MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Asprin na Rose1980..............nanyi naona mnataka kubikiri mbavu zangu jumatatu ya leo.
Asprin na Rose1980..............nanyi naona mnataka kubikiri mbavu zangu jumatatu ya leo.
Nilianza urafiki naye akiwa darasa la saba, akamaliza form four hakutaka kunipa kwa minajiri eti hataki mpaka amalize form six, nikavumilia kwa vile nilimpenda sana, nikaomba tena mchezo akiwa form six lakini akakataa madai yake yuko BIKIRA akianza atazoea hivyo kuathiri masomo yake nikamwamini na kumuacha asome, alipomalizza form six akabana tena, tukakorofishana kidogo eti mie nataka kumharibia maisha yake, baada ya kurudiana akanipa bila shida WAKUU kulia kushoto hamna UKUTA, nikamuuliza kwa ustaarabu tu BIBIE VIPI BIKIRA IMEENDA WAPI? Jibu lake eti tulipokorofishana alikutana na mkaka akambikiri...NILIISUBIRIA kwa hamu hiyo BIKIRA lakini sikuiona..
Mwenye bikira jamani hasemagi maana wanaonaga aibu eti hajui mambo, utajistukia tu red carpet ndani ya kitanda ukimuuliza anajiumauma tu, akisema mapema anabikira mhhhhhhh kuna swali hapo na sababu zake
Kwa mujibu wa katiba mpya tunayotaka kuipitisha hiyo kwenye red inaitwa Act Calling. Adhabu yake ni kumkata babu kucha za miguuni kwa mwaka mzima....You have been notified.
Never ever trust dat thing...
ehhhh:teeth::teeth:
pole mwanajamii!!!!!!
Asprin na Rose1980..............nanyi naona mnataka kubikiri mbavu zangu jumatatu ya leo.
Umiiona signature yako?huna mpya:whoo::whoo:Nilianza urafiki naye akiwa darasa la saba, akamaliza form four hakutaka kunipa kwa minajiri eti hataki mpaka amalize form six, nikavumilia kwa vile nilimpenda sana, nikaomba tena mchezo akiwa form six lakini akakataa madai yake yuko BIKIRA akianza atazoea hivyo kuathiri masomo yake nikamwamini na kumuacha asome, alipomalizza form six akabana tena, tukakorofishana kidogo eti mie nataka kumharibia maisha yake, baada ya kurudiana akanipa bila shida WAKUU kulia kushoto hamna UKUTA, nikamuuliza kwa ustaarabu tu BIBIE VIPI BIKIRA IMEENDA WAPI? Jibu lake eti tulipokorofishana alikutana na mkaka akambikiri...NILIISUBIRIA kwa hamu hiyo BIKIRA lakini sikuiona..
both.
na wewe wamwonea huruma?
Asprin na Rose1980..............nanyi naona mnataka kubikiri mbavu zangu jumatatu ya leo.
Happy new year....
Never trust women!!!
never trust MEN as well
Who to be trusted then