Nilichokiona na Kukisikia Kijijini Nyololo, Siku 4 Baada ya Mauaji ya Mwandishi Daud Mwangosi...

Mkuu ZeMarcopolo, read him in between the lines utamuelewa, mbona mimi nimemsoma mara moja tuu, nimemuelewa!.

Mkuu sana Pasco kuna kuelewa na kuamini kuwa tumemuelewa. Uandishi wa kuacha maswali mengi na kuruhusu majibu yote kuwa sahihi si wa karne hii. Maggid anaogopa kuwaambia ukweli wale anaotaka kuwapa ujumbe, why? mbona akitoa ujumbe kwa "upande wa pili" huwa anakuwa straight forward?

B.t.w mkuu Pasco leo ukienda church usisahau kuiombea nchi yetu amani.
Jumapili njema...
 
Last edited by a moderator:
Watch this Guy carefully huyu mwenye pensi, picha ya kwanza na ya pili yupo akiwa amenyoosha bastora juu. what was mission of this Guy!!??

attachment.php


attachment.php
 
Kumbuka kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zao. Wanapohisi kuwa mkutano/maandamano fulani yatasababisha uvunjifu wa amani, lazima wayasambaratishe, huu ni wajibu wao. Na hiki ndicho kimekuwa kikitokea Arusha. Mikutano iliyofanyika bila polisi ni kwamba polisi walifanya uchunguzi na kuona hapatakuwa na negative impact yoyote, ndio maana wakaacha iendelee bila uwepo wao.

Kuhusu waislam, kumbuka waislam waliandamana kwa amani na habari hii polisi walikuwa nayo mapema na waliona kutakuwa hamna uvunjifu wa amani. Maandamano ya waislam yalikuwa na common goal ambalo ni achievable. Tofaut na hawa CDM wanaojiamkia tu kuingia barabarani bila kujua wanahitaji nini. Kumbuka pia masuala ya siasa na masuala ya iman ni vitu viwili tofauti kabisa. Treatment ya watu wanaondamana kwa masuala ya kiimani na kisiasa ni tofauti kabisa.

kwa tukio la nyololo sababu ya kuingilia ufunguzi wa tawi ilikua ni sababu kupisha SENSA.
Je maandamano yetu ya ijumaa hapo dar hayakuingilia shuhuli za SENSA??
 
Maggid, no offense lakini mbona sioni habari katika ulichoandika?

Kwamba watu wana hofu ni kitu kinachofahamika na sidhani kama kinastahili kuanzishiwa thread.

Kwamba ukweli utafutwe, ndio lilikuwa linazungumziwa toka siku ya kwanza.

Kwamba watu wana majonzi sidhani kama linahitaji kulifungia safari mpaka Nyololo.

What exactly is the output of your visit to Nyololo?
Nahisi lengo lake lilikuwa kutufahamisha kwamba alifika Nyololo, akaongea na kina Mama wa pale, akawasalimia Kamwene na muhimu zaidi hakupokea simu ya Mtangazaji wa Ebony FM. Ukweli sijaona kingine kwenye habari hii na kibaya zaidi maggid harudi hapa kufafanua hoja za wachangiaji
 
Last edited by a moderator:
Hapo kwenye red inadhihirisha mkuki kwa nguruwe, Pia unapaswa kufahamu hapo Nyalolo ilikua ni ufunguzi wa tawi na haikua mkutano wala maandamano, inadhihirisha kuwa mmeshindwa kasi ya mabadiliko mpaka mnaamua kuingilia shuhuli za CDM kwa kutumia mtutu.
Hapo kwenye blue, nilikuwepo mlivyouwa raiya kwenye maandamano ya arusha na hatujasita kuhunduria mikutano ya chadema.
Hichi unachokifanya hapa ni ule muendelezo wa CCM kujitekenya wenyewe na kucheka wenyewe.


Arusha na sehemu nyingine tanzania ni tofauti kabisa. Angalia % ya waliodhuria maandamano na mikutano ya CDM kabla na baada ya mauaji. Idadi yao ni sawa?
Kafanye ka utafiti kadogo halafu uje hapa.
 
kwa tukio la nyololo sababu ya kuingilia ufunguzi wa tawi ilikua ni sababu kupisha SENSA.
Je maandamano yetu ya ijumaa hapo dar hayakuingilia shuhuli za SENSA??

Mkuu tofautisha masuala ya kisiasa na kiimani. Nimeshakuambia, treatment ya haya masuala mawili ni tofuti
 
Arusha na sehemu nyingine tanzania ni tofauti kabisa. Angalia % ya waliodhuria maandamano na mikutano ya CDM kabla na baada ya mauaji. Idadi yao ni sawa?
Kafanye ka utafiti kadogo halafu uje hapa
.

case study: Igunga.
Nadhani umenielewa.
 
