Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
wa simba na yanga au wa zanzibar taarabu na TOT?Ushabiki umeuanza lini wewe???
mambo? halafu ile kitu hatujaimaliza ujue!
wa simba na yanga au wa zanzibar taarabu na TOT?Ushabiki umeuanza lini wewe???
wa simba na yanga au wa zanzibar taarabu na TOT?
mambo? halafu ile kitu hatujaimaliza ujue!
mi nimempa option nzuri bana!Nakushangaa unaleta tu usharobaro kwenye keyboard.
Hiiyo ni Zanzibar Star na Melody au Mzee Yusuf na bendi yake
Ngoja siku na wewe utukanwe!mi nimempa option nzuri bana!
mi nimempa option nzuri bana!
wanaume wengine wanapenda hovyohovyo........
sasa hapo atakuja kumwambia mwanae unajua nilikuwa nina girl friend nilimpenda sana dini ikatuzuia kuoana, nikaamua kukupa jina lake?
hee!!
And for you, hebu mu-ignore bana! au kama vipi mpe na yeye za usom kwani matusi huyajui? NikuPM namba ya DaSophy akupe shule.
Samahani kuuliza jamani, hivi dini inaweza kuwa chanzo cha mtu kumwacha uliyempenda? hiyo harusi ulienda kufanya nin kama siyo kiherehere? Kuna viitu ukishaamua kutoka toka kabisa usiwe vuguvugu. na huyo mwanamke ana haki ya kukutukana the way she wants. nakushauri utoke kwenye hilo sakata, usijibu message yoyote ya matusi kwa huyo mama, any message futa, ukipigiwa pokea kaa kimya akate simu mwenyewe. Nakwambia mara 2 unamfanyia hiyvo hatarudia, ukimya unamaanisha.
Dearest hapo tatizo sio mahusiano bali ni mtoto kupewa jina la Ex!Unamwita mwanao jina hata furaha huna!
Kutaka kuongea nae kunaweza kukamkasirisha zaidi dada wa watu!Binafsi sidhani kama ningeelewa labda kama angekua anaondoa hisia za kwamba wako pamoja..akae mbali nao tu aise...asije akamuumiza zaidi mwenzake!Mi nipo nipo dearet!Vipi wewe?Umemiss vituko humu maana siku hizi kunatisha!mimi nikaona nimshauri yeye kuhusu shida yake ambayo kama nimemuelewa ni akabiliane vipi na huyo mke wa huyo kaka na mama mtoto anayemtukana?natumai u mzima dearest!
najarib kuinvestigate huyo mwanaume alikuwa na lengo gani kumuita mwanawe jina la ex wake lakini calculator inagoma kabisa yaani! nyambaaf! sana huyu baba watoto. amenipandisha hasira kweli. sjui kama nitalala home leo
niko makini kweli leo, hakikisheni mnafatilia post zangu ili kuzoa mabusara zaidi. ukiangalia kigreat thinka hii njemba inaweza hata ikaja kufanya matusi na mwanawe siku za future. hivi memory ya ex wako inareflect vp kwa mtoto wako?, hasira zimeongezeka. naomba unitulize mzuka lizzy (nambie huwez kuishi bila mimi)Hapo sasa!Nafurahi kuona busara za Kloro laivu bila chenga!
ile issue nambie kama utashuka all the way u-cross au mimi ni-cross? but naona nitakuwa tight mpaka jioni.Nazungumzia ile issue wewe vipi au ....... inakuchanganya
Na nani?Ngoja siku na wewe utukanwe!
Hahahaha!Kloro ukimpa mwanao jina langu ntakupenda mpaka siku nagonga miaka 40!Naahidi!niko makini kweli leo, hakikisheni mnafatilia post zangu ili kuzoa mabusara zaidi. ukiangalia kigreat thinka hii njemba inaweza hata ikaja kufanya matusi na mwanawe siku za future. hivi memory ya ex wako inareflect vp kwa mtoto wako?, hasira zimeongezeka. naomba unitulize mzuka lizzy (nambie huwez kuishi bila mimi)