Niliachana na ajira nikaingia kwenye kilimo, na kweli mambo yamejipa

Yule aliyesema ajira ni uti wa mgongo aisee hakukosea hata kidogo na kiukweli kilimo nitakiheshimu na nitazidi kukiheshimu kusema za ukweli ukubali au ukatae

Baaada ya kuachana na ajira niliingia kwenye kilimo maeneo ya Mpanda mkoani Katavi.Nilienda kufanya kilimo cha mpunga.

Aisee kilimo kilinipa pesa mpaka nikaanza kujilaumu kwanini nilichelewa kuingia huku.

Wakuu msimu uliopita tu nimelima hekari 20 nikapata gunia 150 plus za kununua kama 150 jumla nikawa na gunia mia tatu nikauza kwa 2500 mkoani singida na nilipata kilo 24000 piga mahesabu ni kama milioni 60 na ukitoa gharama zote faida niliyopata aiseee ningeweza kufanya kazi miaka kadhaa nisingepata hiyo.

Na sio mpunga tu, nililima maharage na mahindi mkoani Chunya faida niliyoipata wewe uliyepo kwenye ajira hauwezi kuipata hata kidogo na pia nililima ufuta wilayani Chunya nasema faida niliyoipata ni zaidi yako ya mshahara wako wewe uliyepo kwenye ajira haunifikii hata ukifanya kazi kwa miaka 10

Karibuni sana haters kwa makasiriko na wale wanaotaka kufanukiwa kwenye kalimo

Yaani inashangaza lijitu limemaliza SUA yupo barabarani kutwa kutembeza bahasha za kaki aiseee! Karibuni mpanda, chunya, Lindi na morogoro where my money is there
Hekari 20 gunia 150????!!!
Ungetumia upako wa Mwamposa ungepata gunia 700.
 
Hongera kiongozi, japo miaka ya 2014 niliacha ajira nikazama Mpanda kulima niliangukia pua Hadi nikatumiwa nauli ya kurudi home,Ila sikuridhia nilirudi tena kuchukua mke huko.

Ila sijui upo pori gani maana heka 20 Kwa gunia 150 Kwa mpanda kwa gharama za uendeshaji wa Kila heka kama shamba si lako, upandaji ni hela ,kung'olea ,kukata kupiga na kubeba kutoka mbugani gharama inakuwa 600000 Kwa heka 20 inakuwa kama 12!0000;000 mtaji si haba japo bado inalipa Sana Ila kawaida kuna mbuga ya senta mesha kijiji cha kamsanga inatoa 20 Kila heka maana yake ungepata gunia 350 au 400 jitahidi msimu huu tembelea huko Mimi nilienda kulima vitunguu ndo vilinikatisha tamaa nikachukia kilimo Ila nimeishi pande hizo muda Hadi mwaka juzi
Kilimo kikikutoa kimekutoa.
Vitunguu vilifanyeje boss?
 
Kiongozi niliweka kapagale kangu hapo milala Kwa sasa nipo kanda ya ziwa Ila kwa katavi nzima hakuna kijiji sjawahi fika na badhii ya maeneo ya rukwa Kwa ramani ya maeneo ya huko bado yapo active kichwani kama maswali mkuu uliza.
rUpo mpanda sehemu gani mkuu
 
Mkuu gunia 7.5 kwa ekari halafu unajisifia? Wewe ni wale wakulima naitaga wajinga! Wewe wala siyo mkulima unabahatisha! Mimi niko na ajira yangu ya 4m per month na kulima pia ninalima! Siwezi kubeza ajira hata siku moja labda kama ni ya mshahara wa Afisa wa chini serikalini!
 
Kilimo cha mpunga kinacholipa na ca uhakika, ni kile kinachofanyika kwenye scheme za umwagiliaji tu. Mfano Dakawa na Mbarali. Nje ya hapo, basi mkulima huwa anabahatisha tu.
 
Yule aliyesema ajira ni uti wa mgongo aisee hakukosea hata kidogo na kiukweli kilimo nitakiheshimu na nitazidi kukiheshimu kusema za ukweli ukubali au ukatae

Baaada ya kuachana na ajira niliingia kwenye kilimo maeneo ya Mpanda mkoani Katavi.Nilienda kufanya kilimo cha mpunga.

Aisee kilimo kilinipa pesa mpaka nikaanza kujilaumu kwanini nilichelewa kuingia huku.

Wakuu msimu uliopita tu nimelima hekari 20 nikapata gunia 150 plus za kununua kama 150 jumla nikawa na gunia mia tatu nikauza kwa 2500 mkoani singida na nilipata kilo 24000 piga mahesabu ni kama milioni 60 na ukitoa gharama zote faida niliyopata aiseee ningeweza kufanya kazi miaka kadhaa nisingepata hiyo.

Na sio mpunga tu, nililima maharage na mahindi mkoani Chunya faida niliyoipata wewe uliyepo kwenye ajira hauwezi kuipata hata kidogo na pia nililima ufuta wilayani Chunya nasema faida niliyoipata ni zaidi yako ya mshahara wako wewe uliyepo kwenye ajira haunifikii hata ukifanya kazi kwa miaka 10

Karibuni sana haters kwa makasiriko na wale wanaotaka kufanukiwa kwenye kalimo

Yaani inashangaza lijitu limemaliza SUA yupo barabarani kutwa kutembeza bahasha za kaki aiseee! Karibuni mpanda, chunya, Lindi na morogoro where my money is there
Huna loloooote mbwembwee tuuu
 
Inaonesha kuna watu unashindana nao kimafanikio kama sio boss wako wazamani aliyekufukuza kazi au jamaa zako waliokucheka ulivo acha kazi anyway hongera
 
Yule aliyesema ajira ni uti wa mgongo aisee hakukosea hata kidogo na kiukweli kilimo nitakiheshimu na nitazidi kukiheshimu kusema za ukweli ukubali au ukatae

Baaada ya kuachana na ajira niliingia kwenye kilimo maeneo ya Mpanda mkoani Katavi.Nilienda kufanya kilimo cha mpunga.

