Hashpower7113
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,353
- 2,137
Jamani naomba mnishauri me ninampenz wangu na nampenda sana mpaka mwenyew anajua sasa amekuwa mtu wa kunifanyia visa kibao haswa pale alipogundua nampenda, anakunywa pombe sana na akilewa huwa mkorofi ananitukana matusi ya nguoni kama **** la mama angu, ****** malaya wa kisukuma, maana me kabila langu ni msukuma, kwa ufupi nampenda but matendo yake yamenichosha na kila nikijitahid kumuacha nashindwa wakati mwingine ninaamua hivyo but nikikumbuka mapenzi yake nashindwa na kujikuta naanza mwenyewe kumpigia simu or kumtumia sms kama za kumtania kama vile mimi ndio mwenye makosa wakati inatakiwa yeye ndio aniombe msamaha, na kibaya zaidi hata anaponikosea huwa hawezi kunipigia simu eti mpaka mimi nimuanze na nikimpigia simu hapokei au ananikatia kabisa basi mimi ntaendelea kumbembeleza mpaka atakapoamua kuzungumza na me na kunisamehe nisaidieni jamani nitumie njia gani niweze kumsahau na kuachana nae? Na je huyu ananipenda kweli?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums