Nifanyeje na yeye ameshaujua udhaifu wangu

Hashpower7113

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
1,353
2,137
Jamani naomba mnishauri me ninampenz wangu na nampenda sana mpaka mwenyew anajua sasa amekuwa mtu wa kunifanyia visa kibao haswa pale alipogundua nampenda, anakunywa pombe sana na akilewa huwa mkorofi ananitukana matusi ya nguoni kama **** la mama angu, ****** malaya wa kisukuma, maana me kabila langu ni msukuma, kwa ufupi nampenda but matendo yake yamenichosha na kila nikijitahid kumuacha nashindwa wakati mwingine ninaamua hivyo but nikikumbuka mapenzi yake nashindwa na kujikuta naanza mwenyewe kumpigia simu or kumtumia sms kama za kumtania kama vile mimi ndio mwenye makosa wakati inatakiwa yeye ndio aniombe msamaha, na kibaya zaidi hata anaponikosea huwa hawezi kunipigia simu eti mpaka mimi nimuanze na nikimpigia simu hapokei au ananikatia kabisa basi mimi ntaendelea kumbembeleza mpaka atakapoamua kuzungumza na me na kunisamehe nisaidieni jamani nitumie njia gani niweze kumsahau na kuachana nae? Na je huyu ananipenda kweli?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hakuna mapenzi hapo...!!! Trust me huyo mtu ana mpenzi mwengine ambae anampenda na kumnyenyekea! Najua inakua ngumu kupokea ukweli kwakua unauma! Ila huo ndo ukweli wenyewe! Hata mkiwa ktk ndoa utajikuta mtumwa wa mapenzi... BORA KUUMIA SANA MARA MOJA KULIKO KUUMIA KIDOGOKIDOGO Sikuzote za Maisha yako duniani
 
Hakuna mapenzi hapo...!!! Trust me huyo mtu ana mpenzi mwengine ambae anampenda na kumnyenyekea! Najua inakua ngumu kupokea ukweli kwakua unauma! Ila huo ndo ukweli wenyewe! Hata mkiwa ktk ndoa utajikuta mtumwa wa mapenzi... BORA KUUMIA SANA MARA MOJA KULIKO KUUMIA KIDOGOKIDOGO Sikuzote za Maisha yako duniani

salute kwako mkuu!
 
Dada yangu pole. Kama hamjafunga ndoa au kuwa na watoto, vunga vioo, huyo hakupendi. Katulize akili kwanza.
 
Jamani! Kweli mapenzi ni upofu lkn kwa hapo shosti unapotea.Lkn huwa kuna kajimsemo eti ukiona umependwa jua kuna **** katendwa and vice versa.Hivi kina mahaba niue bado mpo mpaka karne hii??
 
Jamani naomba mnishauri me ninampenz wangu na nampenda sana mpaka mwenyew anajua sasa amekuwa mtu wa kunifanyia visa kibao haswa pale alipogundua nampenda, anakunywa pombe sana na akilewa huwa mkorofi ananitukana matusi ya nguoni kama **** la mama angu, ****** malaya wa kisukuma, maana me kabila langu ni msukuma, kwa ufupi nampenda but matendo yake yamenichosha na kila nikijitahid kumuacha nashindwa wakati mwingine ninaamua hivyo but nikikumbuka mapenzi yake nashindwa na kujikuta naanza mwenyewe kumpigia simu or kumtumia sms kama za kumtania kama vile mimi ndio mwenye makosa wakati inatakiwa yeye ndio aniombe msamaha, na kibaya zaidi hata anaponikosea huwa hawezi kunipigia simu eti mpaka mimi nimuanze na nikimpigia simu hapokei au ananikatia kabisa basi mimi ntaendelea kumbembeleza mpaka atakapoamua kuzungumza na me na kunisamehe nisaidieni jamani nitumie njia gani niweze kumsahau na kuachana nae? Na je huyu ananipenda kweli?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Kitendo cha kujua we dhaifu kwake basi we si dhaifu tena. Kilichobaki ni kupiga moyo konde maumivu uyashinde na umfungie vioo mazima ndipo atajua na ataimba I want it all back kama chris brown
 
