................JK anaharibu kuanza kushambulia watu ambao walisimama kidete kuamsha umma wa watanzania na wabunge juu ya Richmond...angekaa kimya ingetosha pia kuwa kampeni ya CCM, kuanza kutangaza huku wengi tunaingiwa na mashaka juu ya maamuzi yake..................
hapo umenena ndg yangu Chuma................haswaaa, hakukuwa na haja ya yeye JK kushambulia akina Dk. Slaa.....................kwani statement kama hizo hazina impact/mvuto wowote kwa wananchi na hasa baada ya wananchi kusikia/kuwekewa wazi issue nzima ya Richmond na kamati teule iliyoongozwa na Dr. Mwakyembe