Nifanyeje ili niache huu uraibu wa kucheza na watoto maana jamii inanichukulia tofauti

mr pipa

JF-Expert Member
Jul 26, 2021
2,330
4,854
Kwanza niseme mimi ni baba mwenye mke na watoto, ni mfanyakazi wa Serikali katika kitengo cha ulinzi na usalama ambacho jamii yangu inayonizunguka hawaelewi ninafanya kazi gani mpaka sasa maana wanaweza nikuta nusu ya mwezi ni nyumbani halafu nusu yake huwa sionekani nyumbani hivyo inawafanya wawe na maswali na kuniuliza wanashindwa sababu sijajenga mazoea na mtu mzima,

Tukiacha hilo tuje kwenye mada, nimekuwa mtu wa tofauti kidogo hasa likija suala watu wa kupiga nao stori, muda wangu mwingi huwa natumia kupiga story na watoto kuliko watu wazima wenzangu, yaani ni rahisi sana hata nikiwa ugenini, kumzoea mtoto, kuliko mtu mzima mwenzangu na hii imenifanya mtaani ninapoishi kujulikana zaidi na watoto kuliko watu wazima

Sasa jamii kidogo imekuwa ikinihisi tofauti kama mimi ni mshirikina hata mali nilizonazo napata kwa njia za kuchukua nyota za watoto, nimejitaidi kuacha mazoea hayo ila niseme nimeshindwa mana kuna muda watoto watatoka majumbani kwao na kunifuata pasipo mimi kuwaita

Wakuu msaada wenu
 
Kwanza niseme mimi ni baba mwenye mke na watoto ni mfanya kazi wa selikari katika kitengo cha ulinzi na usalama ambacho jamii yangu inayonizunguka hawaelewi ninafanya kazi gani mpaka sasa maana wanaweza nikuta nusu ya mwezi ni nyumban alafu nusu yake huwa sionekani nyumbani hiyi inawafanya wawe na maswali na kuniuliza wanashindwa sababu sijajenga mazoea na mtu mzima, tukiacha hilo tuje kwenye mada nimekuwa mtu wa tofauti kidogo hasa likija suala watu wa kupiga nao stori, muda wangu mwingi huwa natumia kupiga story na watoto kuliko watu wazima wenzangu, yaani na rahisi sana hata nikiwa ugenini, kumzoea mtoto, kuliko mtu mzima mwenzangu na hiyi imenifanya mtaani ninapoishi kujulikana zaidi na watoto kuliko watu wazima sasa jamii kidogo imekuwa ikinihisi tofauti kama mimi ni mshirikina hata mali nilizonazo napata kwa njia za kuchukua nyota za watoto, nimejitaidi kuacha mazoea hayo ila niseme nimeshindwa mana kuna muda watoto watatoka majumbani kwao na kunifuata pasipo mimi kuwaita wakuu msaada wenu
Ukiona unapendwa na WATOTO fahamu tu nyota yako IPO vizuri sana na wewe ni MTU mwenye upendo Sana.

Cha kufanya kaa na watoto Mae neo ya wazi na wasalimie vizuri tu.

Kuhusu jamii acha waendelee kukushangaa hivyo hivyo. usiwape attention.
 
Kama ushajua 'tatizo' ni vizuri pia ukapunguza mazoea nao. Ni kweli kuna watu wanakuwa na upendo kwa watoto na wanazoeleka kirahisi sana na watoto.

Ila Dunia ya sasa kuna maharamia wengi wanaofanya vitendo vya kikatili watoto kama ulawiti,ubakaji, unyanyasaji wa kingono,kuua kwa imani za kishirikina n.k hivyo wazazi lazima wawe na wasiwasi.
 
Nlikuwa na tabia ya kuwa karibu na watoto, kuwanunhlia vitu wakinikuta shop yani watoto wa mtaa walikuwa

Ila niliacha kwa sababu dunia imebadilika siku hizi hatuaminiani. Mtoto anaweza kufanyiwa kitu kibaya ukauziwa kesi.

