jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,219
Habari za wakati huu..
Wakuu kila nikiwa na mazungumzo na wanawake wananiambia mimi ni mkali sana na ninaongea kwa msisitizo sana.. sijui tone ya sauti yangu imekaaje napo ongea nao japo mimi najiona wa kawaida tuu na naongea kawaida sana...
Wana nambia naongea kwa ukali sana na msisitizo sana, na nipo serious sana mpaka wanaogopa sana, jambo ambalo na waambia mbona nipo kawaida sana ila hawataki kuamini kabisa.
Hii hali imeniletea hadi utata kwenye kutongoza ndugu zangu, nilikua naipuuza ila inaleta utata sana . Hata mwanamke nae mtongoza akinisikiliza na kuniangalia usoni anasema hivyo hivyo kua naonekana serious sana na mkali sana. Sasa sijui ni pepo lime nivaa au ni nini wakuu.
Wakuu nielezeni ni fanyaje hii hali initoke
Wakuu kila nikiwa na mazungumzo na wanawake wananiambia mimi ni mkali sana na ninaongea kwa msisitizo sana.. sijui tone ya sauti yangu imekaaje napo ongea nao japo mimi najiona wa kawaida tuu na naongea kawaida sana...
Wana nambia naongea kwa ukali sana na msisitizo sana, na nipo serious sana mpaka wanaogopa sana, jambo ambalo na waambia mbona nipo kawaida sana ila hawataki kuamini kabisa.
Hii hali imeniletea hadi utata kwenye kutongoza ndugu zangu, nilikua naipuuza ila inaleta utata sana . Hata mwanamke nae mtongoza akinisikiliza na kuniangalia usoni anasema hivyo hivyo kua naonekana serious sana na mkali sana. Sasa sijui ni pepo lime nivaa au ni nini wakuu.
Wakuu nielezeni ni fanyaje hii hali initoke