Kuna kakangu aliwahi kuniambia mtu akikuambia jambo serious akiwa amelewa ujue alikusudia kukuambia ila alikuwa Anaona noma......... Hayo matusi na vurugu anavificha tu kwenye pombe, ndo alivyo.........
mbona kuna uwezekano wa kulewa na kukimbilia kitandani kwa Amani?
kama unataka kumpenda, regardless, endelea.......lakini ujue hakuna kitakachombadilisha
 
Hakuna mapenzi hapo...!!! Trust me huyo mtu ana mpenzi mwengine ambae anampenda na kumnyenyekea! Najua inakua ngumu kupokea ukweli kwakua unauma! Ila huo ndo ukweli wenyewe! Hata mkiwa ktk ndoa utajikuta mtumwa wa mapenzi... BORA KUUMIA SANA MARA MOJA KULIKO KUUMIA KIDOGOKIDOGO Sikuzote za Maisha yako duniani

Inawezekana unachosema ni kweli, maana hata ikitokea siku nikaamua kumshtaki kwa watu wake wa karibu ambao yeye huwa anawaheshimu basi matokeo yake nitaambulia kipigo, nateseka mwenzenu na kinachoendelea kuniuma nimejitolea sana katika maisha yake tofauti na nilivyomkuta, maana nilimkuta wanawake aliokuwa anaishi nao walikuwa wamemfilisi na kumfanya aonekane kama kibabu kizee but me nilimbadilisha sana kuanzia ndani kwake mpaka mwilini kwake, alikuwa anafanya kazi nzur na mshahara wake mzur sema hakuwa na mtu wa kumsaidia jinsi gani ya kupangilia mpangilio wa matumiz ya pesa akawa anavaa vizur analala pazuri na wafanyakaz wenzie wakaanza kumsifia na kumwambia kwamba uliompata usimuache na wengine wakathubutu kuniambia hadi mimi mwenyewe kwamba nisimuache ndugu yao na niendelee kumtunza, jaman mpaka naamua kuilete hii mada humu kiukweli naumia na inaniuma sana nimekosa nini mpaka nastahili malipo haya ya aibu na fedhea

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Nilipokuwa nasikiliza wimbo wa TEJA WA MAPENZI wa Lady JD niliona ni jambo la kufikirika 2, kumbe wapo!!...

Dada, hakuna wa kukupa njia ya kujitoa katika huo utumwa wa mapenzi ni wewe mwenyewe kusema imetosha.
Unafahamu madhara ya kumng'ang'ania asiye kupenda? usiombe yakukute.

'Mwenzio alisema bora arudi kwao kijijini akaendelee kuchoma mkaa, maisha hayawezi bara arudie yake enzi....'we unasubiri kupewa njia wakati ndo unateseka?.
 
pole sana nmekuonea huruma, huyo hakupendi bana wachana nae tu, jisogeze pembeni panga maisha bila yeye, shit happens. Kama ulimtenda vema hivyo atakutafuta tu nawe usije mkubalia, anza kuwaza life bila yeye then take actions next week, amua tu mwenyewe hutoshindwa, ukitaka company tupo wala usiwaze.
 
