Nifanyeje niache ARV?

Jamani tangu mm niliposoma uzi wa mkui Deception alinipa hamu yankuendelea kutafiti japo kwa kutafuta taarifa. Aisee nendeni youtube kuna video za wanasayansi waliobobea wamepinga hoja yankusema HIV anasababisha AIDS nanukiwasikiliza vzr wana hoja sana.
Na wanasema hizo ARV ndo huwaletea watu AIDS zinapotumiwa kwa muda. Huyo ndg aliyepimwa HIV+ haina maanankabisa kuwa kirusi hicho ndicho kimemletea shida katika kinga. Wanasayansi wanaelezea miongoni mwa sababu ninpamoja na
1.lishe mbovu
2.ukosefu wa maji salama
3.matumizi ya dawa muda mredu hasa antibiotics
4.matumizi ya ARVs
5.magonjwa mengine hasabyanayojirudia

Hivyo huyo kaka aangaliwe anaumwa nn kisha tibu hilo tatizo rekebisha mlo wake ila inahitajinkumwambianukwelibkuwa ARV ndizonzitakazomkatisha maisha ama kumletea shida kwani kwa asili kabisa zilitengenezwa kutibu cancer zikafeli. Hivyo zile zina chemotherapy so watchout. Kama hamuamini nenda youtube andika tu HIV/AIDS DECEPTION kisha anza kusikiliza kwa makini hizo video utashangaa.
 
Iwe ukimwi upo au haupo nabaki njia kuu, watoto wazuri wacha nile tu kwa macho, siwezi kutafuta pesa kwa shida kisha ijeinichomoe roho. Kusoma tu maelezo nimejawa na huzuni je niupata?
 
kisebengo nilishaambiwa kuna mdada alikuwa anatumia arv na baada ya muda cd4 zake zikafika 800 continuous for six month akashauriwa kuacha dawa. je kuna ukweli hapomaana nasikia bado anamonitor cd4 lakini amestabilizi. wataalam watujuze
Mpaka sasa, ukianzishiwa dawa, unatakiwa kuendelea bila kukatisha. Uliwahi kufanyika utafiti kwa watu waliokuwa na viral load ambayo iko chini ya kiwango ambacho haisomeki, na kusimamishiwa matibabu.Utafiti ulileta matokeo mabaya, yaani wagonjwa wengi waliwapoteza, na ukatupiwa mbali.
 
Iwe ukimwi upo au haupo nabaki njia kuu, watoto wazuri wacha nile tu kwa macho, siwezi kutafuta pesa kwa shida kisha ijeinichomoe roho. Kusoma tu maelezo nimejawa na huzuni je niupata?
Mzew Ketengumu tunajaribu kuelezana ukweli wa jambo HIV/AIDS kama ilivyohubiriwa. Kusema ukweli haimaanishi tunasema mwendw kuzini ila uwe na uelewa mzuri hata unaweza msaidia mtu.
 
Mkuu sinajinasasa, kwanza nawapa pole sana kwa masahibu hayo yaliyompata huyo ndugu yetu.

Maradhi ni moja ya mitihani ya maisha yetu wanadamu. Lakini lipo tumaini... hapa chini ya jua, kila mtihani una majibu, na majawabu pia.

Kuhusu how to 'withdraw from ARVs'..., kwakweli binafsi sina uelewa huo.

Kwenye ile thread yangu ya "V.V.U na Upimaji wake - Coincidences", in between the intensive discussion... mkuu Deception ndiye aliyemention hiyo tip kwamba "kuna namna sahihi ya kustop ARVs bila athari kiafya". He just hinted it out bila kuifafanua wala kuitolea maelezo. Ofcoz nadhani siyo easy kiivo suala kama hilo alielezee publicly hapa. Publicizing such tip may inflame some risks!

Hivyo basi, natumai Mkuu Deception akipita hapa kwenye uzi huu, hopefully atatia neno.

