Nilichogundua kuhusu Arusha

Mkuu nilimzungusha kdogo mitaa ya bwiru, akahamia kwenye GDP, hatujakaa sawa mara akatokea fisadi kuu...akahamisha mada kwenye tax revenue regional statistics, nikamwambia tubak mjin...akaniletea unofficial report hku ak ignore ilemela, nikamwambia bas anipatie statistics ya mapato ya nyamagana, ilemela na arusha district...Mara viwanda vilivyoanzishwa Kilimanjaro, mara biashara, nikamwambia alete takwimu hzo kiwilaya zaid... Viwanda vilivyoanzishwa ilemela, nyamagana, arusha, mosh nk....mana hapa issue ni mji vs mji, sio regional vs regional
Unapendaga ubishi usio na msingi, unasema nimeleta data unofficial wakati ile imetoka TAMISEMI.. Mimi siko Mwanza, wewe ndiye huko Mwanza, Kama nilicholetea ni uongo basi leta wewe uliyeko huko Mwanza mapato ya kweli. Ni aibu kwa wewe uliyeko Mwanza uniombe mimi ambaye siko huko data za Mwanza ambazo unaweza kuzipata kwa Mkurugenzi wako..

Usiwe unabisha kwa maneno matupu... Leta hapa vithibitisho..
 
Unapendaga ubishi usio na msingi, unasema nimeleta data unofficial wakati ile imetoka TAMISEMI.. Mimi siko Mwanza, wewe ndiye huko Mwanza, Kama nilicholetea ni uongo basi leta wewe uliyeko huko Mwanza mapato ya kweli. Ni aibu kwa wewe uliyeko Mwanza uniombe mimi ambaye siko huko data za Mwanza ambazo unaweza kuzipata kwa Mkurugenzi wako..

Usiwe unabisha kwa maneno matupu... Leta hapa vithibitisho..
Dah..mkuu we ndo ulileta data zako...bas anyway usiwe ugomvi sana...!!! Ngoja tuishie hapa
 
msimu wa 2012/2013 makusanyo kulingana Na vyanzo via halmashauri Ni kama ifuatavyo
viwango Katika mamilioni tshs.

mwanza city council 7,053.7
mbeya municipal 5,206.4
arusha municipal 4,313.2

hiyo Ni kutoka website ya tamisemi
 
Nimeangalia hapo kwenye web Arusha City Council wenyewe walikusanya katika Own Source Revenue Tshs 8,496,074,000/= na Intergovernmental Transfers ni Tshs 32,916,721,744/= ambapo inapelekea total Revenue kuwa Tshs 41,412,795,744/=

Ambapo Mwanza City Council wenyewe walikusanya katika Own Source Revenue Tshs 12,187,322,000/= na Intergovernmental Transfers Tshs 70,061,388,073/= na kufanya jumla ya Revenue kuwa Tshs 82,248,710,073

kwa hesabu hizo Mwanza City Council walikusanya mara mbili zaidi ya Arusha City Council...
 
Nimeangalia hapo kwenye web Arusha City Council wenyewe walikusanya katika Own Source Revenue Tshs 8,496,074,000/= na Intergovernmental Transfers ni Tshs 32,916,721,744/= ambapo inapelekea total Revenue kuwa Tshs 41,412,795,744/=

Ambapo Mwanza City Council wenyewe walikusanya katika Own Source Revenue Tshs 12,187,322,000/= na Intergovernmental Transfers Tshs 70,061,388,073/= na kufanya jumla ya Revenue kuwa Tshs 82,248,710,073

kwa hesabu hizo Mwanza City Council walikusanya mara mbili zaidi ya Arusha City Council...
Chapa Masai sjui zimepotelea wapi na katambuga zao.....!!!!
 