Maggid, so you think watu kutopenda kujihusisha katika masuala ya Siasa ambapo wataelezwa nini Serikali yao inafanya na nini imeshindwa ni kitu kizuri,,,,,nahisi kama vile unafanya Propaganda na kutaka kuogofya watu vile....Nashauri uwatie moyo please ili wapewe elimunya uraia badala ya kuandika Insha zenye mwelekeo wa kuwatisha wasishiriki POLITICS
 
Watch this Guy carefully huyu mwenye pensi, picha ya kwanza na ya pili yupo akiwa amenyoosha bastora juu. what was mission of this Guy!!??

attachment.php

Nikiiangalia hii picha kwa umakini naona hawa jamaa wote hawana mwonekano wa ki askari au ndio wale wahuni walio pew uniform na bunduki?
 
umeona ehh?Nilidhani ni mimi peke yangu nileyeona hichi kilichoandikwa ni habari ya kufikirika.Nadhani Maggid alitaka tujue kuwa alifika Nyololo.
Nimesoma editorial ya The Gurdian ya Leo Jpili. Namshauri Maggid aisome. Hata hivyo, hadi sasa sijaelewa kwa nini anaendelea kuandika provocative articles wakati huu ambao bado watu wako kwenye maombolezo.
 
Mkuu tofautisha masuala ya kisiasa na kiimani. Nimeshakuambia, treatment ya haya masuala mawili ni tofuti

bado hujajibu swali husika.
Pia unavyotaka kutofautisha masuala ya kiimani na kisiasa mfano rahisi uwe hivi: kama ni maandamo ya wakristo ya kupinga kuchomwa kwa bibilia hayo direct ni maandamano ya kiimani, Ila kama wakristo wataandamana kwa maswala ya SENSA moja kwa moja maandamano hayo sio ya kiimani bali ni ya kisiasa.
Think critically utaelewa.
 
sasa mkuu kama umeshindwa kuujua ukweli na ulikuwa kwenye eneo la tukio unategemea nani atupe ukweli??pamoja na kwamba unajiita profesional jornalist bado huna umakini'kabla hujaandika story kama hii unatakiwa kuisoma na ufikiri juu ya wasomaji wataielewa vipi,unajiita mwandishi uliyebobea lakini unaanzisha mambo na kuyaacha hewani
Wewe ni mmoja wa waliotufikisha hapa tulipo
 
Nahisi lengo lake lilikuwa kutufahamisha kwamba alifika Nyololo, akaongea na kina Mama wa pale, akawasalimia Kamwene na muhimu zaidi hakupokea simu ya Mtangazaji wa Ebony FM. Ukweli sijaona kingine kwenye habari hii na kibaya zaidi maggid harudi hapa kufafanua hoja za wachangiaji

Inawezekana pia Maggid anaona noma kumuahidi mwendesha kipindi cha morning talk kuwa atashiriki then akaingia mitini. Sasa bada¨la ya kumuomba radhi mwandishi mwenzake yeye anatumia JF kama platform ya kumjulisha jamii kuwa kamuangusha kwa sababu ya hali halisi ya Nyololo.

Jokes aside, kimsingi shughli rasmi iliyopangwa kufanyika Nyololo ni ufunguzi wa tawi la CHADEMa, mengine yote yaliyotokea ni secondary to shughuli hiyo kwa hiyo ujumbe anaoutoa Maggid (kwa tafsiri yangu)ni kwamba Nyololo hawapendi tena kuletewa agenda za siasa na wageni (in this matter CHADEMA) na hiyo imemfanya hata yeye kuogopa kujulikana kama mgeni anayetaka kuleta siasa kijijini hapo. Maggid amehofia wangeweza hata kumdhuru kwa hasira zao juu ya CHADEMA. Lakini swali ni je, kwanini Maggid hawezi kuwaambia CHADEMA ukweli? Kwanini anatumia mafumbo?
 
Ndugu zangu,

IJUMAA alfajiri ya Septemba 7 niliondoka nyumbani Iringa kuelekea Njombe kikazi

Hakika, niliyoyaona kutoka kwa wakazi wa Kijijini Nyololo ni pamoja na hofu, mashaka, hasira na zaidi maswali ya ' Kwa nini?". Kuna wanaojisikia vibaya sana kuona tukio lile baya limetokea kijijini kwao. Kuna wanaojisikia kukatishwa tamaa na mambo ya siasa na hawaipendi siasa kwa sasa. Kuna wanaojisikia aibu kuwa Kijiji chao kimejulikana sasa kwa sifa mbaya ya mauaji. Kuna wanajisikia kuwa watu wa kutoka nje wamekuja na kufanya mambo mabaya kijijini kwao.

[FONT=Arial, Arial, Tahoma, Calibri, Geneva, sans-serif][/FONT]Na kikubwa nilichokiona ni kuwa; wakazi wa kijijini Nyololo wana ukweli ambao huenda wengine hawaufahamu. Ni wajibu wa wote wenye jukumu la kuusaka ukweli mzima wa kilichotokea kuwasikiliza wakazi wa Nyololo pia.

Na bila shaka, kama Taifa, Nyololo inaweza kutusaidia kufungua ukurasa mpya wa namna iliyo bora na salama ya kwenda mbele kama ndugu wa Taifa moja. Kwamba kilichotokea Nyololo kisitokee tena.

Maggid,
Iringa.
Mkuu Maggid,
Nilipo kusoma headline yako na jinsi ulivyoingia kijijini Nyololo kininja, nilijiaminisha wewe ni investigative journalist wa very high calibre, hivyo utashuka na bonge la story la ukweli ambao sisi hatuujui!, nilipokusoma mpaka mwisho, nikadhani hakuna chochote ulichoandika, yaani nil!.

Ndipo nikakusoma tena na tena in between the lines, kama wakazi wa kijiji cha Nyololo, wanaukweli fulani ambao tulipaswa kuujua, hao wenye jukumu la kuusaka ukweli mzima ni kina nani, kama mwandishi nguli ndani ya camoufladge ya mkata mbao, ametinga kijijini Nyololo na kutoka with nothing!, nani hao wa kutuletea something?!.

Nlipokusoma kuwa umeamua kutinga Nyololo, nikajua lengo lako ni kuepuka second hand news, hivyo umetia timu ili upate with your own ayes and your own ears!, kipi sasa ulichotuletea ambacho sisi hatukijui?!.

Nilidhani utakwenda mpaka eneo la tukio, utafanya simple assesment ya Nyololo ile uliyoijua na Nyololo hii ya damu ya ukombozi!. Nilidhani utawauliza wenyeji, baada ya tukio lile, what does that mean kwa siasa za Nyololo, nadhani uliogopa kusikia kuwa Chama fulani wamekichoka mpaka hawataki kukisikia na 2015, wanaisubiri kwa hamu ili wakiathibu kufidia unyama mkubwa uliofanywa kijijini kwao?!.

Mkuu Maggid, unatueleza kuwa "Hakika, niliyoyaona kutoka kwa wakazi wa Kijijini Nyololo ni hofu, mashaka, hasira na maswali ya ' Kwa nini?". Wewe kama mwandishi makini, na unayoyasema ni hakika uliyoyaona, ulipaswa kusema wakazi hao wana hofu ya nini, mashaka ya nini, hasira za nini na kwa nani?, hili la kusema eti wanajiuliza ni kwa nini kimetokea kilicho tokea, as if hao ni watoto wadogo hawajui ni nini kilichotokea na kanini kimetokea?.

Baada ya kukusoma kwa makini, ndipo nikagundua the motive behind makala yako hii, kumbe lengo kuu la safari ya Nyololo ni kuja kutueleza kuwa "Wana Nyololo wame "kukatishwa tamaa na mambo ya siasa na hawaipendi siasa kwa sasa. Kuna wanaojisikia aibu kuwa Kijiji chao kimejulikana sasa kwa sifa mbaya ya mauaji. Kuna wanajisikia kuwa watu wa kutoka nje wamekuja na kufanya mambo mabaya kijijini kwao.

Kumbe Kumbe the botom line ya makala yako, ni kuhusu hawa watu kutoka nje waliokwenda kijijini hapo kusababisha mauaji, sasa wanajisikia aibu jinsi watu hao kutoka nje, walivyokipatia sifa mbaya kijiji chao kuwa ni kijiji cha mauaji!, hivyo wamekatishwa tamaa na mambo ya siasa na hawaipendi tena siasa ya hawa watu wa kutoka nje!.

[FONT=Arial, Arial, Tahoma, Calibri, Geneva, sans-serif]Mkuu Maggid, wewe ni rafiki yangu na mwana habari mwenzangu, nikikuhesabu kuwa hauna upande unaouegemea kama nilivyo mimi, bali tunaegemea kwenye ukweli tuu "nothing but the truth", wewe umefika eneo la tukio tukitegemea hiyo "truth" halafu unamaliza wuth nothing ukiwaajia mzigo wa kuutafuta huo ukweli kwa wengine!, kama hukuweza kutuletea huo ukweli, what was your point kwenda Nyololo?, unatuletea mada za ki fb kuwa na wewe umefika Nyololo mara baada ya mauaji with nothing more, nothing less!.