-Kaveli-
 
Hivi, unaacha madakatari bingwa wa MAGONJWA UNAKUJA KUULIZA JF..!!?

Ebu nenda hosp. upate ushauri mzuri huku umekosea, watu wengine bana..
Mkuu unafikiri madakitari bingwa hawamo humu? Ungejua Jibu la kweli na la haraka atapata hapa wala usingedhiaka!! japo na udhia ataupata.
 
Hivi, unaacha madakatari bingwa wa MAGONJWA UNAKUJA KUULIZA JF..!!?

Ebu nenda hosp. upate ushauri mzuri huku umekosea, watu wengine bana..
Hivi kumbe na wewe huna akili kiasi hicho? Humu kuna Wataalam wa kila namna, check post # 10!
 
Hivi kumbe na wewe huna akili kiasi hicho? Humu kuna Wataalam wa kila namna, check post # 10!


Pumbav.. can you get serious & correct medical advice here..? Esp. to a killer disease like AIDS..? shenzi kabisa, ndio maana FOREPLAN walikuwa wanawalia hela wapuuzi kama ww kwa kuwapa energetic drinks and tablets, mkidhania umetibiwa kumbe umepewa temporary energy tu..
Janga kubwa kabisa duniani ni kuwa na IQ ndogo..!! This is SOCIAL MEDIA..!! period..!! watu wanaangamia kwa kukosa maarifa..!! unauliza huku magonjwa serious tena kuhusu jinsi ya kutumia dawa zake na ushauri..? huku JF..? ur dead walking..!! baadae utataka utibiwe hapa JF..!!


Acha ujinga, unachongea kichwa viduku ww
 
Pumbav.. can you get serious & correct medical advice here..? Esp. to a killer disease like AIDS..? shenzi kabisa, ndio maana FOREPLAN walikuwa wanawalia hela wapuuzi kama ww kwa kuwapa energetic drinks and tablets, mkidhania umetibiwa kumbe umepewa temporary energy tu..
Janga kubwa kabisa duniani ni kuwa na IQ ndogo..!! This is SOCIAL MEDIA..!! period..!! watu wanaangamia kwa kukosa maarifa..!! unauliza huku magonjwa serious tena kuhusu jinsi ya kutumia dawa zake na ushauri..? huku JF..? ur dead walking..!! baadae utataka utibiwe hapa JF..!!


Acha ujinga, unachongea kichwa viduku ww
Sisi tunanategemea hutoe ushauri lakin umekuja unafoka kwanini? Au wewe unajua sana? Tueleweshe na sisi ambao hutujui kuhusu ukimwi.
 
Wana JF!!

Samahani sana, naomba msaada wenu, najua mpo wengi wenye uelewa wa mambo.
Sasa naomba kuelimishwa, pia kwa faida ya wengine wenye matatizo kama yangu.
Nipo hapa kwa niaba ya kaka yangu ambaye alipima na kuonekana ana '' HIV" mwaka 2011 mara moja wakamuanzishia matibabu ya ARV. Hakuwa na shida nyingine, zaidi ya kuwa na constipation..hakuwa anakula vizuri baada ya kufilisika duka lake, akawa anafanya kazi ngumu bila kula vizuri zaidi ya chapati tena zilizokobolewa unga. Kutokana na kudhoofika afya nilimpeleka hospitali na alipopima HIV alionekana HIV+ , lakini cha ajabu mke wake ni HIV- ni muda mrefu sasa.

Sasa huyu kaka yangu pamoja na kuwa anakunywa hizo dawa, naona sasa zinamdhuru hasa ngozi yake inakuwa na spots, ambapo juzi tu wakampa madawa ya TB wakati hana hiyo TB, dawa zikamdhuru hadi mdomo unababuka ngozi. Bado anaendelea na kazi yake ya kilimo cha bustani na pia boda boda, physically hayupo vibaya sana.