Mradi Wa kawe upo hati hati....kinachofata ni safari city kupigwa chini....kuna watu cjui watajificha wap humu
 
Nimejifunza vitu vingi sana hapa. Kwanza, tuelewe miji yote inajengwa na kodi za watanzania, especially miundombinu na miradi mikubwa ni kodi za wananchi wote wa TZ, so haya majiji yote (Dar, Mwanza na Arusha) yanajengwa kwa kodi za wananchi wa Arusha, Dar, Mwanza, Tanga, Mbeya n.k.
Pili, kila jiji lina uzuri wake kutokana na mazingira liliyopo. Arusha kuna hali ya hewa nzuri na hoteli nyingi kubwa za kitalii katikati ya jiji, Mwanza kuna beach nzuri za maji baridi kuliko sehemu yoyote TZ (Dar na Znz ni maji chumvi) na hoteli nyingi nzuri za Mwanza zipo nje kidogo along the shore of lake Victoria e.g Malaika, Tunza, Tilapia na viwanja kama Charcoal ribs, Jembe Beach.. etc. So kila sehemu kuna uzuri wake kutokana na mazingira ya sehemu husika na hitaji la mtu husika, iwe Dar, Mwanza or Arusha.
 
Hahahaaa watu wanachekelea budget plannings hawajui hata mtu unaweza kuplan kutumia billion 12 this year ukaishia kutumia elfu 47.5 achilia mbali plannings zenyewe kuwa za mwaka 47.

TRA Mwanza/Geita waliplan kukusanya trillion 8 wakaambulia billion 123 mwaka 2015

TRA Mwanza washindwa kufikia lengo
 
Kuna watu wachovu sana hakuna kitu kichwani... hajui hata Own Source Revenue katika halmashauri ni kitu gani... anasema eti ni budget plan...

Bupuru tupu, hakuna kitu...
 
Hahahaaa watu wanachekelea budget plannings hawajui hata mtu unaweza kuplan kutumia billion 12 this year ukaishia kutumia elfu 47.5 achilia mbali plannings zenyewe kuwa za mwaka 47.

TRA Mwanza/Geita waliplan kukusanya trillion 8 wakaambulia billion 123 mwaka 2015

TRA Mwanza washindwa kufikia lengo

serikali nzima inahangaika kukusanya 1 trillion tena kwa sasa, kipindi kile ilikuwa billion 800-900 kwa mwezi, kwa hiyo mapato ya serikali yalikuwa hayafiki trillion 10, leo mwanza na geita wakusanye 8 trillion, zungusha akili yako achana na uandishi wa watu wasiotumia akili na wewe uwafuate kwa ujinga wao
 
serikali nzima inahangaika kukusanya 1 trillion tena kwa sasa, kipindi kile ilikuwa billion 800-900 kwa mwezi, kwa hiyo mapato ya serikali yalikuwa hayafiki trillion 10, leo mwanza na geita wakusanye 8 trillion, zungusha akili yako achana na uandishi wa watu wasiotumia akili na wewe uwafuate kwa ujinga wao
TRA wanakusanya hiyo pesa kwa mwaka regional revenue.

Hiyo unayoifananisha nayo ni kwa mwezi national wide revenue.

Alafu sitegemei waandishi naongea kitu ninachokutana nacho kila siku.

Wewe ndio nakuona hata haujui unachoongelea.
 
Kuna watu wachovu sana hakuna kitu kichwani... hajui hata Own Source Revenue katika halmashauri ni kitu gani... anasema eti ni budget plan...

Bupuru tupu, hakuna kitu...

Wewe nimeamua tu kukupuuza sababu taarifa zako ni za uongo mtupu na hazina uwiano kajifunze maana ya haya maneno kwanza ndio uje hapa.

Regional Council
City Council
Municipal Council
District Council

unafananisha Revenue ya Arusha Municipal Council yenye District moja ambayo hata haijakamilika (Municipal) na Mwanza City Council yenye two whole districts?

Hauna uelewa na unachoongea zaidi ya ushabiki.
Hata Own Source Revenue zinakadiriwa vilevile.
Plannings are always wishes sisi tumeleta Reports sio viplan vya miaka ya uhuru.

Leta Reports angalau Arusha ikiwa jiji.
 
Wewe nimeamua tu kukupuuza sababu taarifa zako ni za uongo mtupu na hazina uwiano kajifunze maana ya haya maneno kwanza ndio uje hapa.

Regional Council
City Council
Municipal Council
District Council

unafananisha Revenue ya Arusha Municipal Council yenye District moja ambayo hata haijakamilika (Municipal) na Mwanza City Council yenye two whole districts?

