kichomi
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 507
- 54
Daah sasa mi wa 2006 sijui nisemeje...
Sema unazeekea JF.
Daah sasa mi wa 2006 sijui nisemeje...
Sema unazeekea JF.
kaka usifanye hivyo kwa sasa bado mapema, 2nahitaji mchango wako hapa jamvin.
Daah sasa mi wa 2006 sijui nisemeje...
duuh! Mkuu kumbe ww wa kitambo 2006 ndio kwanza nilikuwa form iv St.Mary's Visiga Seminary.
Daah sasa mi wa 2006 sijui nisemeje...
Mm nimepoteza marafiki zangu woote, wa kike wa JF. Hata Preta niliyekuwa nafikia kwake Arusha kanichunia. Huu mwaka hakuwa rahisi kwangu. Afrdenzi ndio hataki hata kuniona. I miss u Afro.