Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Rostam anadai kuwa hakutendewa haki ya kupelekewa barua 24/12/2007 .anadai yeye anatafutwa kwa apointments na huwa siku za sikuku huwa anapumzika .
Mwakyembe anajibu kuwa wao kama kamati hawakupewa siku za kupumzika ama za sikukuu kwani walipewa siku 45 na silihusisha siku zote bila kujali sikukuu.
Mwakyembe anajibu kuwa wao kama kamati hawakupewa siku za kupumzika ama za sikukuu kwani walipewa siku 45 na silihusisha siku zote bila kujali sikukuu.