Seto
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 953
- 53
hivi kwanini mwanamke akimuuliza mwanaume je una mtu huwa anajibu haraka kuwa niko singo, nilisha achwa na yule niliyekuwa naye na sasa niko peke yangu hata kama nyumbani ana mke na pembeni ana nyumba ndogo?
sasa bila uongo utawapateje.... Kwanza unamtia ndani ya himaya halafu ukweli baadae..