Nyanya za kipindi hiki(msimu huu) zina faida.ila gharama pia za kilimo ni juuNIPO NALIMA NYANYA CHALINZE KARIBUNI NAANZA KUVUNA NEXT WEEK
Nyanya za kipindi hiki(msimu huu) zina faida.ila gharama pia za kilimo ni juuNIPO NALIMA NYANYA CHALINZE KARIBUNI NAANZA KUVUNA NEXT WEEK
Hekari 20 gunia 150????!!!Yule aliyesema ajira ni uti wa mgongo aisee hakukosea hata kidogo na kiukweli kilimo nitakiheshimu na nitazidi kukiheshimu kusema za ukweli ukubali au ukatae
Baaada ya kuachana na ajira niliingia kwenye kilimo maeneo ya Mpanda mkoani Katavi.Nilienda kufanya kilimo cha mpunga.
Aisee kilimo kilinipa pesa mpaka nikaanza kujilaumu kwanini nilichelewa kuingia huku.
Wakuu msimu uliopita tu nimelima hekari 20 nikapata gunia 150 plus za kununua kama 150 jumla nikawa na gunia mia tatu nikauza kwa 2500 mkoani singida na nilipata kilo 24000 piga mahesabu ni kama milioni 60 na ukitoa gharama zote faida niliyopata aiseee ningeweza kufanya kazi miaka kadhaa nisingepata hiyo.
Na sio mpunga tu, nililima maharage na mahindi mkoani Chunya faida niliyoipata wewe uliyepo kwenye ajira hauwezi kuipata hata kidogo na pia nililima ufuta wilayani Chunya nasema faida niliyoipata ni zaidi yako ya mshahara wako wewe uliyepo kwenye ajira haunifikii hata ukifanya kazi kwa miaka 10
Karibuni sana haters kwa makasiriko na wale wanaotaka kufanukiwa kwenye kalimo
Yaani inashangaza lijitu limemaliza SUA yupo barabarani kutwa kutembeza bahasha za kaki aiseee! Karibuni mpanda, chunya, Lindi na morogoro where my money is there
Kilimo kikikutoa kimekutoa.Hongera kiongozi, japo miaka ya 2014 niliacha ajira nikazama Mpanda kulima niliangukia pua Hadi nikatumiwa nauli ya kurudi home,Ila sikuridhia nilirudi tena kuchukua mke huko.
Ila sijui upo pori gani maana heka 20 Kwa gunia 150 Kwa mpanda kwa gharama za uendeshaji wa Kila heka kama shamba si lako, upandaji ni hela ,kung'olea ,kukata kupiga na kubeba kutoka mbugani gharama inakuwa 600000 Kwa heka 20 inakuwa kama 12!0000;000 mtaji si haba japo bado inalipa Sana Ila kawaida kuna mbuga ya senta mesha kijiji cha kamsanga inatoa 20 Kila heka maana yake ungepata gunia 350 au 400 jitahidi msimu huu tembelea huko Mimi nilienda kulima vitunguu ndo vilinikatisha tamaa nikachukia kilimo Ila nimeishi pande hizo muda Hadi mwaka juzi
rUpo mpanda sehemu gani mkuu
WE ACHA TU NILIPATA CHANGAMOTO KUBWA SANANyanya za kipindi hiki(msimu huu) zina faida.ila gharama pia za kilimo ni juu
Huna loloooote mbwembwee tuuuYule aliyesema ajira ni uti wa mgongo aisee hakukosea hata kidogo na kiukweli kilimo nitakiheshimu na nitazidi kukiheshimu kusema za ukweli ukubali au ukatae
Baaada ya kuachana na ajira niliingia kwenye kilimo maeneo ya Mpanda mkoani Katavi.Nilienda kufanya kilimo cha mpunga.
Aisee kilimo kilinipa pesa mpaka nikaanza kujilaumu kwanini nilichelewa kuingia huku.
Wakuu msimu uliopita tu nimelima hekari 20 nikapata gunia 150 plus za kununua kama 150 jumla nikawa na gunia mia tatu nikauza kwa 2500 mkoani singida na nilipata kilo 24000 piga mahesabu ni kama milioni 60 na ukitoa gharama zote faida niliyopata aiseee ningeweza kufanya kazi miaka kadhaa nisingepata hiyo.
