Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,468
Sijui kwanini mwanzoni nilifikiria wewe ni mwanaume.
Pole umeshauriwa tayari, na bahati nzuri ulichokuwa unatafuta ni jinsi ya kumuacha.
Hebu chukulia kiimani (najaribu kukuongezea sababu za kumuacha), kwamba unafanya uasherati, Mungu hapendi, kuteswa ni ishara kuwa uhusiano wenu haujakubaliwa mbele ya Mungu na unapaswa kutubu kwa kufunga, kuomba na kudhamiria kumuacha.
Maandalizi ya kutubu, futa no zake za simu, usiingie FB ambako waweza kutana baada ya kumwambia it is over. Then weka nia, piga goti chini mlilie muumba wako (hata pale sala hazina mpangilio usihofu Malaika atazisort), jiunge na fellowship, sikiliza gospel songs badala ya love songs. With time, utapata amani na nguvu ya kuendelea kumtoa moyoni na who knows, Mr Right anaweza jitokeza!
Pole umeshauriwa tayari, na bahati nzuri ulichokuwa unatafuta ni jinsi ya kumuacha.
Hebu chukulia kiimani (najaribu kukuongezea sababu za kumuacha), kwamba unafanya uasherati, Mungu hapendi, kuteswa ni ishara kuwa uhusiano wenu haujakubaliwa mbele ya Mungu na unapaswa kutubu kwa kufunga, kuomba na kudhamiria kumuacha.
Maandalizi ya kutubu, futa no zake za simu, usiingie FB ambako waweza kutana baada ya kumwambia it is over. Then weka nia, piga goti chini mlilie muumba wako (hata pale sala hazina mpangilio usihofu Malaika atazisort), jiunge na fellowship, sikiliza gospel songs badala ya love songs. With time, utapata amani na nguvu ya kuendelea kumtoa moyoni na who knows, Mr Right anaweza jitokeza!