Aisee kilimo kilinipa pesa mpaka nikaanza kujilaumu kwanini nilichelewa kuingia huku.

Wakuu msimu uliopita tu nimelima hekari 20 nikapata gunia 150 plus za kununua kama 150 jumla nikawa na gunia mia tatu nikauza kwa 2500 mkoani singida na nilipata kilo 24000 piga mahesabu ni kama milioni 60 na ukitoa gharama zote faida niliyopata aiseee ningeweza kufanya kazi miaka kadhaa nisingepata hiyo.

Na sio mpunga tu, nililima maharage na mahindi mkoani Chunya faida niliyoipata wewe uliyepo kwenye ajira hauwezi kuipata hata kidogo na pia nililima ufuta wilayani Chunya nasema faida niliyoipata ni zaidi yako ya mshahara wako wewe uliyepo kwenye ajira haunifikii hata ukifanya kazi kwa miaka 10

Karibuni sana haters kwa makasiriko na wale wanaotaka kufanukiwa kwenye kalimo

Yaani inashangaza lijitu limemaliza SUA yupo barabarani kutwa kutembeza bahasha za kaki aiseee! Karibuni mpanda, chunya, Lindi na morogoro where my money is there
Peleka Facebook.
 
Hongera kiongozi, japo miaka ya 2014 niliacha ajira nikazama Mpanda kulima niliangukia pua Hadi nikatumiwa nauli ya kurudi home,Ila sikuridhia nilirudi tena kuchukua mke huko.

Ila sijui upo pori gani maana heka 20 Kwa gunia 150 Kwa mpanda kwa gharama za uendeshaji wa Kila heka kama shamba si lako, upandaji ni hela ,kung'olea ,kukata kupiga na kubeba kutoka mbugani gharama inakuwa 600000 Kwa heka 20 inakuwa kama 12!0000;000 mtaji si haba japo bado inalipa Sana Ila kawaida kuna mbuga ya senta mesha kijiji cha kamsanga inatoa 20 Kila heka maana yake ungepata gunia 350 au 400 jitahidi msimu huu tembelea huko Mimi nilienda kulima vitunguu ndo vilinikatisha tamaa nikachukia kilimo Ila nimeishi pande hizo muda Hadi mwaka juzi
ME PIA NATOKEA UBARUKU SO NIMELIMA SANA BONDE LA USANGU. NIMESHANGAA SAANA KUONA EKA 20 KAPATA GUNIA 150. INA MAANA KILA EKA KAPATA GUNIA 7.5 HALAFU ANASEMA AMEPATA FAIDA???? I CANT BUY THE STORY.
 
Yule aliyesema ajira ni uti wa mgongo aisee hakukosea hata kidogo na kiukweli kilimo nitakiheshimu na nitazidi kukiheshimu kusema za ukweli ukubali au ukatae

Baaada ya kuachana na ajira niliingia kwenye kilimo maeneo ya Mpanda mkoani Katavi.Nilienda kufanya kilimo cha mpunga.

Aisee kilimo kilinipa pesa mpaka nikaanza kujilaumu kwanini nilichelewa kuingia huku.

Wakuu msimu uliopita tu nimelima hekari 20 nikapata gunia 150 plus za kununua kama 150 jumla nikawa na gunia mia tatu nikauza kwa 2500 mkoani singida na nilipata kilo 24000 piga mahesabu ni kama milioni 60 na ukitoa gharama zote faida niliyopata aiseee ningeweza kufanya kazi miaka kadhaa nisingepata hiyo.

Na sio mpunga tu, nililima maharage na mahindi mkoani Chunya faida niliyoipata wewe uliyepo kwenye ajira hauwezi kuipata hata kidogo na pia nililima ufuta wilayani Chunya nasema faida niliyoipata ni zaidi yako ya mshahara wako wewe uliyepo kwenye ajira haunifikii hata ukifanya kazi kwa miaka 10

Karibuni sana haters kwa makasiriko na wale wanaotaka kufanukiwa kwenye kalimo

Yaani inashangaza lijitu limemaliza SUA yupo barabarani kutwa kutembeza bahasha za kaki aiseee! Karibuni mpanda, chunya, Lindi na morogoro where my money is there
Chunya ni sehem gani hususa?
 
Usiwadanganye watu waache ajira eti waende wakajiajiri kwenye kilimo Mkuu.
Kilimo kina stress hatarii. Lakini pia ajira inategemeana una ajira gani? Mfano mtu unafanya kazi na basic yako ni 4m plus, na huna stress za kusumbuana na vibarua Wala wadudu huko maporini Kuna haja Gani ya kuacha ajira eti uende ukalime?

Bora nipambane na kibarua changu kikubwa nina uhakika wa kula na kulala pazuri na matibabu kuliko kupambana na shuruba za huko maporini eti kisa niwe tajiriii, no please.

Mjini kutamu bana, nyie wamaporini endeleeni kulima Kisha mtuletee huku mjini sisi tule
 
Wewe jamaa umechanganyikiwa? Dec 14, 2023 ulikuwa mtumishi wa umma na Januari 5, 2024 unasema uliacha kazi ukalime. Hayo mazao kupanda hadi kuvuna ni wiki 2 tu? Kuna uzi wako mwingine unasema wewe uko Chicago Marekani. Bro relax. Kama unapitia changamoto yoyote mwombe sana Mungu akuvushe vinginevyo utaonekana kituko
 
Back
Top Bottom