adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,952
- 23,099
Habari zenu wana Jf wote natumaini hamjambo .
Tarehe kama ya leo ilikua mwaka 2017 nilijiunga rasmi katika mtandao huu pendwa wa Jf.Mara ya kwanza kuijua Jf ilikua gugo wakati natafuta content fulani nikaletewa moja kwa moka humu na kujionea madini na nikawa napita kila siku na nikawa addicted baada ya Freebasic kuingia kipindi sina bando nikawa nakuja Jf kuchangasha akili hatimaye kujinga rasmi baadae.
Kipindi najiunga nilikuta Jf ina moto kidogo mpaka nikawa ninaogopa kucomment hovyo na kuanzisha nyuzi kutokana na watu humu wanavyotoa madini na wanavyokosoa kwa facts huku kusindikizia na madongo makali nikaona bora niwe msomaji sana kuliko kuchangia.
Kupitia Jf nimejifunza vitu vingi mno na najivunia kuwa katika jamii ya great thinkers shukurani zangu nyingi WanaJf wote humu.
#Alhamdulilah#Nimetimiza#Mi5tena#@JamiiForum
Tarehe kama ya leo ilikua mwaka 2017 nilijiunga rasmi katika mtandao huu pendwa wa Jf.Mara ya kwanza kuijua Jf ilikua gugo wakati natafuta content fulani nikaletewa moja kwa moka humu na kujionea madini na nikawa napita kila siku na nikawa addicted baada ya Freebasic kuingia kipindi sina bando nikawa nakuja Jf kuchangasha akili hatimaye kujinga rasmi baadae.
Kipindi najiunga nilikuta Jf ina moto kidogo mpaka nikawa ninaogopa kucomment hovyo na kuanzisha nyuzi kutokana na watu humu wanavyotoa madini na wanavyokosoa kwa facts huku kusindikizia na madongo makali nikaona bora niwe msomaji sana kuliko kuchangia.
Kupitia Jf nimejifunza vitu vingi mno na najivunia kuwa katika jamii ya great thinkers shukurani zangu nyingi WanaJf wote humu.
#Alhamdulilah#Nimetimiza#Mi5tena#@JamiiForum