Kutokana na elimu niliyoipata humu hasa ile thread ya V.V.U na Upimaji wake, nimegundua huyu bro hana ngoma, ila labda ni lishe bora tu na life style mbovu.
Kwa vile ameshakuwa mhanga wa ARV nifanyeje ili nimuachishe dawa hizo bila kumletea madhara, aweze kurudia hali yake ya kawaida. Naogopa nisije kumshawishi aache akaanza kuumwa nikalaumiwa mimi.

Naomba ushauri kama akiacha ARV atumie nini, ambacho kitamfanya awe Normal?

CC: Kaveli, Deception
Kwanza kabla kuacha kutumia Dawa za kurefusha Umri aka ARV ujuwe maadhara yake ndipo waweza kuziacha kuzitumia

Picha ya Leo: Baadhi ya Madhara ya Dawa za ARV

Picha hii inaonyesha mabadiliko katika kucha yanayoambatana na matumizi ya dawa za kupunguza makali ya Ukimwi.



aotwa na matiti.jpg



MADHARA YATOKANAYO NA ARVS NCHINI YATAFUTIWE UFUMBUZI WA HARAKA

MADHARA yatokanayo na dawa za ARVs kwa baadhi ya watumiaji hapa nchini yanahitaji ufumbuzi wa haraka ili kuweza kuondokana na tatizo hilo.


Hivi karibuni, vyombo vya habari vimeripoti tukio la kusikitisha lilitokea mkoa wa Mtwara kwamba kuna mwanaume anayeishi na virusi vya UKIMWI amebadilika maumbile yake na kuota matiti kama mwanamke katika kifua chake baada ya kuanza kutumia dawa za kupunguza makali ya UKIMWI (ARV).


Alipotoa taarifa kwa daktari aliambiwa hali hiyo ni ya kawaida kwa watu ambao wanatumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo kwa muda mrefu.


Sikika imeguswa na matukio yanayotokana na utumiaji wa dawa hizo na kufuatilia suala hilo kwa ukaribu zaidi. Pamoja na baadhi ya watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI (WAVIU), kutoa taarifa ya kuwa dawa wanazotumia zinawaletea madhara makubwa, bado baadhi wa watoa huduma husika wamekuwa hawachukui hatua yoyote juu ya ubadilishaji wa dawa hizo kwa WAVIU.


Kutokana na taarifa kutoka kwa baadhi ya watumiaji wa dawa hizo wamepatwa na madhara mengi ambayo ni uzito kupungua, mwili kuchoka, miguu na mikono kufa ganzi, mapele, kucha kubadilika rangi kuwa nyeusi na pia baadhi yao kubadilika kimaumbile pindi tu wanapoanza kutumia dawa hizo.


Utaratibu uliopo ni kwamba mtumia dawa hizo anapoona athari zinaanza kutokea anapaswa kutoa taarifa kwa muuguzi wake ili aweze kubadilishiwa dawa nyingine lakini imegundulika kuwa mgonjwa anapotoa taarifa juu ya madhara hayo humchukua zaidi ya miezi sita kabla ya kubadilishiwa dawa na wakati mwingine huambiwa kuwa hali hiyo ni ya kawaida na itaisha.


Sikika pia imegundua kuwa baadhi ya vituo vya kutolea huduma hizo havina mashine za CD4. Kifaa hiki ni muhimu kwa ajili ya kujua maendeleo ya mgonjwa na kutoa ushauri katika kinga za mwili na pia kuendelea na aina ya dawa wanazotumia. Tatizo hili limeendelea kuwa sugu hasa katika maeneno ya vijijini ambapo WAVIU wanalazimika kwenda mwendo mrefu sana kwa ajili ya vipimo vya hivyo. Suala hili limeonekana wazi katika wilaya za Kondoa na Mpwapwa ambapo baadhi ya vituo vya afya havina mashine za CD4.


Vituo hivyo ni Kisese, Hamai, Songolo, Busi na Kwa Mtoro vinavyopatikana wilayani Kondoa na vituo vya afya vya Kibakwe, Rudi, Mima na Pwaga vilivyopo wilaya ya Mpwapwa.Ukosekanaji wa kifaa hiki kwa kiasi kikubwa unachangia mgonjwa kuendelea kutumia aina ya dawa moja ambayo huenda haimfai tena kulingana na CD4 zake kutojua kama zimepanda au zimeshuka.


Sikika inapendekeza kuwa hatua kali zichukuliwe kwa watoa huduma ambao hawafuati utaratibu wa maadili ya kazi zao. Wizara husika pia iwajibike katika kuwasaidia wale ambao wameathirika kutokana na madhara ya utumiaji wa dawa hizo. Mfumo wa sasa wa kusikiliza matatizo ya watumia huduma uimarishwe ili kupunguza athari kubwa zinazotokana na madhara ya kutumia madawa hayo kutokana na wahudumu wengi kutumia lugha chafu.


Pia serikali inapaswa kuweka mashine za CD4 kwenye vituo ambavyo havina na kuzifanyia matengenezo haraka pale zinapoharibika ili zitumike kuwapima wagonjwa maendeleo ya kinga zao za mwili kabla hawajaanza matumizi ya dawa hizo ili kuondokana na tatizo hilo kubwa. chanzo.MICHUZI BLOG.

Achana na dawa feki za Kurefusha umri nitafute mimi Dr.Mzizimkavu Hauchimbwi dawa nipate kukutibia hayo maradhi yako ya Upungufu wa kinga za mwili aka (Ukımwi) upate kupona. Ukihitaji matibabu toka kwangu .

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169

''THE PHARMACEUTICAL INDUSTRY DOES NOT CREATE CURES THEY CREATE CUSTOMERS''
 
Wizara Yakamata Makopo 8000 Ya ARVs Bandia


WALIOHUSIKA KUCHUKULIWA HATUA, WAATHIRIKA WASEMA SERIKALI INACHEZA NA MAISHA YA WATU.

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii, imekiri kuwapo kwa dawa feki za Kupunguza Makali ya Ukimwi (ARVs) kwenye mzunguko na tayari imekwishakamata zaidi ya makopo 8000 ya dawa hizo.Pia imesema kuwa inafanya uchunguzi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama ili kubaini wahusika ili wachukuliwe hatua za kisheria. Vilevile, Wizara

imesema hatua nyingine itakayochukuliwa ni kufuatilia uondoaji wa dawa hizo bandia katika vituo vya huduma kwa kushirikiana na Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya pamoja na Bohari ya Dawa (MSD). Kauli hiyo ya Serikali inatokana na kuchapishwa kwa habari na gazeti hili jana iliyofichua kuwapo kwa dawa za ARVs ambazo hazina ubora zikiendelea

kupewa wagonjwa katika mikoa mbalimbali nchini. Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Regina Kikuli, ilieleza kuwa hadi kufikia Septemba 4, mwaka huu, makopo 8,008 ya toleo namba OC.01.85 ya dawa hizo yalikuwa yamezuiwa. Taarifa hiyo ilitaja hatua nyingine inayoendelea kuchukuliwa na Serikali

kuwa ni kuhakikisha jitihada zinafanyika kuendelea kuwapo kwa dawa za ARVs kwenye vituo vyote vya matibabu baada ya dawa hiyo bandia kuondolewa. Hata hivyo, Kaimu Katibu Mkuu huyo alisema katika taarifa hiyo kuwa dawa zilizobainika

kuwa na matatizo ni kidogo na kwamba huduma za utoaji wa dawa hiyo utaendelea kama kawaida. “Toleo hilo la dawa ambalo limebainika kuwa na matatizo, halitaathiri utaratibu wa kutoa huduma kwa wananchi kwa kuwa ni kiasi kidogo ukilinganisha na dawa zilizopo na pia zenye matatizo zimeondolewa katika mzunguko,” inaeleza sehemu ya taarifa hiyo na

kuongeza: “Kiasi hicho kingeweza kutumika kwa watumiaji 8,000 kwa mwezi tu kati ya takriban watumiaji 400,000 nchi nzima.” Wataalamu waeleza madhara Mtaalamu wa dawa kutoka Hospitali ya Amana, Dk Charles Lymo aliliambia

Mwananchi jana kuwa kazi ya ARVs ni kupunguza makali ya virusi vya Ukimwi, hivyo endapo mgonjwa atameza dawa feki, vijidudu vya ugonjwa huo vitaendelea kuushambulia mwili na kuudhoofisha. “Virusi vya Ukimwi vinapoingia kwenye mwili wa binadamu, vina tabia ya kujibadilisha na kuwa kama chembe hai nyeupe ndipo zinapoanza kushambulia mwili,” alisema. Alisema mgonjwa anapomeza vidonge vya ARVs huwa chakula cha virusi ambavyo vikishiba hulala. "Virus ni

sawa na mtoto kazi yake ni kula na kulala na ndiyo maana mgonjwa anatakiwa ameze hivyo vidonge kila baada ya saa 12,”alisema mtalaamu huyo. Dk Lymo alisema kuwa vidonge bandia huvifanya virusi kukosa chakula na hivyo kuamua kushambulia mwili. “Kumeza dawa bandia ni sawa na kutoa unga wa ngano kwa virusi wakati siyo chakula chake. Kwa hiyo watakuwa wanashambulia tu na kuzaliana,” alisema Dk Lymo. Kwa upande wake, Dk Mlangwa Mguta kutoka katika

hospitali hiyo, alisema kwa kutumia dawa hizo bandia virusi hivyo vitaendelea kuwa sugu kwenye mwili wa binadamu. “Lakini pia kwa kawaida hivi vidonge vina madhara na vikiwa feki ndiyo yanaongezeka kabisa,” anasema Dk Mguta. Kwa upande wa Dk Alex Mwita, kutoka Taasisi ya Utafiti wa Tiba (Nimri), alisema kuwa kwa kuwa kazi ya ARVs ni kupunguza makali ya ugonjwa huo, dawa ikiwa bandia mgonjwa anaweza kupunguza siku zake za kuishi kutokana na virusi

kumdhoofisha. “Dawa zikiwa bandia maana yake viambata muhimu havipo, ina maana hiyo dawa haiwezi kufanya kazi iliyokusudiwa,” alisema Dk Mwita. Wanaotumia ARVs Rogers Stephen aliliambia Mwananchi kuwa habari ya kuwapo dawa bandia za ARVs nchini imemshtua na kwamba Serikali inapaswa kuchukua hatua haraka. Alisema kuwa amekuwa

akitumia dawa hizo kwa zaidi ya miaka 10 sasa tangu akiamini kuwa ni salama. Stephen alisema kuwapo kwa vidonge bandia sokoni ni sawa na Serikali kuchezea maisha ya watu.“Haya ni maisha ya watu, naona kama Serikali inataka kucheza na maisha yetu kwa sababu tulikuwa tunajua kuwa hizi dawa ni salama kabisa,” alisema Stephen. Alisema kutokana na unyeti wa suala hili wakipata uthibitisho wa kisayansi kwamba kuna dawa hizo sokoni, watatafuta njia ya kufikisha

malalamiko yao serikalini. Mwanamke mwingine ambaye hakutaja jina lake ambaye anaishi ya virusi vya Ukimwi alisema amekaa na virusi vya Ukimwi kwa miaka 18 na Januari mwaka huu ndiyo alianza kutumia ARVs akiamini kuwa vitamsaidia. “Sasa kama watu wanaotutengenezea hizo dawa wanatuletea vitu feki wanataka kutuua ama vipi? Hii ni sawa na mtu anakupa chakula anakwambia kitakupa afya kumbe kaweka sumu,” alisema mwanamke huyo. Alisema kutokana