Jamani naomba mnishauri me ninampenz wangu na nampenda sana mpaka mwenyew anajua sasa amekuwa mtu wa kunifanyia visa kibao haswa pale alipogundua nampenda, anakunywa pombe sana na akilewa huwa mkorofi ananitukana matusi ya nguoni kama **** la mama angu, ****** malaya wa kisukuma, maana me kabila langu ni msukuma, kwa ufupi nampenda but matendo yake yamenichosha na kila nikijitahid kumuacha nashindwa wakati mwingine ninaamua hivyo but nikikumbuka mapenzi yake nashindwa na kujikuta naanza mwenyewe kumpigia simu or kumtumia sms kama za kumtania kama vile mimi ndio mwenye makosa wakati inatakiwa yeye ndio aniombe msamaha, na kibaya zaidi hata anaponikosea huwa hawezi kunipigia simu eti mpaka mimi nimuanze na nikimpigia simu hapokei au ananikatia kabisa basi mimi ntaendelea kumbembeleza mpaka atakapoamua kuzungumza na me na kunisamehe nisaidieni jamani nitumie njia gani niweze kumsahau na kuachana nae? Na je huyu ananipenda kweli?

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

either to love too much or to hate too much is blindness,inavyoonekana kama jamaa hajali hisia zako vile na anafanya hivyo kwasababu anajua huna pa kwenda,unampenda sana,huwezi kumuacha nk.ushauri wangu tafuta siku mtoe out umueleze vile unavyojisikia kutokana na yale anayoyafanya,mueleze na wewe una moyo wa nyama unaoumia pia,ikishindikana jaribu kuwashirikisha rafiki zake wa karibu sana au ndugu/wazazi wake,ikishindikana kubadilika hapo huyo si wa kwako inabidi uachane nae though utaumia mwanzoni but you shall be healed by the passage of time.
 
Pole mwayego. Imeshanitokea pia, kila kosa unajipa wewe ili tu kumfanya asikasirike.
But one thing you should know, once u decide to let him GO, he'll GO for real and he wont be taunting you anymore.
 
Hakupendi anasingizia pombe fanya mamuzi magumu utaumia kwa mda tu then utasahau maisha yataendelea na utapa mwingine kupenda si dhambi bt unampendaje asopendeka livue penzi bana sepa atakumiza huyo utakoma mtose mapenzi hayana shule bana utampata anaeyajua zaidi yake usiwe mjinga we wa,wapi.

Nayanda.
 
pole sana binti wa kisukuma, "kinehe mayo", usilete uvumilivu wa kisukuma kwenye mapenzi, maana hapo bado mko wapenzi je itokee muishi wote c ndo hapatatosha?!!!
kimsingi hakuna mtu ambaye atakupenda halafu aku-abuse haiwezekani kamwe katika mapenzi, trust me! hasa mwanaume kumpiga kwa mfano mpenzi wake daaaaaaaaaaah, wanigeria ndo wanaposema "its an abomination", so kama anaweza kuwa na huo ujasiri, uwe na uhakika hata kwenye mambo yetu we unabakwa tu maana siamini kama huwa mnakubaliana au ku-compromise, atakuwa akifika akataka mechi ni lazima apige, so what love is that?!
ni kweli, bora shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua, lakini pia lazima utambue kuwa thamani ya kitu huonekana baada ya kukipoteza, we mmwage jamaa ndo utagundua kuwa ulikuwa wa muhimu sna kwake, na atarudi akikusihi, zaidi ya hapo jiandae kuumizwa (broken hearted)
 
Inawezekana unachosema ni kweli, maana hata ikitokea siku nikaamua kumshtaki kwa watu wake wa karibu ambao yeye huwa anawaheshimu basi matokeo yake nitaambulia kipigo, nateseka mwenzenu na kinachoendelea kuniuma nimejitolea sana katika maisha yake tofauti na nilivyomkuta, maana nilimkuta wanawake aliokuwa anaishi nao walikuwa wamemfilisi na kumfanya aonekane kama kibabu kizee but me nilimbadilisha sana kuanzia ndani kwake mpaka mwilini kwake, alikuwa anafanya kazi nzur na mshahara wake mzur sema hakuwa na mtu wa kumsaidia jinsi gani ya kupangilia mpangilio wa matumiz ya pesa akawa anavaa vizur analala pazuri na wafanyakaz wenzie wakaanza kumsifia na kumwambia kwamba uliompata usimuache na wengine wakathubutu kuniambia hadi mimi mwenyewe kwamba nisimuache ndugu yao na niendelee kumtunza, jaman mpaka naamua kuilete hii mada humu kiukweli naumia na inaniuma sana nimekosa nini mpaka nastahili malipo haya ya aibu na fedhea

