Siwezi kufanya kitu kinachopinzana na instinct yangu siwezi kulazimisha jambo, kulipia 4m@ kila mwaka kwa watoto wawili wa mke au previously (singo maza), wenye majina ya mwanaume aliekuwa anamlala na kumzalisha huyu mke wa sasa, mbona akili zinagoma, sawa ebu nionekane uncivilised mshamba, ila pesa ikihama hamna atakae somesha wa kwangu.
je incase mimi ni kitoka kuna mwanaume ataweza kuhudumia wa kwangu alipie 4m kwa mwaka, kwa waswahili hawa hawa wa sio heshimu education, masuali mengi majawabu machache loh!!!
Bora waende shule za st. kayumba ntampa 2000 kila jmosi ya tuition kwa mualimu Juma hapa mtaani. Kama mwanamke anaona sio fresh bora asepe sitakua Fala buana, wanawake hawana shukurani ata umfanyie nini anaweza kukutenda tu.
je incase mimi ni kitoka kuna mwanaume ataweza kuhudumia wa kwangu alipie 4m kwa mwaka, kwa waswahili hawa hawa wa sio heshimu education, masuali mengi majawabu machache loh!!!
Bora waende shule za st. kayumba ntampa 2000 kila jmosi ya tuition kwa mualimu Juma hapa mtaani. Kama mwanamke anaona sio fresh bora asepe sitakua Fala buana, wanawake hawana shukurani ata umfanyie nini anaweza kukutenda tu.