Hauna uelewa na unachoongea zaidi ya ushabiki.
Hata Own Source Revenue zinakadiriwa vilevile.
Plannings are always wishes sisi tumeleta Reports sio viplan vya miaka ya uhuru.

Leta Reports angalau Arusha ikiwa jiji.
Lakini tuliaminishwa ni mijawapo ya mkoa maskini kwa kipato wakati wa kupitisha bajeti mwaka huu.
 
Mkuu leta mapato ya wilaya ya ilemela, nyamagana na arusha...tufunge mjadala
Yani wewe ni hovyo kabisa...Umekaa kishabiki na ubishi kimbe kichwani ni matope....Badala wewe ndo utuletee data za Mkoa wako unataka huyu wa Arusha ndo akuletee...

Nimefuatilia huu mjadala ila nimeona watu wanaoutetea mkoa wa Mwanza huenda wote mlipata Div 4 au Zero..Huna facts, huna data, hujui chochote....

Toa aibu hapa...shwain kabisa
 
Wewe nimeamua tu kukupuuza sababu taarifa zako ni za uongo mtupu na hazina uwiano kajifunze maana ya haya maneno kwanza ndio uje hapa.

Regional Council
City Council
Municipal Council
District Council

unafananisha Revenue ya Arusha Municipal Council yenye District moja ambayo hata haijakamilika (Municipal) na Mwanza City Council yenye two whole districts?

Hauna uelewa na unachoongea zaidi ya ushabiki.
Hata Own Source Revenue zinakadiriwa vilevile.
Plannings are always wishes sisi tumeleta Reports sio viplan vya miaka ya uhuru.

Leta Reports angalau Arusha ikiwa jiji.
Hivi wewe umeingia kwenye hiyo web au unaongea tu...?! Kwenye hiyo web kuna Halmashauri zote Tanzania na kiasi kilichokukusanywa katika Vyanzo vya Halmashauri yaani Own Source Revenue zipo data mwisho mpaka mwakaa 2012/2013

kuna sehemu unaingiza mwaka unachagua na Halmashauri unachagua unataka halmashauri ipi, katika orodha kuna Arusha City Council, kuna Mwanza City Council pia kuna Ilemela Municipal Council...

Sasa wewe unabisha hata hujaingia, yaani unapinga vitu visivyokuwepo... labda nikuulize yaani unaweza ukakadiria kiaje kwamba tumepata kitu fulani ilhali mnakusanya...?! Labda nikuulize zile kodi za majengo halmashauri wanazokusanya kodi za huduma ambapo huwa ni 0.3% ya sales turnover wanakadiriaje...?! Kodi ya hotel ambayo huwa ni 10% ya mauzo halmashauri wanakadiriaje kama wamekusanya...?! Ushuru wa mabango huwa wanakadiaria kiaje kama imekusanywa...?! Ushuru wa masoko na minada, ushuru wa maua, ushuru wa mazao, ada za leseni za biashara vyanzo vipo vingi halmashauri wanaweza wakakadiariaje kama wamekusanya...?!

sasa huwa kuna kitu kimoja huwa wanapewa target wakusanye kiasi fulani kulingana na halmsahauri husika na vyanzo vyake vya ndani katika mwaka sasa wanaweza wakavuka malengo au wakakusanya kwa asilimia fulani kubwa...

Kama unasema makusanyo yanakadiriwa basi na TRA wanakadiria pia, sidhani kama hata kama unajua miundo ya halmashauri unaweza ukawa unaongea lakini hujui unachoongea...

Unajua kwamba kuna maeneo ya halmashauri ya wilaya ya Arusha yalichukuliwa na halmashauri ya manispaa ya Arusha ili kuweza kuwezesha manispaa ya Arusha kuwa jiji na walipata hadhi kuna kata kama tatu zilichukuliwa mfano ni kata ya Moshono...
 
Lakini tuliaminishwa ni mijawapo ya mkoa maskini kwa kipato wakati wa kupitisha bajeti mwaka huu.
Huwezi kusema tumeaminishwa ile ni report ambayo imepitia process za kisayansi sio siasa.

Hata UNPD imefanya utafiti huo na matokeo ya katoka hayohayo.
 
Back
Top Bottom