Siku hizi sitaki mazoea na watoto wa watu kwa miaka zaidi ya 4.
 
Kwanza niseme mimi ni baba mwenye mke na watoto, ni mfanyakazi wa Serikali katika kitengo cha ulinzi na usalama ambacho jamii yangu inayonizunguka hawaelewi ninafanya kazi gani mpaka sasa maana wanaweza nikuta nusu ya mwezi ni nyumbani halafu nusu yake huwa sionekani nyumbani hivyo inawafanya wawe na maswali na kuniuliza wanashindwa sababu sijajenga mazoea na mtu mzima,

Tukiacha hilo tuje kwenye mada, nimekuwa mtu wa tofauti kidogo hasa likija suala watu wa kupiga nao stori, muda wangu mwingi huwa natumia kupiga story na watoto kuliko watu wazima wenzangu, yaani ni rahisi sana hata nikiwa ugenini, kumzoea mtoto, kuliko mtu mzima mwenzangu na hii imenifanya mtaani ninapoishi kujulikana zaidi na watoto kuliko watu wazima

Sasa jamii kidogo imekuwa ikinihisi tofauti kama mimi ni mshirikina hata mali nilizonazo napata kwa njia za kuchukua nyota za watoto, nimejitaidi kuacha mazoea hayo ila niseme nimeshindwa mana kuna muda watoto watatoka majumbani kwao na kunifuata pasipo mimi kuwaita

Wakuu msaada wenu
Weee ndo una nyota ya totoz wale wengine feki
 
Kwanza niseme mimi ni baba mwenye mke na watoto, ni mfanyakazi wa Serikali katika kitengo cha ulinzi na usalama ambacho jamii yangu inayonizunguka hawaelewi ninafanya kazi gani mpaka sasa maana wanaweza nikuta nusu ya mwezi ni nyumbani halafu nusu yake huwa sionekani nyumbani hivyo inawafanya wawe na maswali na kuniuliza wanashindwa sababu sijajenga mazoea na mtu mzima,

Tukiacha hilo tuje kwenye mada, nimekuwa mtu wa tofauti kidogo hasa likija suala watu wa kupiga nao stori, muda wangu mwingi huwa natumia kupiga story na watoto kuliko watu wazima wenzangu, yaani ni rahisi sana hata nikiwa ugenini, kumzoea mtoto, kuliko mtu mzima mwenzangu na hii imenifanya mtaani ninapoishi kujulikana zaidi na watoto kuliko watu wazima

Sasa jamii kidogo imekuwa ikinihisi tofauti kama mimi ni mshirikina hata mali nilizonazo napata kwa njia za kuchukua nyota za watoto, nimejitaidi kuacha mazoea hayo ila niseme nimeshindwa mana kuna muda watoto watatoka majumbani kwao na kunifuata pasipo mimi kuwaita

Wakuu msaada wenu
Kwaniiii unakulaaaa kwaooooo
Waaache na mawazo yaoooo
Achana naoooo
Ishi maishaaaaaa yakooooo!!!!!
 
Kwanza niseme mimi ni baba mwenye mke na watoto, ni mfanyakazi wa Serikali katika kitengo cha ulinzi na usalama ambacho jamii yangu inayonizunguka hawaelewi ninafanya kazi gani mpaka sasa maana wanaweza nikuta nusu ya mwezi ni nyumbani halafu nusu yake huwa sionekani nyumbani hivyo inawafanya wawe na maswali na kuniuliza wanashindwa sababu sijajenga mazoea na mtu mzima,

Tukiacha hilo tuje kwenye mada, nimekuwa mtu wa tofauti kidogo hasa likija suala watu wa kupiga nao stori, muda wangu mwingi huwa natumia kupiga story na watoto kuliko watu wazima wenzangu, yaani ni rahisi sana hata nikiwa ugenini, kumzoea mtoto, kuliko mtu mzima mwenzangu na hii imenifanya mtaani ninapoishi kujulikana zaidi na watoto kuliko watu wazima

