Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
blanco hizo.... kwa maelezo zaidi fika mzinga morogoro
blanco hizo.... kwa maelezo zaidi fika mzinga morogoro
View attachment 68500
Askari wakitoa heshima za mwisho katika mazishi ya kamanda Barlow.
Naomba kuuliza risasi hizo zinazopigwa juu hazina madhara zinaporudi chini kwa bahati mbaya zikakuta mwili wa binadamu?
Hata zikiwa risasi za moto,kwa kawaida zinapofyatuliwa hewani,zinaporudi chini huwa hazina madhara yoyote,nguvu yake huwa tayari imekwisha.
hata hivyo risas ni nyepesi sana ikishalipuka, so wakati wa kurudi speed inategemea uzito.Hata zikiwa risasi za moto,kwa kawaida zinapofyatuliwa hewani,zinaporudi chini huwa hazina madhara yoyote,nguvu yake huwa tayari imekwisha.
Mkuu zinakuwa na madhara, angalia posti yangu inaeleza juu ya hili. Suala ni kwamba lazima wasitumie risasi za moto. Ila sijui kama Polisi wetu hawa wanajua kwamba hawapaswi kutumia risasi za moto.
hata hivyo risas ni nyepesi sana ikishalipuka, so wakati wa kurudi speed inategemea uzito.
hata ikikuangukia utosini ni kama kunyewa na kunguru tu!!!
Mkuu Synthesizer umenisikitisha hapo kwenye red...does it mean unawaona polisi ni mambumbumbu sana au? wajinga wasio na uelewa na taaluma yao au?? mtake radhi baba yangu tafadhali...wewe umeenda google mimi baba yangu aliniambia tangu nikiwa 5 years kuwa wanatumia blanko (blanks)...
eniwei, ndo u great thinker wako ulipofika, sikulaumu.
mkuu Mabreka kichwa cha risasi ni chuma bana kikirudi kinaumiza aisee...
Mkuu Mentor, umesema kweli, ninawaona Polisi wetu wengi mambumbumbu sana, na pia wengi wao wajinga wasiojua taaluma yao, na huo ndio ukweli wangu.
Wanatumia Blanks (Blankoo). Ndio maana kila wakifyatua moja, wanakoki tena silaha zao, kwanini? Kwa sababu content ya baruti kwenye blankoo haitoshelezi kuifanya silaha ifanye auto-cocking. Nadhani sasa ni muda muafaka nyie vijana mwende JKT huko mtajifunza mambo haya ikiwemo kuzifahamu silaha na jinsi zinavyofanya kazi.
Ubarikiwe na Bwana Yesu aliye hai!
Mzee nakupa 100%. Hawa watoto lazima tuwapeleke JKT, lakini tuwe makini pia wasijerudi wagonjwa si unakumbuka enzi zile mzee.
Mkuu Mentor, wewe unawaona Polisi wetu si mbumbumbu na wajinga wasiojua taaluma yao kwa kuwa tu baba yako alikuwa polisi pia?
Mimi natumia matukio mbalimbali na jinsi wanavyoyashughulikia. Nikupe mfano, Polisi anayemfyatulia Mwandishi wa Habari bomu la machozi kwa ukaribu kabisa, tumboni, bila huyo Mwandishi kuwa "violent" dhidi ya Polisi, utamwonaje huyo Polisi? Jibu ni rahisi kwangu - mbumbumbu na mjinga asiyejua taaluma yake.
Na hapo Mkuu sijakuuliza Polisi anayesema "hili lijamaa liongo sana afande, linasema jina lake Maiko kumbe linaitwa Mikaeli, kama lilivyoandika kwenye maelezo ya chaji shiti deteili"