Niko uchi kwenye masuala ya laptop

Nyamwage

JF-Expert Member
Oct 16, 2020
634
1,535
HABARI
Nyingine hii hapa swali la kwanza je naweza kucheza game la ETS 2 kwa high quality humu swali la pili kinacho niogopesha ni hilo jina la hicho kifaa kinaitwa MEDION AKOYA sijawahi kulisikia nigeni niokoeni nisiende kupigwa na kitu kizito
Screenshot_20230729-204723.jpg
Screenshot_20230729-080951.jpg
 
Kiufupi ukiona logo ya windows ambayo sio flat kama ya windows 10 hapo jua kwamba umepigwa
 
HABARI
Nyingine hii hapa swali la kwanza je naweza kucheza game la ETS 2 kwa high quality humu swali la pili kinacho niogopesha ni hilo jina la hicho kifaa kinaitwa MEDION AKOYA sijawahi kulisikia nigeni niokoeni nisiende kupigwa na kitu kizito View attachment 2702411View attachment 2702412
Mkuu moja ya jambo linalotengeneza mazingira ya kupigwa ni hilo mtu anakuambia i3 na Nvidia,

Muulize ni i3 ipi na nvidia ipi ila kwa kuiangalia tu possibility kubwa ni kimeo. Win 7 laptop nyingi zimetoka between 2009-2012.
 
Mkuu moja ya jambo linalotengeneza mazingira ya kupigwa ni hilo mtu anakuambia i3 na Nvidia,

Muulize ni i3 ipi na nvidia ipi ila kwa kuiangalia tu possibility kubwa ni kimeo. Win 7 laptop nyingi zimetoka between 2009-2012.
Intel i3-2310M na Nvidia GeForce gt 630m 1GB
 
Sio mbaya mkuu ila kuna better alternative, Machine yoyote ya Gen ya 4 kupanda itakua na cpu na gpu nzuri zaidi hata kama sio Nvidia.

Siku hizi unapata i5 gen ya 7 kwa laki 4 tu.
Hiyo link niliyoweka hapo juu ni review ya Microsoft Surface Laptop 2.
Swali langu ni kwamba, hiyo laptop kwenye review ndio hii ya hapa chini au ni laptop mbili tofauti?
Pia kwa bei hii ya hapa chini (milioni 1) ni worth it au sio worth it?
IMG_20230803_040219.jpg
Screenshot_2023-08-03-04-10-09-916_com.olx.ssa.jpg
 
Hiyo link niliyoweka hapo juu ni review ya Microsoft Surface Laptop 2.
Swali langu ni kwamba, hiyo laptop kwenye review ndio hii ya hapa chini au ni laptop mbili tofauti?
Pia kwa bei hii ya hapa chini (milioni 1) ni worth it au sio worth it?
View attachment 2706842View attachment 2706843
Not worth it unless unaangalia uzuri wa nje kuliko ufanisi wa Ndani.

Laptop za kawaida gen ya 8 zinarange laki 5 mpaka 8, tena unapata nyengine ultrabook za maana tu kama unapenda laptop nyembamba.

Ukiangalia hio review ni laptop ya 2019 wakati huo ilikua nzuri ila sio sasa kwa hio bei.

I3 gen ya 12 ni bora zaidi unapata mpya kwa bei chini ya hapo.
 
Not worth it unless unaangalia uzuri wa nje kuliko ufanisi wa Ndani.

Laptop za kawaida gen ya 8 zinarange laki 5 mpaka 8, tena unapata nyengine ultrabook za maana tu kama unapenda laptop nyembamba.

Ukiangalia hio review ni laptop ya 2019 wakati huo ilikua nzuri ila sio sasa kwa hio bei.

I3 gen ya 12 ni bora zaidi unapata mpya kwa bei chini ya hapo.
Mkuu vipi kama nahitaji laptop ya Windows 10 au 11, slim na portable, inayotunza chaji, yenye screen nzuri itakayonifaa kwa matumizi kama web browsing, typing documents, na movie watching (kuangalia movie ndio kipaumbele namba moja) kwa bei ya milioni 1?

Assume performance ni kipaumbele cha mwisho kabisa kwa sababu mimi sio gamer wala sio graphics engineer
 
Mkuu vipi kama nahitaji laptop ya Windows 10 au 11, slim na portable, inayotunza chaji, yenye screen nzuri itakayonifaa kwa matumizi kama web browsing, typing documents, na movie watching (kuangalia movie ndio kipaumbele namba moja) kwa bei ya milioni 1?

Assume performance ni kipaumbele cha mwisho kabisa kwa sababu mimi sio gamer wala sio graphics engineer
Tafuta machine za Ryzen, cpu kama Ryzen 5 5000 series yenye ssd itakufaa sana matumizi yako.

Mfano hii

Ryzen ambazo ni zen 3 ama 4 (5xxx, 6xxx, 7x4x, 7x3x) zina perfomance nzuri na zinakaa na chaji na sababu hazili umeme mwingi laptop zake nyingi ni nyembamba.

Pia Intel 11th gen si mbaya kwa matumizi yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom