Msafirishaji
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 1,673
- 2,574
Wenye hela za mawazo tunapenda sana kujifanya washauri kwa wenye hela kweli kweliSijaweka hela huko ili nifanye biashara na UTT..nimehifadhi ili biashara yangu itakapokaa vzr nitoe hela huko niingize kwny mzunguko. Hiyo 10m nimeipata kwny hiyo biashara yangu ambayo kwa sasa haifanyi vzr.
Tuelewane hapa: sifanyi biashara inayoitwa UTT. kule nimehifadhi km tu benki sema benki hawana tija ukifananisha na UTT. Nfkr nimeeleweka. Over
Yani anaona kila mtu yupo kwa ajili ya kufungua baro za mtumba mabanda ya chips na kununua bodaboda
Kitu cha kwanza alitakiwa ajiulize wewe hiyo million 10 umepata wapi na ushauri wake hapo.
Mtu anasema uvivu wa kufikiri kuweka 10M UTT wakati katika kuchangamka kwake kote unakuta hajawahi weka hata 5M kwa pamoja.
JF kuna ujuaji mwingi sana mzee.