na unyeti wa dawa hizo inatakiwa kuwapo na udhibiti wa hali ya juu ili kuhakikisha kuwa dawa zinazoingia sokoni ni salama. Jana gazeti hili lilichapisha habari iliyokuwa ikieleza kuwa maelfu ya watu walioathirika kwa ugonjwa wa Ukimwi ambao kwa sasa wanatumia ARVs nchini wapo hatarini kufupisha maisha yao baada ya kubainika kuwa toleo mojawapo la dawa hizo la Machi, 2011 ni bandia. Uchunguzi wa Mwananchi unaonyesha kuwa dawa hizo zilizosambaa katika mikoa ya

Dar es Salaam, Tanga na Mara zilianza kusambazwa tangu Mei mwaka huu na hadi sasa bado zipo sokoni, jambo lililoilazimu Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) kuagiza zirudishwe Bohari Kuu ya Dawa (MSD). Tayari TFDA imetoa waraka ambao umesambazwa kwenda kwa waganga wakuu wa mikoa yote nchini kuwaagiza kuondoa dawa hizo kwenye mzunguko mara moja. Chanzo:www.mwananchi.co.tz
 
Hapa naona uwepo wa ARVs bandia unahusika,kwani hali ikoje kwa nchi za wenzetu zilizoendelea?na wao wanapata haya madhara?Kingine ni masharti ya matumizi ya hizo dawa je yanafuatwa kikamilifu?
 
Kwanza kabla kuacha kutumia Dawa za kurefusha Umri aka ARV ujuwe maadhara yake ndipo waweza kuziacha kuzitumia

Picha ya Leo: Baadhi ya Madhara ya Dawa za ARV

Picha hii inaonyesha mabadiliko katika kucha yanayoambatana na matumizi ya dawa za kupunguza makali ya Ukimwi.



View attachment 443076


MADHARA YATOKANAYO NA ARVS NCHINI YATAFUTIWE UFUMBUZI WA HARAKA

MADHARA yatokanayo na dawa za ARVs kwa baadhi ya watumiaji hapa nchini yanahitaji ufumbuzi wa haraka ili kuweza kuondokana na tatizo hilo.


Hivi karibuni, vyombo vya habari vimeripoti tukio la kusikitisha lilitokea mkoa wa Mtwara kwamba kuna mwanaume anayeishi na virusi vya UKIMWI amebadilika maumbile yake na kuota matiti kama mwanamke katika kifua chake baada ya kuanza kutumia dawa za kupunguza makali ya UKIMWI (ARV).


Alipotoa taarifa kwa daktari aliambiwa hali hiyo ni ya kawaida kwa watu ambao wanatumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo kwa muda mrefu.


Sikika imeguswa na matukio yanayotokana na utumiaji wa dawa hizo na kufuatilia suala hilo kwa ukaribu zaidi. Pamoja na baadhi ya watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI (WAVIU), kutoa taarifa ya kuwa dawa wanazotumia zinawaletea madhara makubwa, bado baadhi wa watoa huduma husika wamekuwa hawachukui hatua yoyote juu ya ubadilishaji wa dawa hizo kwa WAVIU.


Kutokana na taarifa kutoka kwa baadhi ya watumiaji wa dawa hizo wamepatwa na madhara mengi ambayo ni uzito kupungua, mwili kuchoka, miguu na mikono kufa ganzi, mapele, kucha kubadilika rangi kuwa nyeusi na pia baadhi yao kubadilika kimaumbile pindi tu wanapoanza kutumia dawa hizo.


