wa MMU!!!Jana nilikuwa napata Lunch maeneo fulani hivi nikiwa na mfanyakazi mwenzangu wakati tukiendelea kupata chakula meza ya karibu na sisi kulikuwa na wasichana watatu nao wanapata chakula............tukasikia:Msichana wa kwanza: Mmmhhh we......akataja jina wewe mbona kila mwanaume wako wamuita Darling??? Maana huyo sio.....alitaja jinaMsichana aliyeulizwa swali: Akasema wewe j...akataja jina yaani wewe unafanya mchezo kweli niwaite kwa majina niumbuke?? Badala ya kusema .....akataja jina.... niseme....akataja jina.....hiyo haiwezekani nikiita kila mtu Darling hakuna atakayeshituka lakini mambo ya kuitana majina NOOOOOOOO ....................Etii ooohh John, Musa, Isaack siwezi mie wote ni Darling kwisha..................Nauliza swali hivi kumbe hii ndo mbinu ya kivita unaita Darling, My Love, Baby, na mengine mengi ili kupotezea ukware ha ha ha ha mie nilikuwa sijui hili wajameni santeni sana enjoy your weekend wapendwa. Me Love You........................DA
Safi DA, kama unakumbuka siku za nyuma kuna uzi mmoja nilishawahi kuuchapisha kuhusu haya majina, kwamba kwa nini tusiitane majina yetu badala ya oh swetie, oh darling, mara baby mtu na umri wote, mara honey mara sijui nini etc, bt watu wakashadadia kwamba hayo majina yana raha yake, na nafiki kutokana na mada yako leo utakuwa umepata majibu kwamba haya majina yanatajwa wakati hayamaanishwi (kwa walio wengi, sio wote) so mi naamini huu ni wizi mtupu!wasalaamu SH.
 
Safi DA, kama unakumbuka siku za nyuma kuna uzi mmoja nilishawahi kuuchapisha kuhusu haya majina, kwamba kwa nini tusiitane majina yetu badala ya oh swetie, oh darling, mara baby mtu na umri wote, mara honey mara sijui nini etc, bt watu wakashadadia kwamba hayo majina yana raha yake, na nafiki kutokana na mada yako leo utakuwa umepata majibu kwamba haya majina yanatajwa wakati hayamaanishwi (kwa walio wengi, sio wote) so mi naamini huu ni wizi mtupu!wasalaamu SH.

Hata ule wa EPA unaafadhali..................naunga mkono hoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom