kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Kaka yangu amefariki last two weeks.
Alikua Mtumishi wa Umma wa cheo kikubwa tu wizara fulani.
Ofcoz, siwezi kudanganya serikali iliuchukua huu msiba serious, sijajua ni kwa sababu ya miongozo yao au ni kwa sababu ya ukaribu kati ya bro na boss wake. Anyway bro alifaraiki ghafla sababu tuliyoambiwa na Madaktari ni heart attack.
Msiba wa kaka umehudhuriwa na wananchi wa kawaida sana kuanzia wachimba kaburi mpaka waombolezaji.
Kipindi cha uhai wa kaka, kuna kipindi niliwahi kumsikia kwa maskio yangu akiongea na mpaka Raisi wa nchi kuhusu masuala fulani kaka leo kafariki kwenye mazishi yake nimesikia tu salamu za waziri wake.
Nilichojifunza, hivi vyeo vya duniani ni nonsense mbele ya Mungu. Leo kaka kafariki wanaomuogesha ni wananchi wa kawaida tu tena wa kule kijijini kwetu na wanafamilia.
Tutende mema tukiwa hai, nilichokishuhudia kule mortuary na nafasi aliyokua nayo kaka ni vitu viwili tofauti kabisa.
Alikua Mtumishi wa Umma wa cheo kikubwa tu wizara fulani.
Ofcoz, siwezi kudanganya serikali iliuchukua huu msiba serious, sijajua ni kwa sababu ya miongozo yao au ni kwa sababu ya ukaribu kati ya bro na boss wake. Anyway bro alifaraiki ghafla sababu tuliyoambiwa na Madaktari ni heart attack.
Msiba wa kaka umehudhuriwa na wananchi wa kawaida sana kuanzia wachimba kaburi mpaka waombolezaji.
Kipindi cha uhai wa kaka, kuna kipindi niliwahi kumsikia kwa maskio yangu akiongea na mpaka Raisi wa nchi kuhusu masuala fulani kaka leo kafariki kwenye mazishi yake nimesikia tu salamu za waziri wake.
Nilichojifunza, hivi vyeo vya duniani ni nonsense mbele ya Mungu. Leo kaka kafariki wanaomuogesha ni wananchi wa kawaida tu tena wa kule kijijini kwetu na wanafamilia.
Tutende mema tukiwa hai, nilichokishuhudia kule mortuary na nafasi aliyokua nayo kaka ni vitu viwili tofauti kabisa.