Latifaa
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 501
- 257
Hello wana MMU,
kama kuna mtu alishawahi somaga story yangu ya zamani kidogo kuhusu sitaki kuolewa nimeamua kuzaa,
ni hivi yule niliezaa nae alikua hajaoa bado ila nilimpa goahead akitaka kuoa aoe mimi nahitaji mtoto tuu,
sasa baada ya muda alikuja kuoa na mkewe sasahivi ni mjamzito chakushangaza pamoja na hiyo ndoa yake mpya bado ananisogelea tuu huwa nampa nafasi kwaajili ya mwanae niliezaa nae eti sasa hivi ananiambia tufanye utaratibu wakuongeza nae mtoto wa 2 na watatu ni haki jamani?
sasa hivi yeye ni mume wa mtu namuogopa nanapenda kuiheshimu hiyo ndoa yake huyu mtoto tuliozaa anamtunza vyema na anampenda sana natamani kuwa na watoto wawili ambao babayao ni mmoja lakini naogopa sijawahi sikia mtu kazaa na mume wa mtu watoto zaidi ya mmoja.
naombeni mawazo yenu na mitazamo
kama kuna mtu alishawahi somaga story yangu ya zamani kidogo kuhusu sitaki kuolewa nimeamua kuzaa,
ni hivi yule niliezaa nae alikua hajaoa bado ila nilimpa goahead akitaka kuoa aoe mimi nahitaji mtoto tuu,
sasa baada ya muda alikuja kuoa na mkewe sasahivi ni mjamzito chakushangaza pamoja na hiyo ndoa yake mpya bado ananisogelea tuu huwa nampa nafasi kwaajili ya mwanae niliezaa nae eti sasa hivi ananiambia tufanye utaratibu wakuongeza nae mtoto wa 2 na watatu ni haki jamani?
sasa hivi yeye ni mume wa mtu namuogopa nanapenda kuiheshimu hiyo ndoa yake huyu mtoto tuliozaa anamtunza vyema na anampenda sana natamani kuwa na watoto wawili ambao babayao ni mmoja lakini naogopa sijawahi sikia mtu kazaa na mume wa mtu watoto zaidi ya mmoja.
naombeni mawazo yenu na mitazamo