sio kweri...upendo wa kweri........ndio lugha gani mkuuuu....????sio kweri, ni nyie tu mmekosa upendo wa kweri. nimekuwa nakaa mbali na mpenzi wangu mara kadhaa tu na tulidumu na tumedumu hadi sasa.
jichunguzeni vijana.
Habari zenu wana jf
Daah watu walisema mapenzi ya mbali hayadumu ni kweli bana Leo ndo nimeamini daaah
Nilikua mbishi walivyokua wananiambia hvoo ila now nimeamini
Mapenzi ya mbali hayadumu usidanganyikee.
Aya murasio kweri, ni nyie tu mmekosa upendo wa kweri. nimekuwa nakaa mbali na mpenzi wangu mara kadhaa tu na tulidumu na tumedumu hadi sasa.
jichunguzeni vijana.
Pole kwa yaliyokukuta mkuu. Huo mtazamo wako tu. Wengine tulifanikiwa, sema ulikosea kuchagua.Habari zenu wana jf
Daah watu walisema mapenzi ya mbali hayadumu ni kweli bana Leo ndo nimeamini daaah
Nilikua mbishi walivyokua wananiambia hvoo ila now nimeamini
Mapenzi ya mbali hayadumu usidanganyikee.