Nifanyeje niache ARV?

kisebengo nilishaambiwa kuna mdada alikuwa anatumia arv na baada ya muda cd4 zake zikafika 800 continuous for six month akashauriwa kuacha dawa. je kuna ukweli hapomaana nasikia bado anamonitor cd4 lakini amestabilizi. wataalam watujuze
Wakati mwingne wanachaguliwa baadh ya wagonjwa wanahusishwa kwny research mbalimbali.. Hvyo huenda na huyo unayemzungumzia yupo kwny research either kwa kujijua au kutokujua lkn ukweli uhalisia ni kwamba wakishaanza dawa huwa ni non stop hata kama cd4 zitapanda mpka 1000+ na viral load ishuke lower to almost zero
 
Kwanza kabisa naomba tukubaliane kama vipimo vilisoma postv inamaanisha anamaambukiz ya VVU!
Mtu akishaanza kutumia ARV haruhusiw kuacha kwa namna yoyte ile namaanisha ataendelea kutumia kwa maisha yake yote. Na hiz dawa zmegawanyika kimistari kuna mstari wa kwanza na mstari wa pili ambapo kila mstari unadawa kadhaa ambapo mgonjwa akipata madhari ya dawa moja wapo bas anahamishiwa kwny dawa mbadala ktk mstari huo huo anaotumia..
Kwa kawaida wanaanzishiwa mstari wa kwanza kama ikishindkana ndio anahamishiwa kwny dawa za mstari wa pili na ukishndkana mstari wa pili ndio bas tena..
Sasa hawa wadudu wanapata usugu kwa haraka sana tofaut na wadudu wa magonjwa mengne na ndio maana mtu akishaanza kutumia dawa hatakiw kuacha na kama akiacha atakapoanza tena upya atabadilishiwa kwnda kwny mstari wa pili kitu ambacho kinamuweka kwny hatar ya kumaliza dawa zote na kama akishndwa kurespond vzr kwny mstari wa pili tutakosa dawa ya kumpa.. Naomba umshaur asiache dawa kama amereact vbaya kwny hyo anayotumia aongee na daktari wake atabadilishiwa kulingana na mwongozo uliopo.
Kuhusu dawa za TB.. Hizo waathirika wote hupewa kama kinga kutokana na wao kuwa kwny hatar kubwa ya kupata maaambkiz ya tb hvyo ataztumia hzo kwa miez6 baada ya hapo atakuja kurudia tena baada ya miaka3 kama itahitajika. Kama na hiz zinamletea madhara mrudshe kwny clinic yake atapewa pyridoxine vit B6 kuzuia hayo madhara ya dawa za TB haswa isoniazide
Nahc umejibu kitaalamu km sio kitaaluma,Ushauri wako uwe kam reference kwake
 
Jaribu kubadilisha hospitali. Mpeleke kwingine akapime upate uhakika.
 
Nawashukuru kwa mawazo yenu!
Ninyi wote mlionipa ushauri nadhani hamjaisoma ile thread ya Kaveli "v.v.u na upimaji wake" controversy iliyopo mle ni kuhusu matibabu ya modern medicine ambayo siyaafiki kwa asilimia 100. Imeonekana kuwa H.I.V AIDS is hoax, nami kwa akili yangu ninasapoti kuwa Ukimwi wa VVU ni tatizo la kutengeneza. Sasa wote mnaonishauri kasomeni vizuri ile thread then mje na ushauri sahihi sio nirudi tena clinic, najua kule hawawezi kunielewa kwa vyovyote.
Habari ya kupima tena VVU sioni tija kwa hata vipimo vyenyewe bado vina utata.
 
Wana JF!!

Samahani sana, naomba msaada wenu, najua mpo wengi wenye uelewa wa mambo.
Sasa naomba kuelimishwa, pia kwa faida ya wengine wenye matatizo kama yangu.
Nipo hapa kwa niaba ya kaka yangu ambaye alipima na kuonekana ana '' HIV" mwaka 2011 mara moja wakamuanzishia matibabu ya ARV. Hakuwa na shida nyingine, zaidi ya kuwa na constipation..hakuwa anakula vizuri baada ya kufilisika duka lake, akawa anafanya kazi ngumu bila kula vizuri zaidi ya chapati tena zilizokobolewa unga. Kutokana na kudhoofika afya nilimpeleka hospitali na alipopima HIV alionekana HIV+ , lakini cha ajabu mke wake ni HIV- ni muda mrefu sasa.
Sasa huyu kaka yangu pamoja na kuwa anakunywa hizo dawa, naona sasa zinamdhuru hasa ngozi yake inakuwa na spots, ambapo juzi tu wakampa madawa ya TB wakati hana hiyo TB, dawa zikamdhuru hadi mdomo unababuka ngozi. Bado anaendelea na kazi yake ya kilimo cha bustani na pia boda boda, physically hayupo vibaya sana.
Kutokana na elimu niliyoipata humu hasa ile thread ya V.V.U na Upimaji wake, nimegundua huyu bro hana ngoma, ila labda ni lishe bora tu na life style mbovu.
Kwa vile ameshakuwa mhanga wa ARV nifanyeje ili nimuachishe dawa hizo bila kumletea madhara, aweze kurudia hali yake ya kawaida. Naogopa nisije kumshawishi aache akaanza kuumwa nikalaumiwa mimi.
Naomba ushauri kama akiacha ARV atumie nini, ambacho kitamfanya awe Normal?

CC: Kaveli, Deception


Huyu mtu amepimwa akakutwa na HIV, hawawezi kumpa dawa mpaka CD4 zake ziwe chini au tayari ana magonjwa nyemelezi ambayo kinga haiwezi kupambana nayo. Sijakuelewa kwanini husema hana HIV, mke wake kutokuwa na HIV ni jambo lingeni, yawezekana ni mmojawapo wa wale ambao hawapokei HIV.
Suala la muhimu huyo mtu anywe dawa kwa wakati, hasipitishe weka alam kama ni saa 4 iwe saa nne no Zaidi isiwe hata na dk 2-5, unaposhindwa kumeza dawa kwa wakati wadudu ujijenga na kujiweka sawa na hawawezi kushindwa kujiongeza kwa sababu ya dawa umezavyo. Kitu kingine kula vizuri, matunda mboga, maziwa yai, iwe part ya mlo kila siku. utapata afya na kurudia afya yako.
Jambo la muhimu atulie hasije akapata maambukizi mengine wakashindwa kumpatia dawa inayofanana na virus vyake. HIV zipo aina tofauti na zinajitengeneza aina kila kukicha utajidanganya unasambaza kumbe wajiua
 
''Kitu kingine kula vizuri, matunda mboga, maziwa yai, iwe part ya mlo kila siku. utapata afya na kurudia afya yako.''

Labda hapo nitakuelewa kidogo, je umeisoma thread niliyoisema hapo juu?
 
Ndugu tafuta uzi WA deception usome vizuri kuanzia page ya 1 mpaka ya mwisho. Usiwe mvivu kusoma. Nahis kuna mawasiliano yake kuna watu wali mp utachukua huko. Hakuna Ushauri wowote utakao pewa Hospital tofauti zaidi ya kukusisitiza Aendelee kutumia ARV. Tambuwa kuwa kitakacho muua siyo HIV Yale madhara yatokanayo na ARV. Tafuta vitu vitakavyo weza kuongeza kinga ya mwili Matatizo ya ngozi yataanza kuondoka yenyewe, hakuna kuogopa Ndugu maana wewe ndo mwenye elimu. Ni vizuri kutafuta uzi na mwenyewe asome kujilidhisha, matumaini yanaanzia Kwa mgonjwa mwenyewe.
 
Vipimo vinaonyesha ni HIV+ wewe unahisi hana ngoma how comes?
Nilitaka kuhoji hili.
Na akifuata ushauri wa humu badala ya wa daktari watampoteza ndugu yao kama wale waliositisha kunywa ARV's baada ya kunywa kikombe cha babu loliondo.
 
Wana JF!!

Samahani sana, naomba msaada wenu, najua mpo wengi wenye uelewa wa mambo.
Sasa naomba kuelimishwa, pia kwa faida ya wengine wenye matatizo kama yangu.
Nipo hapa kwa niaba ya kaka yangu ambaye alipima na kuonekana ana '' HIV" mwaka 2011 mara moja wakamuanzishia matibabu ya ARV. Hakuwa na shida nyingine, zaidi ya kuwa na constipation..hakuwa anakula vizuri baada ya kufilisika duka lake, akawa anafanya kazi ngumu bila kula vizuri zaidi ya chapati tena zilizokobolewa unga. Kutokana na kudhoofika afya nilimpeleka hospitali na alipopima HIV alionekana HIV+ , lakini cha ajabu mke wake ni HIV- ni muda mrefu sasa.

Sasa huyu kaka yangu pamoja na kuwa anakunywa hizo dawa, naona sasa zinamdhuru hasa ngozi yake inakuwa na spots, ambapo juzi tu wakampa madawa ya TB wakati hana hiyo TB, dawa zikamdhuru hadi mdomo unababuka ngozi. Bado anaendelea na kazi yake ya kilimo cha bustani na pia boda boda, physically hayupo vibaya sana.

Kutokana na elimu niliyoipata humu hasa ile thread ya V.V.U na Upimaji wake, nimegundua huyu bro hana ngoma, ila labda ni lishe bora tu na life style mbovu.
Kwa vile ameshakuwa mhanga wa ARV nifanyeje ili nimuachishe dawa hizo bila kumletea madhara, aweze kurudia hali yake ya kawaida. Naogopa nisije kumshawishi aache akaanza kuumwa nikalaumiwa mimi.

Naomba ushauri kama akiacha ARV atumie nini, ambacho kitamfanya awe Normal?

CC: Kaveli, Deception
Mkuu pole sana kwa hayo yaliyo mkuta kaka nione mimi nipate kumuachisha hiyo sumu ya dawa za ARV anazo tumia nita mtibia kw amuda wa miezi 8 n atapona na kurudi hali yake kama ya zamani na hiyo HIV+ itamuondokea kabisa. Ukihitaji matibabu toka kwangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Ndugu tafuta uzi WA deception usome vizuri kuanzia page ya 1 mpaka ya mwisho. Usiwe mvivu kusoma. Nahis kuna mawasiliano yake kuna watu wali mp utachukua huko. Hakuna Ushauri wowote utakao pewa Hospital tofauti zaidi ya kukusisitiza Aendelee kutumia ARV. Tambuwa kuwa kitakacho muua siyo HIV Yale madhara yatokanayo na ARV. Tafuta vitu vitakavyo weza kuongeza kinga ya mwili Matatizo ya ngozi yataanza kuondoka yenyewe, hakuna kuogopa Ndugu maana wewe ndo mwenye elimu. Ni vizuri kutafuta uzi na mwenyewe asome kujilidhisha, matumaini yanaanzia Kwa mgonjwa mwenyewe.


Ni uzi upi mkuu, kama ni ule wa kaveli vvu na upimaji wake nimesoma wote
 
Back
Top Bottom