Kamkuki
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 1,672
- 971
hata hivyo risas ni nyepesi sana ikishalipuka, so wakati wa kurudi speed inategemea uzito.
hata ikikuangukia utosini ni kama kunyewa na kunguru tu!!!
Wacha habari zako za ajabu Mab' we!
hata hivyo risas ni nyepesi sana ikishalipuka, so wakati wa kurudi speed inategemea uzito.
hata ikikuangukia utosini ni kama kunyewa na kunguru tu!!!
View attachment 68500
Askari wakitoa heshima za mwisho katika mazishi ya kamanda Barlow.
Naomba kuuliza risasi hizo zinazopigwa juu hazina madhara zinaporudi chini kwa bahati mbaya zikakuta mwili wa binadamu?
Huyu jamaa analeta utani....Wacha habari zako za ajabu Mab' we!
Kwenye matukio ya hivi ambayo nimehudhuria huwa hawatumii risasi za moto.
Hizo zisizokuwa za moto hazina madhara??
kwa sababu wanazielekeza juu hazina madhara kwa sababu uzito wa mabaki yake ni karibu sana na zero.
Madhara yapo, ingawa nikidogo. Maana kile ni chuma, kinaporudi chini kinaweza kukupiga jichoni kika kupofua.