Utaratibu uliopo ni kwamba mtumia dawa hizo anapoona athari zinaanza kutokea anapaswa kutoa taarifa kwa muuguzi wake ili aweze kubadilishiwa dawa nyingine lakini imegundulika kuwa mgonjwa anapotoa taarifa juu ya madhara hayo humchukua zaidi ya miezi sita kabla ya kubadilishiwa dawa na wakati mwingine huambiwa kuwa hali hiyo ni ya kawaida na itaisha.


Sikika pia imegundua kuwa baadhi ya vituo vya kutolea huduma hizo havina mashine za CD4. Kifaa hiki ni muhimu kwa ajili ya kujua maendeleo ya mgonjwa na kutoa ushauri katika kinga za mwili na pia kuendelea na aina ya dawa wanazotumia. Tatizo hili limeendelea kuwa sugu hasa katika maeneno ya vijijini ambapo WAVIU wanalazimika kwenda mwendo mrefu sana kwa ajili ya vipimo vya hivyo. Suala hili limeonekana wazi katika wilaya za Kondoa na Mpwapwa ambapo baadhi ya vituo vya afya havina mashine za CD4.


Vituo hivyo ni Kisese, Hamai, Songolo, Busi na Kwa Mtoro vinavyopatikana wilayani Kondoa na vituo vya afya vya Kibakwe, Rudi, Mima na Pwaga vilivyopo wilaya ya Mpwapwa.Ukosekanaji wa kifaa hiki kwa kiasi kikubwa unachangia mgonjwa kuendelea kutumia aina ya dawa moja ambayo huenda haimfai tena kulingana na CD4 zake kutojua kama zimepanda au zimeshuka.


Sikika inapendekeza kuwa hatua kali zichukuliwe kwa watoa huduma ambao hawafuati utaratibu wa maadili ya kazi zao. Wizara husika pia iwajibike katika kuwasaidia wale ambao wameathirika kutokana na madhara ya utumiaji wa dawa hizo. Mfumo wa sasa wa kusikiliza matatizo ya watumia huduma uimarishwe ili kupunguza athari kubwa zinazotokana na madhara ya kutumia madawa hayo kutokana na wahudumu wengi kutumia lugha chafu.


Pia serikali inapaswa kuweka mashine za CD4 kwenye vituo ambavyo havina na kuzifanyia matengenezo haraka pale zinapoharibika ili zitumike kuwapima wagonjwa maendeleo ya kinga zao za mwili kabla hawajaanza matumizi ya dawa hizo ili kuondokana na tatizo hilo kubwa. chanzo.MICHUZI BLOG.

Achana na dawa feki za Kurefusha umri nitafute mimi Dr.Mzizimkavu Hauchimbwi dawa nipate kukutibia hayo maradhi yako ya Upungufu wa kinga za mwili aka (Ukımwi) upate kupona. Ukihitaji matibabu toka kwangu .

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169

''THE PHARMACEUTICAL INDUSTRY DOES NOT CREATE CURES THEY CREATE CUSTOMERS''

mzizi mkavu mm sikupingi hara kidogo, tangu unaanza kutoa elimu hii ni mda sasa, nsomba kujua:

hivi uliishawahi kumtibu MTU mwenye HIV akapona na vipimo vikadhibitisha?

je kuna MTU humu jf ambae umemtibu aje atoe ushuhuda?

nawaza tu, hivi kama unatibu si ofisini kwako pamejaa watu zaidi ya milioni?
 
mzizi mkavu mm sikupingi hara kidogo, tangu unaanza kutoa elimu hii ni mda sasa, nsomba kujua:

hivi uliishawahi kumtibu MTU mwenye HIV akapona na vipimo vikadhibitisha?

je kuna MTU humu jf ambae umemtibu aje atoe ushuhuda?

nawaza tu, hivi kama unatibu si ofisini kwako pamejaa watu zaidi ya milioni?
Mkuu Nimeshamtibu Mtu mwanamke na amepona amezaamtoto sasa yuko mjini mbeya siwezi kuweka namba yake ya simu hapa mpaka nimpate mtu ambae anataka kutibia ndio nitampa huyo mtu namba yake ya simu niliye mtibia na amepona na kupimwa zaidi ya hospitali 3 mjini mbeya. Sio rahisi ofisi yangu kujaa wateja kwani gharama yangu kumtibia mgonjwa sio bei rahisi.
 
