Baadhi ya wanawake ni wanyama kabisa! mi sioi karibuni hadi nizeeke!Duuuuuuuu!!!!!!!!!!!
Kila kona mambo haya yapo. Yanasikitisha sana!!!!
Ndio maana kuna usemi
"Maisha ya Ndoa ni sawa na Bahari kwani kuna mawimbi mengi, na samaki wakali mno"
"Tulio ndani ya ndoa tunatamani kutoka, na walio nje ya ndoa wanatamani kuingia"
"Maisha ya ndoa ni matamu na chungu"
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Baadhi ya wanawake ni wanyama kabisa! mi sioi karibuni hadi nizeeke!