Na sio mpunga tu, nililima maharage na mahindi mkoani Chunya faida niliyoipata wewe uliyepo kwenye ajira hauwezi kuipata hata kidogo na pia nililima ufuta wilayani Chunya nasema faida niliyoipata ni zaidi yako ya mshahara wako wewe uliyepo kwenye ajira haunifikii hata ukifanya kazi kwa miaka 10
Karibuni sana haters kwa makasiriko na wale wanaotaka kufanukiwa kwenye kalimo
Yaani inashangaza lijitu limemaliza SUA yupo barabarani kutwa kutembeza bahasha za kaki aiseee! Karibuni mpanda, chunya, Lindi na morogoro where my money is there
Peleka Facebook.Yule aliyesema ajira ni uti wa mgongo aisee hakukosea hata kidogo na kiukweli kilimo nitakiheshimu na nitazidi kukiheshimu kusema za ukweli ukubali au ukatae
Baaada ya kuachana na ajira niliingia kwenye kilimo maeneo ya Mpanda mkoani Katavi.Nilienda kufanya kilimo cha mpunga.
Aisee kilimo kilinipa pesa mpaka nikaanza kujilaumu kwanini nilichelewa kuingia huku.
Wakuu msimu uliopita tu nimelima hekari 20 nikapata gunia 150 plus za kununua kama 150 jumla nikawa na gunia mia tatu nikauza kwa 2500 mkoani singida na nilipata kilo 24000 piga mahesabu ni kama milioni 60 na ukitoa gharama zote faida niliyopata aiseee ningeweza kufanya kazi miaka kadhaa nisingepata hiyo.
Na sio mpunga tu, nililima maharage na mahindi mkoani Chunya faida niliyoipata wewe uliyepo kwenye ajira hauwezi kuipata hata kidogo na pia nililima ufuta wilayani Chunya nasema faida niliyoipata ni zaidi yako ya mshahara wako wewe uliyepo kwenye ajira haunifikii hata ukifanya kazi kwa miaka 10
Karibuni sana haters kwa makasiriko na wale wanaotaka kufanukiwa kwenye kalimo
Yaani inashangaza lijitu limemaliza SUA yupo barabarani kutwa kutembeza bahasha za kaki aiseee! Karibuni mpanda, chunya, Lindi na morogoro where my money is there
ME PIA NATOKEA UBARUKU SO NIMELIMA SANA BONDE LA USANGU. NIMESHANGAA SAANA KUONA EKA 20 KAPATA GUNIA 150. INA MAANA KILA EKA KAPATA GUNIA 7.5 HALAFU ANASEMA AMEPATA FAIDA???? I CANT BUY THE STORY.Hongera kiongozi, japo miaka ya 2014 niliacha ajira nikazama Mpanda kulima niliangukia pua Hadi nikatumiwa nauli ya kurudi home,Ila sikuridhia nilirudi tena kuchukua mke huko.
Ila sijui upo pori gani maana heka 20 Kwa gunia 150 Kwa mpanda kwa gharama za uendeshaji wa Kila heka kama shamba si lako, upandaji ni hela ,kung'olea ,kukata kupiga na kubeba kutoka mbugani gharama inakuwa 600000 Kwa heka 20 inakuwa kama 12!0000;000 mtaji si haba japo bado inalipa Sana Ila kawaida kuna mbuga ya senta mesha kijiji cha kamsanga inatoa 20 Kila heka maana yake ungepata gunia 350 au 400 jitahidi msimu huu tembelea huko Mimi nilienda kulima vitunguu ndo vilinikatisha tamaa nikachukia kilimo Ila nimeishi pande hizo muda Hadi mwaka juzi
Chunya ni sehem gani hususa?Yule aliyesema ajira ni uti wa mgongo aisee hakukosea hata kidogo na kiukweli kilimo nitakiheshimu na nitazidi kukiheshimu kusema za ukweli ukubali au ukatae
Baaada ya kuachana na ajira niliingia kwenye kilimo maeneo ya Mpanda mkoani Katavi.Nilienda kufanya kilimo cha mpunga.
Aisee kilimo kilinipa pesa mpaka nikaanza kujilaumu kwanini nilichelewa kuingia huku.
Wakuu msimu uliopita tu nimelima hekari 20 nikapata gunia 150 plus za kununua kama 150 jumla nikawa na gunia mia tatu nikauza kwa 2500 mkoani singida na nilipata kilo 24000 piga mahesabu ni kama milioni 60 na ukitoa gharama zote faida niliyopata aiseee ningeweza kufanya kazi miaka kadhaa nisingepata hiyo.
Na sio mpunga tu, nililima maharage na mahindi mkoani Chunya faida niliyoipata wewe uliyepo kwenye ajira hauwezi kuipata hata kidogo na pia nililima ufuta wilayani Chunya nasema faida niliyoipata ni zaidi yako ya mshahara wako wewe uliyepo kwenye ajira haunifikii hata ukifanya kazi kwa miaka 10
Karibuni sana haters kwa makasiriko na wale wanaotaka kufanukiwa kwenye kalimo
Yaani inashangaza lijitu limemaliza SUA yupo barabarani kutwa kutembeza bahasha za kaki aiseee! Karibuni mpanda, chunya, Lindi na morogoro where my money is there