Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
habari za asubuhi wan jf leo nimeona tuidiscuss google kwa
undani wake kwa maana ya kampuni kwa ujumla nionanvyo mimi baada ya miaka
10 ijayo kama sio mingi
oogle watakuwa hawana mpinzani ktk teknolojia hasa za kisoftware maana naona hawa jamaa wana kila kitu kuazia google
search,drive,books,google play store,google music google calendar,gmail,blogger,wamenununua simu ya motorola,google tab(nexeus)
wana google ideos pia wakataka kununua yahoo yote hii inaonyesha
kwamba wana uwezo mkubwa wakifedha operating sytem kwenye simu ambayo ni android na hapa naona ndipo atakapo piga bao maana os yake ni ya ukweli
na simu nyingi tu ameingi anazo mkataba wa kuwauzia hiyo kitu mf samsung,sony kwa uchache na kwenye tablet na sababu kubwa ni kutokana na yy kuwa na access kubwa ya goole features kama nilizozitaja kama
nimessahu mnaweza kuongeze ukiwa ana simu za android kila kitu utakachofanya wana kudirect ktk google playstore
baada ya miaka 5 tutarajie naye atakuja kutoa os yake ya computer maanA hashindwi kitu naomba kuwasilisha
undani wake kwa maana ya kampuni kwa ujumla nionanvyo mimi baada ya miaka
10 ijayo kama sio mingi
oogle watakuwa hawana mpinzani ktk teknolojia hasa za kisoftware maana naona hawa jamaa wana kila kitu kuazia google
search,drive,books,google play store,google music google calendar,gmail,blogger,wamenununua simu ya motorola,google tab(nexeus)
wana google ideos pia wakataka kununua yahoo yote hii inaonyesha
kwamba wana uwezo mkubwa wakifedha operating sytem kwenye simu ambayo ni android na hapa naona ndipo atakapo piga bao maana os yake ni ya ukweli
na simu nyingi tu ameingi anazo mkataba wa kuwauzia hiyo kitu mf samsung,sony kwa uchache na kwenye tablet na sababu kubwa ni kutokana na yy kuwa na access kubwa ya goole features kama nilizozitaja kama
nimessahu mnaweza kuongeze ukiwa ana simu za android kila kitu utakachofanya wana kudirect ktk google playstore
baada ya miaka 5 tutarajie naye atakuja kutoa os yake ya computer maanA hashindwi kitu naomba kuwasilisha