Sasa jamii kidogo imekuwa ikinihisi tofauti kama mimi ni mshirikina hata mali nilizonazo napata kwa njia za kuchukua nyota za watoto, nimejitaidi kuacha mazoea hayo ila niseme nimeshindwa mana kuna muda watoto watatoka majumbani kwao na kunifuata pasipo mimi kuwaita

Wakuu msaada wenu
Cheza na wanao tu
 
Kwanza niseme mimi ni baba mwenye mke na watoto, ni mfanyakazi wa Serikali katika kitengo cha ulinzi na usalama ambacho jamii yangu inayonizunguka hawaelewi ninafanya kazi gani mpaka sasa maana wanaweza nikuta nusu ya mwezi ni nyumbani halafu nusu yake huwa sionekani nyumbani hivyo inawafanya wawe na maswali na kuniuliza wanashindwa sababu sijajenga mazoea na mtu mzima,

Tukiacha hilo tuje kwenye mada, nimekuwa mtu wa tofauti kidogo hasa likija suala watu wa kupiga nao stori, muda wangu mwingi huwa natumia kupiga story na watoto kuliko watu wazima wenzangu, yaani ni rahisi sana hata nikiwa ugenini, kumzoea mtoto, kuliko mtu mzima mwenzangu na hii imenifanya mtaani ninapoishi kujulikana zaidi na watoto kuliko watu wazima

Sasa jamii kidogo imekuwa ikinihisi tofauti kama mimi ni mshirikina hata mali nilizonazo napata kwa njia za kuchukua nyota za watoto, nimejitaidi kuacha mazoea hayo ila niseme nimeshindwa mana kuna muda watoto watatoka majumbani kwao na kunifuata pasipo mimi kuwaita

Wakuu msaada wenu
Watoto wanapenda sana upendo, na wanajua flan Ana upendo wakweli hvyo ningumu watoto kuacha kukuzoea, hyo ni Baraka cheza na watoto furahi nao uongoze siku za kuishi Duniani kwafuraha, watoto ni Malaika wa hapa Duniani.
 
Watoto wana upendo wa ajabu kuna muda mpaka inakuwa kero.

Watoto ni wepesi sana kusambaza upendo/ubaya wako kwa watoto wenzao wakutanapo kwenye michezo yao na matokeo huonekana.

Binafsi napendwa sana na watoto ila nna mipaka nao kulingana na uhalisia wa ulimwengu wa sasa na matukio yake.
 
Kwanza niseme mimi ni baba mwenye mke na watoto, ni mfanyakazi wa Serikali katika kitengo cha ulinzi na usalama ambacho jamii yangu inayonizunguka hawaelewi ninafanya kazi gani mpaka sasa maana wanaweza nikuta nusu ya mwezi ni nyumbani halafu nusu yake huwa sionekani nyumbani hivyo inawafanya wawe na maswali na kuniuliza wanashindwa sababu sijajenga mazoea na mtu mzima,

Tukiacha hilo tuje kwenye mada, nimekuwa mtu wa tofauti kidogo hasa likija suala watu wa kupiga nao stori, muda wangu mwingi huwa natumia kupiga story na watoto kuliko watu wazima wenzangu, yaani ni rahisi sana hata nikiwa ugenini, kumzoea mtoto, kuliko mtu mzima mwenzangu na hii imenifanya mtaani ninapoishi kujulikana zaidi na watoto kuliko watu wazima

Sasa jamii kidogo imekuwa ikinihisi tofauti kama mimi ni mshirikina hata mali nilizonazo napata kwa njia za kuchukua nyota za watoto, nimejitaidi kuacha mazoea hayo ila niseme nimeshindwa mana kuna muda watoto watatoka majumbani kwao na kunifuata pasipo mimi kuwaita

Wakuu msaada wenu
Unapiga story na watoto kwa sababu na wewe ni mtoto unayecheza mchezo wa kujifanya ni polisi. Ukikuwa utaacha.
 
Back
Top Bottom