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Usikate tamaa unaonekana wewe ni mwanamke mwema na mwenye muelekeo kwenye maisha! achana na huyo jamaa
tulia utafute mwengine atakae kuliwaza na mkafarijiana! wengi walipitia huko2 kwenye shida hatimae wakapata wenye
upendo wa kweli.

Kila la kheri ...
 
Pamoja na yote hayo mimi si amini kwamba mwanaume ukimpenda sana ndio anakufanyia visa! hii ni dhana mbaya
kwa akina dada. ukitaka kujua mwanamme kama nakupenda sana basi mpende sana ukiona anakufanyia visa basi
huyo hakupendi tafuta mwengine.
Ila anaekupenda basi hana atakacho fanya zaidi ya kukuzidishia mapenzi na kukupeti2

Wadada msiwe waoga na wanaume onyesheni mlionayo moyoni, muangalie mwenendo wa wapenzi wenu.
 
Inawezekana unachosema ni kweli, maana hata ikitokea siku nikaamua kumshtaki kwa watu wake wa karibu ambao yeye huwa anawaheshimu basi matokeo yake nitaambulia kipigo, nateseka mwenzenu na kinachoendelea kuniuma nimejitolea sana katika maisha yake tofauti na nilivyomkuta, maana nilimkuta wanawake aliokuwa anaishi nao walikuwa wamemfilisi na kumfanya aonekane kama kibabu kizee but me nilimbadilisha sana kuanzia ndani kwake mpaka mwilini kwake, alikuwa anafanya kazi nzur na mshahara wake mzur sema hakuwa na mtu wa kumsaidia jinsi gani ya kupangilia mpangilio wa matumiz ya pesa akawa anavaa vizur analala pazuri na wafanyakaz wenzie wakaanza kumsifia na kumwambia kwamba uliompata usimuache na wengine wakathubutu kuniambia hadi mimi mwenyewe kwamba nisimuache ndugu yao na niendelee kumtunza, jaman mpaka naamua kuilete hii mada humu kiukweli naumia na inaniuma sana nimekosa nini mpaka nastahili malipo haya ya aibu na fedhea

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Dah, pole sana! Acha nikwambie jambo fulani, binadamu ni wasahaulifu sana! Huyo mpenzi wako keshayasahau yote na ulimpotoa! Hakuna kitu kibaya kama furaha yako ishikiliwe na mtu hasa asiyejali hisia zako, pole sana kwa kupoteza muda, nguvu najua na pesa included..! Binafsi naamini japo pekee lisilowezekana ktk ulimwengu huu ni kurudisha uhai wa binadamu ambae amekufa, mengine yote including kutoka katika kifungo cha minyonyoro ya penzi la upande mmoja INAWEZEKANA..! Piga moyo konde.. Funika kombe mwanaharamu apite! Kwanini binadamu mwenzio akunyanyase?? Kwanini ukose furaha na amani maishani mwako kwaajili ya mtu asie na huruma hata kidogo! Let him go., atapita and U will get someone who deceives you! Muombe Mungu akupe ujasiri wa kufanya maamuzi magumu! FURAHA ni kitu nyeti kuliko hata nyeti tulizonazo! Fanya maamuzi, then jipe muda then tathimini matokeo yake, .Kila la kheri mdada
 
limbwata kazini. Au unashindwa kumuacha kwa sababu ya weupe wake? Wasukuma mna mambo, mbona wanawake weupe wapo wengi tu.
 
Back
Top Bottom