You should have done your homework na kuja with something!. Hiyo vox pupuli ya hao kina mama wauza mbogamboga hapo sokoni na watoto ambao hawajawahi kusikia mlio wa bomu la machozi, is not enaugh ku justfy opinion yako kuhusu hao watu wa kutoka nje waliokuja kufanya mambo mabaya kijijini kwao!.

Hata hivyo nakushukuru kwa kutotueleza hao watu kutoka nje ni kina nani, kwa sababu wanafahamika, na pia nimeona jinsi ulivyokwepa kabisa kuwazungumzia wauwaji!.

Wasalaam

Pasco.
[/FONT]
 
sasa mkuu kama umeshindwa kuujua ukweli na ulikuwa kwenye eneo la tukio unategemea nani atupe ukweli??pamoja na kwamba unajiita profesional jornalist bado huna umakini'kabla hujaandika story kama hii unatakiwa kuisoma na ufikiri juu ya wasomaji wataielewa vipi,unajiita mwandishi uliyebobea lakini unaanzisha mambo na kuyaacha hewani
Wewe ni mmoja wa waliotufikisha hapa tulipo
 
sasa mkuu kama umeshindwa kuujua ukweli na ulikuwa kwenye eneo la tukio unategemea nani atupe ukweli??pamoja na kwamba unajiita profesional jornalist bado huna umakini'kabla hujaandika story kama hii unatakiwa kuisoma na ufikiri juu ya wasomaji wataielewa vipi,unajiita mwandishi uliyebobea lakini unaanzisha mambo na kuyaacha hewaniWewe ni mmoja wa waliotufikisha hapa tulipo
Huwa sielewi huyu bwana huwa anaandika nini. Bahati nzuri, hii mitandao siku hizi imekuwa archives za kuaminika. Ipo siku tutamwomba ufafanuzi ili hata sie wavivu wa kufikiri tupate kumwelewa.
 
Am sorry Maggid! I respect you a lot, but today you are speaking in parables
 
Mkuu Maggid, unatueleza kuwa "Hakika, niliyoyaona kutoka kwa wakazi wa Kijijini Nyololo ni hofu, mashaka, hasira na maswali ya ' Kwa nini?". Wewe kama mwandishi makini, na unayoyasema ni hakika uliyoyaona, ulipaswa kusema wakazi hao wana hofu ya nini, mashaka ya nini, hasira za nini na kwa nani?, hili la kusema eti wanajiuliza ni kwa nini kimetokea kilicho tokea, as if hao ni watoto wadogo hawajui ni nini kilichotokea na kanini kimetokea?.

Baada ya kukusoma kwa makini, ndipo nikagundua the motive behind makala yako hii, kumbe lengo kuu la safari ya Nyololo ni kuja kutueleza kuwa "Wana Nyololo wame "kukatishwa tamaa na mambo ya siasa na hawaipendi siasa kwa sasa. Kuna wanaojisikia aibu kuwa Kijiji chao kimejulikana sasa kwa sifa mbaya ya mauaji. Kuna wanajisikia kuwa watu wa kutoka nje wamekuja na kufanya mambo mabaya kijijini kwao.

Kumbe Kumbe the botom line ya makala yako, ni kuhusu hawa watu kutoka nje waliokwenda kijijini hapo kusababisha mauaji, sasa wanajisikia aibu jinsi watu hao kutoka nje, walivyokipatia sifa mbaya kijiji chao kuwa ni kijiji cha mauaji!, hivyo wamekatishwa tamaa na mambo ya siasa na hawaipendi tena siasa ya hawa watu wa kutoka nje!.

Mkuu Maggid, wewe ni rafiki yangu na mwana habari mwenzangu, nikikuhesabu kuwa hauna upande unaouegemea kama nilivyo mimi, bali tunaegemea kwenye ukweli tuu "nothing but the truth", wewe umefika eneo la tukio tukitegemea hiyo "truth" halafu unamaliza wuth nothing ukiwaajia mzigo wa kuutafuta huo ukweli kwa wengine!, kama hukuweza kutuletea huo ukweli, what was your point kwenda Nyololo?, unatuletea mada za ki fb kuwa na wewe umefika Nyololo mara baada ya mauaji with nothing more, nothing less!.

You should have done your homework na kuja with something!. Hiyo vox pupuli ya hao kina mama wauza mbogamboga hapo sokoni na watoto ambao hawajawahi kusikia mlio wa bomu la machozi, is not enaugh ku justfy opinion yako kuhusu hao watu wa kutoka nje waliokuja kufanya mambo mabaya kijijini kwao!.

Hata hivyo nakushukuru kwa kutotueleza hao watu kutoka nje ni kina nani, kwa sababu wanafahamika, na pia nimeona jinsi ulivyokwepa kabisa kuwazungumzia wauwaji!.

Hapa umemaliza kila kitu...
 
Back
Top Bottom