Mkuu Nimeshamtibu Mtu mwanamke na amepona amezaamtoto sasa yuko mjini mbeya siwezi kuweka namba yake ya simu hapa mpaka nimpate mtu ambae anataka kutibia ndio nitampa huyo mtu namba yake ya simu niliye mtibia na amepona na kupimwa zaidi ya hospitali 3 mjini mbeya. Sio rahisi ofisi yangu kujaa wateja kwani gharama yangu kumtibia mgonjwa sio bei rahisi.


Walokole wengi nao wanajidai wanatibu.. ila ni uongo mkubwa..

Ww pia wasema unatibu, ila gharama zake ni kubwaaa, nikuulize KUNA GHARAMA KUBWA KULIKO UHAI WA MTU..? usiseme uongo jamani, UKIMWI hauna dawa, full stop..!!
 
pole sana huwa naomba hayo marathi yasinikute hata ila ushauri wangu aende akapime sehemu tofaauti ili ajue kama anao au laa
 
Wana JF!!

Samahani sana, naomba msaada wenu, najua mpo wengi wenye uelewa wa mambo.
Sasa naomba kuelimishwa, pia kwa faida ya wengine wenye matatizo kama yangu.
Nipo hapa kwa niaba ya kaka yangu ambaye alipima na kuonekana ana '' HIV" mwaka 2011 mara moja wakamuanzishia matibabu ya ARV. Hakuwa na shida nyingine, zaidi ya kuwa na constipation..hakuwa anakula vizuri baada ya kufilisika duka lake, akawa anafanya kazi ngumu bila kula vizuri zaidi ya chapati tena zilizokobolewa unga. Kutokana na kudhoofika afya nilimpeleka hospitali na alipopima HIV alionekana HIV+ , lakini cha ajabu mke wake ni HIV- ni muda mrefu sasa.

Sasa huyu kaka yangu pamoja na kuwa anakunywa hizo dawa, naona sasa zinamdhuru hasa ngozi yake inakuwa na spots, ambapo juzi tu wakampa madawa ya TB wakati hana hiyo TB, dawa zikamdhuru hadi mdomo unababuka ngozi. Bado anaendelea na kazi yake ya kilimo cha bustani na pia boda boda, physically hayupo vibaya sana.

Kutokana na elimu niliyoipata humu hasa ile thread ya V.V.U na Upimaji wake, nimegundua huyu bro hana ngoma, ila labda ni lishe bora tu na life style mbovu.
Kwa vile ameshakuwa mhanga wa ARV nifanyeje ili nimuachishe dawa hizo bila kumletea madhara, aweze kurudia hali yake ya kawaida. Naogopa nisije kumshawishi aache akaanza kuumwa nikalaumiwa mimi.

Naomba ushauri kama akiacha ARV atumie nini, ambacho kitamfanya awe Normal?

CC: Kaveli, Deception
Waathirika Hua Wana clinic zao za kuchukua dawa, ushauri, upimaji na matibabu ya magonjwa nyemelezi pamoja na monitoring ya dawa anazotumia, kama zinamdhuru basi anabadilishiwa!
Huna mamlaka ya kumuachisha dawa wakati wewe sio daktari na pili hujui status yake kama ni kweli alikua misdiagnosed au ni muathirika!
Nnachokushauri ni kwamba mpeleke CTC yake anapochukulia dawa na akajieleze matatizo yake na kama unadhani Hana VVU Basi atapimwa tena!
 
Back
Top Bottom